Nape ajibu makombora ya Marando

Wadau katika gazeti la mtanzania Nape Nauye (aka..Tambwe Hizza) amejibu makombora ya chadema na amesema kwamba Chadema wanatapatapa kwa sababu sasa amepatikana mtu makini wa kujibu hoja zao.Pia amedai kwamba Chadema walizoea kuionea CCM kwa sababu hakukuwa na mtu makini anayejua kujibu hoja.Ameapa ataendelea kuianika Chadema mpaka pale watanzania watakapotambua ni nani fisadi kati ya CCM na Chadema.
Pia amedai kwamba mshahara wa katibu mkuu wa CCM Wilson Mukama hauzidi milioni 3 kwa sababu CCM haina mafisadi kama chadema.Amesema pia kwamba hakuwahi kuomba kujiunga chadema eti kwa sababu yeye si mchaga.
Kuna vyombo vingine vya habari Nape amedai leo atazidi kuilipua na kuimaliza kabisa Chadema.............

Nape anamaanisha kwamba

1: CCM haikuwa hi kuwa na Mtu Makini Zaidi yake;
2: Wachaga ni Watu hatari sana na ni Lazima Waepukwe kama Ukoma Ndani na Nje ya CCM
3: Yeye anadia Mshahara wa Mukama hauzidi Milioni Tatu wakati Mukama amesema Bado hajui analipwa kiasi gani maana Mshahara bado haujaingia Benki


Wachaga Mlioko CCM, Fikiria Chukua Tahadhari Dogo ametangaza Vita Dhidi ya Wachagga
 
Inawezekana kabisa nape ndio Malaria sugu .... haya ya chama cha uchaga ni very low aisee,

he has definitely contracted ile disease ya wanaCM waliokosa hoja na kuingiza udini na ukabisa, i am disappointed kabisa

Kweli light travel faster than sound na dnio maana ameanza kuongea sasa tunasikia yaliyojaa kwenye small brains alizonazo

Kiongozi

Jamaa hawa inbreeding of their thought are killing them slowly.
 
ukweli unabaki pale pale wenye maamuzi ni;-
1. Edwin mtei
2. Freeman mbowe
3. Ndesamburo

hao wengine ni watekelezaji wa maamuzi ya wenye chama. Tena watu wa kaskazini wanawatumia wengine ili kuhalalisha matakwa yao
Mafilili Ndugu yangu,

Thibitisha hilo? sio kuzungumza hear say ndugu yangu,

Wewe si ndo ulisema makao makuu wamejaa wachaga? umepewa uthibitisho hapo juu sasa umeshindwa hata kuomba radhi, umekuja na uongo mwingine ambao huwezi kuthibitisha kuwa wenye maamuzi ni ni mtei, mbowe na ndesamburo!

mimi nadhani wewe huna hoja na unafaa kupuuzwa kabisa
 
kuitetea ccm nisawa na kuoga kwa vumbi kama kuku.
kuionea ccm maana yake ni nini?
nape ameanzia mwisho badala ya kuanzia mwanzo sasa kuna mawili kwani kama ni nabii hainashida bali tofauti nahapo uchizi umeshamuanza.
 
Kwa kweli hata mm nilikua namheshim sana nape ujue nchi hii siasa za majungu sio poa watu waongelee jinsi ya kuwakwamua wananchi na umasikini sasa Nape kugombana na CDM si ujinga huo.mi namshangaa sana kwa kweli.Kama anauelewa wa haraka hicho cheo cha uenezi alichopewa na MCC asipoangalia vizuri ndio kinampoteza kwenye siasa kabisa.Watu tunataka michango ya kujenga sio ya kuumbuana.
 
Sasa wewe Nape una shangaza kidogo kama siyo sana:

Hili la mshahara wa boss wako Mukama umelitoa wapi, yeye kasema hajui atalipwa ngapi kwa vile ndo kwanza kamaliza mwezi mmoja ofsini. Wewe unakuja kimbelembele na kutaja mshahara wa boss wako: Oh hauzidi mil 3!!! Jamani mshahara wa mtu ni siri yake. Wewe umepata wapi ujasiri wa ku-disclose mishahara ya watu. Tuambie na wa kwako ni ngapi sasa!!.

Mimi ningekuwa Mukama ningempeleka huyu bwana kwenye kamati ya maadili kumshtaki kwa hili kosa. Sijui labda atafanya hivyo!!

Lakini ili ngoma iwe droo, tunakuomba na wewe Mukama tutajie Nape anapata ngapi!!?? Au ulimruhusu atangaze mshahara wako hadharani. Sasa kila unapopita kila mtu anajua unapata si zaidi ya mil 3. Mambo ya ccm hayo ukweli na uwazi.
 
Mafilili Ndugu yangu,

Thibitisha hilo? sio kuzungumza hear say ndugu yangu,

Wewe si ndo ulisema makao makuu wamejaa wachaga? umepewa uthibitisho hapo juu sasa umeshindwa hata kuomba radhi, umekuja na uongo mwingine ambao huwezi kuthibitisha kuwa wenye maamuzi ni ni mtei, mbowe na ndesamburo!

mimi nadhani wewe huna hoja na unafaa kupuuzwa kabisa

Nashukuru kwa maneno yako ingawa kwa kiasi kikubwa hayasaidii chama chako. Tumia busara kaa chini, mpange mikakati ya makusudi ili muondokane na taswira waliyoonayo watz kuwa CDM kwao kaskazini. HIYO NI CHANGAMOTO kubwa inafaa ifanyiwe kazi na CDM ili kuimarisha ushindani wa kweli nchini mwetu kwa maendeleo ya nchi.
 
Nashukuru kwa maneno yako ingawa kwa kiasi kikubwa hayasaidii chama chako. Tumia busara kaa chini, mpange mikakati ya makusudi ili muondokane na taswira waliyoonayo watz kuwa CDM kwao kaskazini. HIYO NI CHANGAMOTO kubwa inafaa ifanyiwe kazi na CDM ili kuimarisha ushindani wa kweli nchini mwetu kwa maendeleo ya nchi.

Siongei maneno ya kusaidia chama, hili sio jukwaa la majungu, ukileta shutuma lazima uthibitishe, tofauti na hapo tunaita majungu! acha kubwabwaja kama bata, thibitisha tuhuma zako mkuubwa
 
MTU MZIMA OVYOO!!!!!! Kuna machizi wangi mitaana kiakili hazimo kabisaa, lakn ukiwauliza kat ya ccm na cdm mafisada wanaishi wapi? watakujibu ccm na vielelezo kibao. Nape yupo hapo ili awafiche waliomweka paspo kujua kama na yeye mweyewe ni fisad! muulize amefikaje hapo? "kula mbivu mbichi ziache kaka"
 
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.

Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!

Aise unanichekesha weye!:dance:
 
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.

Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!

are you serious????
 
Siongei maneno ya kusaidia chama, hili sio jukwaa la majungu, ukileta shutuma lazima uthibitishe, tofauti na hapo tunaita majungu! acha kubwabwaja kama bata, thibitisha tuhuma zako mkuubwa

Shitambala: Nimetua mzigo mzito kwa kuhama Chadema
Imeandikwa na Na Gloria Tesha; Tarehe: 17th April 2011 @ 23:
Gazeti la Habari leo

VUTA NIKUVUTE ya kunyang'anyana wanachama miongoni mwa vyama vya siasa ni msingi wa kuchochea umoja wa kweli na mapambano dhidi ya maovu ili kuleta maendeleo kwa jamii husika, ikiwa dhana nzima ya hatua hiyo, imejengwa katika misingi ya utulivu.

Tanzania ni nchi iliyoridhia marekebisho ya Katiba mwaka 1992 kuruhusu mfumo wa vyama vingi, vilivyo zaidi ya 18 hapa nchini kwa sasa, kujinoa pande zote kunakoonekana hivi sasa katika CCM ni njia moja wapo ya kujiimarisha kisiasa kuanzia ngazi za vijiji na mitaa hadi Taifa.

Wakati CCM ikijivua gamba na kufanikiwa kujipanga kwa safu mpya chini ya Katibu mpya Wilson Mukama, Chadema nayo inazidisha mashambulizi kwa kutoa kauli mbalimbali zinazoonesha wazi kuwa hatua hiyo si lolote si chochote mbele yao. Hata hivyo harakati za Chadema zinaonekana kuvunjwa nguvu kwa kiasi fulani na CCM, baada ya kiungo wake muhimu wa safu ya mashambulizi, Shambwee Shitambala, kuamua kujiunga na CCM hivi karibuni.

Shitambala alikuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya. Amekihama chama hicho na kundi la wanachama zaidi ya 100, akiwemo aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho wilayani Ileje, Henry Kayuni. Mwanasiasa huyo ambaye katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Mbeya Vijijini, alidai kuwa kura zake zilichakachuliwa, alitumia ipasavyo karama yake ya siasa, kuhakikisha kuwa ushindi unapatikana katika uchaguzi mkuu uliomalizika mwaka jana, ambapo Chadema kilifanikiwa kuibuka na wabunge wawili katika mkoa wa Mbeya pekee.

Mafanikio ya Shitambala akiwa Chadema, hayakuwa kitu kwake, hasa pale alipoamua kubwaga manyanga na kuondoka katika chama hicho. Anasema ameondoka ndani ya Chama hicho na kujiunga na CCM, kwa maelezo kuwa anaamini anaweza kufanya siasa vizuri akiwa CCM na sio Chadema. Alieleza zaidi katika mazungumzo yake na waandishi wa habari, mara baada ya kupokelewa rasmi katika chama na Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM, hivi karibuni.

Shitambala anasema, "Nimeamua mwenyewe kuja CCM, mahali ambapo nadhani ni salama na sahihi, ambako maoni yangu yanaweza kusikika na kufanyiwa kazi haraka zaidi kuliko kuwa katika chama kingine chochote hapa nchini". Katika kile alichodai anaelezea furaha yake, Shitambala anasema "Ni kama darasa, huwezi kulazimisha kusoma darasa moja miaka yote bila kumaliza au kupiga hatua nyingine, ndio maana unakuta mtu anapita madarasa mbalimbali ili kuiva na kuwa mjuzi wa jambo fulani, na mimi ndicho nilichofanya".

Anasema ameamua kujiunga na CCM bila kulazimishwa na mtu yeyote, kwa ridhaa yake mwenyewe, kwa akili zake timamu bila kushinikizwa, kupewa chochote au hata kuahidiwa jambo lolote. Anasema baada ya kukitumikia Chadema kwa miaka 13, amebaini kuwa mambo mengi yanayofanywa na hata viongozi wa chama, hufanywa kwa makusudi kwa maslahi ya wachache au ya mtu binafsi badala ya maslahi y
a taifa.

"Naona Chadema wanatekeleza sera ambazo hazikuandikwa katika vitabu vya chama, wanachofanya ni kukaa katika vikao vyao vya viongozi wachache katika Kamati Kuu na kutoa matamko yanayoweza kuliangamiza taifa na kuanza kuyatekeleza bila kushirikisha chama katika ngazi nyingine", anasema Shitambala. Shitambala aliyekuwa machachari katika Chadema, kwa kuongoza mashambulizi ya kila aina kwa CCM wilayani humo, anasema yeye siku zote amekuwa akiamini katika amani na utekelezaji wa maazimio ya pamoja na si vinginevyo.

"Hata siku moja siwezi kutekeleza itikadi zisizo na maana, zinazoweza kuhatarisha amani ya taifa langu", anasema. Anasema vongozi wa juu wa chama hicho, wanakaa kwa uchache wao na kufanya maamuzi na kukibebesha chama mzigo bila kuwashirikisha viongozi wengine. KAZI KWELI KWELI NDANI YA CDM!!!! Anasema jambo hilo linawapa wakati mgumu kulijibu wanapoulizwa na wanachama wao mikoani. "Uamuzi wa kufanya maandamano haukuwa wa Chama, kwa maana ya vikao vilivyoshirikisha viongozi kutoka mikoani, kilichofanyika ni Kamati Kuu kukaa na kuja na uamuzi huo wa maandamano, ambao wamejikuta wakitumia fedha nyingi lakini wakapoteza heshima kwa wananchi," anasema.

Hata ile tabia yao ya kutoka bungeni wakati rais anahutubia, nayo licha ya kuwa hawakuvunja sheria, lakini haikuwa na manufaa kwa chama kama ilivyokusudiwa na badala yake haiukuwa ustaarabu kumtukana baba yako hata kama amekosema". Anasema baadhi ya wabunge wa Chadema wamejipotezea heshima katika jamii kutokana na kujiweka kama taasisi inayoweza kufanya maamuzi yake bila kuhojiwa wala kuwashirikisha viongozi wengine wa chama.

Anaongeza kuwa tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu, Chadema inaongozwa na kutolewa maamuzi na kamati ya wabunge wake na kundi dogo la viongozi waliopo katika kamati kuu, huku wale viongozi wengine walioshiriki kukijenga chama wakiwekwa kando kana kwamba sio sehemu ya chama. Shitambala anasema licha ya kuonekana kufanikiwa katika maandamano waliyoyafanya, ukweli ni kuwa chama kimepoteza wanachama wengi, kwa kuhofia kujiingiza katika vurugu, kutokana na lugha za kichochezi, zilizokuwa zikitumiwa na viongozi katika mikutano hiyo.

"Mimi niliwaambia, tumetoa ahadi nyingi, na tumefanikiwa kupata wabunge wengi, hivyo tuanze na utekelezaji wa ahadi tulizotoa, ahadi za kuongeza madarasa katika baadhi ya shule, wanasema hawana pesa, lakini kiasi kilichotumika katika maandamano kinaweza kujenga shule nyingi na sio madarasa machache kama nilivyowashauri", anasema. Anasema maandamano yaliyofanywa na Chadema katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, yalikigharimu chama fedha nyingi, lakini yamekipotezea heshima na kujipunguzia wanachama wengi, hasa wale makini na wanaoelewa mambo.

"Binafsi sikupenda mpango ule wa maandamano, siamini harakati za namna ile katika nchi iliyotulia kama hii", anasema Shitambala. Anatoa mifano ya nchi zenye machafuko, kama Tunisia, Libya, Misri na Ivory Coast na kuhoji ni nani anayetaabika leo kwa faida ya nani, leo nchi ikiwa na vurugu nani atapona, ni siasa ambazo kweli sikuzipenda na sioni sababu ya kuendelea kuwa ndani ya chama ambacho sikubaliani na mikakati yake.

Akifafanua sababu za kujiunga na CCM badala ya vyama vingine, anasema "CCM ni chama sikivu, chenye sera nzuri, mfumo wake wa kiutendaji umejipanga vizuri zaidi, kwa utashi wangu nimeona ni chama kinachofaa na kitakachowavusha watanzania salama, kutokana misingi yake ya kusimamia amani, utulivu na kinachohimiza maelewano".

Jambo ambalo mwanasiasa huyo anasema hatalisahau katika maisha yake ya siasa alipokuwa Chadema ni kukosa wavumilivu. Shitambala anaamini katika uwajibikaji, kila mtu kutekeleza wajibu wake, ambapo ameitaka Chadema na Watanzania kuishi katika jamii kwa misingi ya uhuru, amani na mshikamano ili wengine wajifunze kutoka kwao, wawe na shukrani na wakubali mabadiliko.

MWENYE MACHO AAMBIWE ONA, UKWELI UNAUMA!!!!!!

 
Nashukuru kwa maneno yako ingawa kwa kiasi kikubwa hayasaidii chama chako. Tumia busara kaa chini, mpange mikakati ya makusudi ili muondokane na taswira waliyoonayo watz kuwa CDM kwao kaskazini. HIYO NI CHANGAMOTO kubwa inafaa ifanyiwe kazi na CDM ili kuimarisha ushindani wa kweli nchini mwetu kwa maendeleo ya nchi.

watanzania wepi unaowazungumzia? Vioja haviwasaidii mnaposhindwa hoja
 

Shitambala: Nimetua mzigo mzito kwa kuhama Chadema
Imeandikwa na Na Gloria Tesha; Tarehe: 17th April 2011 @ 23:
Gazeti la Habari leo

VUTA NIKUVUTE ya kunyang'anyana wanachama miongoni mwa vyama vya siasa ni msingi wa kuchochea umoja wa kweli na mapambano dhidi ya maovu ili kuleta maendeleo kwa jamii husika, ikiwa dhana nzima ya hatua hiyo, imejengwa katika misingi ya utulivu.

Tanzania ni nchi iliyoridhia marekebisho ya Katiba mwaka 1992 kuruhusu mfumo wa vyama vingi, vilivyo zaidi ya 18 hapa nchini kwa sasa, kujinoa pande zote kunakoonekana hivi sasa katika CCM ni njia moja wapo ya kujiimarisha kisiasa kuanzia ngazi za vijiji na mitaa hadi Taifa.

Wakati CCM ikijivua gamba na kufanikiwa kujipanga kwa safu mpya chini ya Katibu mpya Wilson Mukama, Chadema nayo inazidisha mashambulizi kwa kutoa kauli mbalimbali zinazoonesha wazi kuwa hatua hiyo si lolote si chochote mbele yao. Hata hivyo harakati za Chadema zinaonekana kuvunjwa nguvu kwa kiasi fulani na CCM, baada ya kiungo wake muhimu wa safu ya mashambulizi, Shambwee Shitambala, kuamua kujiunga na CCM hivi karibuni.

Shitambala alikuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya. Amekihama chama hicho na kundi la wanachama zaidi ya 100, akiwemo aliyekuwa Katibu Mwenezi wa chama hicho wilayani Ileje, Henry Kayuni. Mwanasiasa huyo ambaye katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Mbeya Vijijini, alidai kuwa kura zake zilichakachuliwa, alitumia ipasavyo karama yake ya siasa, kuhakikisha kuwa ushindi unapatikana katika uchaguzi mkuu uliomalizika mwaka jana, ambapo Chadema kilifanikiwa kuibuka na wabunge wawili katika mkoa wa Mbeya pekee.

Mafanikio ya Shitambala akiwa Chadema, hayakuwa kitu kwake, hasa pale alipoamua kubwaga manyanga na kuondoka katika chama hicho. Anasema ameondoka ndani ya Chama hicho na kujiunga na CCM, kwa maelezo kuwa anaamini anaweza kufanya siasa vizuri akiwa CCM na sio Chadema. Alieleza zaidi katika mazungumzo yake na waandishi wa habari, mara baada ya kupokelewa rasmi katika chama na Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM, hivi karibuni.

Shitambala anasema, "Nimeamua mwenyewe kuja CCM, mahali ambapo nadhani ni salama na sahihi, ambako maoni yangu yanaweza kusikika na kufanyiwa kazi haraka zaidi kuliko kuwa katika chama kingine chochote hapa nchini". Katika kile alichodai anaelezea furaha yake, Shitambala anasema "Ni kama darasa, huwezi kulazimisha kusoma darasa moja miaka yote bila kumaliza au kupiga hatua nyingine, ndio maana unakuta mtu anapita madarasa mbalimbali ili kuiva na kuwa mjuzi wa jambo fulani, na mimi ndicho nilichofanya".

Anasema ameamua kujiunga na CCM bila kulazimishwa na mtu yeyote, kwa ridhaa yake mwenyewe, kwa akili zake timamu bila kushinikizwa, kupewa chochote au hata kuahidiwa jambo lolote. Anasema baada ya kukitumikia Chadema kwa miaka 13, amebaini kuwa mambo mengi yanayofanywa na hata viongozi wa chama, hufanywa kwa makusudi kwa maslahi ya wachache au ya mtu binafsi badala ya maslahi y
a taifa.

"Naona Chadema wanatekeleza sera ambazo hazikuandikwa katika vitabu vya chama, wanachofanya ni kukaa katika vikao vyao vya viongozi wachache katika Kamati Kuu na kutoa matamko yanayoweza kuliangamiza taifa na kuanza kuyatekeleza bila kushirikisha chama katika ngazi nyingine", anasema Shitambala. Shitambala aliyekuwa machachari katika Chadema, kwa kuongoza mashambulizi ya kila aina kwa CCM wilayani humo, anasema yeye siku zote amekuwa akiamini katika amani na utekelezaji wa maazimio ya pamoja na si vinginevyo.

"Hata siku moja siwezi kutekeleza itikadi zisizo na maana, zinazoweza kuhatarisha amani ya taifa langu", anasema. Anasema vongozi wa juu wa chama hicho, wanakaa kwa uchache wao na kufanya maamuzi na kukibebesha chama mzigo bila kuwashirikisha viongozi wengine. KAZI KWELI KWELI NDANI YA CDM!!!! Anasema jambo hilo linawapa wakati mgumu kulijibu wanapoulizwa na wanachama wao mikoani. "Uamuzi wa kufanya maandamano haukuwa wa Chama, kwa maana ya vikao vilivyoshirikisha viongozi kutoka mikoani, kilichofanyika ni Kamati Kuu kukaa na kuja na uamuzi huo wa maandamano, ambao wamejikuta wakitumia fedha nyingi lakini wakapoteza heshima kwa wananchi," anasema.

Hata ile tabia yao ya kutoka bungeni wakati rais anahutubia, nayo licha ya kuwa hawakuvunja sheria, lakini haikuwa na manufaa kwa chama kama ilivyokusudiwa na badala yake haiukuwa ustaarabu kumtukana baba yako hata kama amekosema". Anasema baadhi ya wabunge wa Chadema wamejipotezea heshima katika jamii kutokana na kujiweka kama taasisi inayoweza kufanya maamuzi yake bila kuhojiwa wala kuwashirikisha viongozi wengine wa chama.

Anaongeza kuwa tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu, Chadema inaongozwa na kutolewa maamuzi na kamati ya wabunge wake na kundi dogo la viongozi waliopo katika kamati kuu, huku wale viongozi wengine walioshiriki kukijenga chama wakiwekwa kando kana kwamba sio sehemu ya chama. Shitambala anasema licha ya kuonekana kufanikiwa katika maandamano waliyoyafanya, ukweli ni kuwa chama kimepoteza wanachama wengi, kwa kuhofia kujiingiza katika vurugu, kutokana na lugha za kichochezi, zilizokuwa zikitumiwa na viongozi katika mikutano hiyo.

"Mimi niliwaambia, tumetoa ahadi nyingi, na tumefanikiwa kupata wabunge wengi, hivyo tuanze na utekelezaji wa ahadi tulizotoa, ahadi za kuongeza madarasa katika baadhi ya shule, wanasema hawana pesa, lakini kiasi kilichotumika katika maandamano kinaweza kujenga shule nyingi na sio madarasa machache kama nilivyowashauri", anasema. Anasema maandamano yaliyofanywa na Chadema katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, yalikigharimu chama fedha nyingi, lakini yamekipotezea heshima na kujipunguzia wanachama wengi, hasa wale makini na wanaoelewa mambo.

"Binafsi sikupenda mpango ule wa maandamano, siamini harakati za namna ile katika nchi iliyotulia kama hii", anasema Shitambala. Anatoa mifano ya nchi zenye machafuko, kama Tunisia, Libya, Misri na Ivory Coast na kuhoji ni nani anayetaabika leo kwa faida ya nani, leo nchi ikiwa na vurugu nani atapona, ni siasa ambazo kweli sikuzipenda na sioni sababu ya kuendelea kuwa ndani ya chama ambacho sikubaliani na mikakati yake.

Akifafanua sababu za kujiunga na CCM badala ya vyama vingine, anasema "CCM ni chama sikivu, chenye sera nzuri, mfumo wake wa kiutendaji umejipanga vizuri zaidi, kwa utashi wangu nimeona ni chama kinachofaa na kitakachowavusha watanzania salama, kutokana misingi yake ya kusimamia amani, utulivu na kinachohimiza maelewano".

Jambo ambalo mwanasiasa huyo anasema hatalisahau katika maisha yake ya siasa alipokuwa Chadema ni kukosa wavumilivu. Shitambala anaamini katika uwajibikaji, kila mtu kutekeleza wajibu wake, ambapo ameitaka Chadema na Watanzania kuishi katika jamii kwa misingi ya uhuru, amani na mshikamano ili wengine wajifunze kutoka kwao, wawe na shukrani na wakubali mabadiliko.

MWENYE MACHO AAMBIWE ONA, UKWELI UNAUMA!!!!!!


Kweli wewe ni zero kabisa, source yako ni mamluki shitambala ambae ccm wanajua bei yake! mzee nenda kafanye utafiti uje na credibla source sio huyu mamluki aliyediriki hata kukihujumu chama chake kwa kutorudisha fomu za ubunge na kuuza jimbo kwa ccm, hamtaweza kufanikiwa na siasa zenu za kutumia mamluki, mlifanikiwa NCCR Hamtakuja fanikiwa CHADEMA
 
Wadau katika gazeti la mtanzania Nape Nauye (aka..Tambwe Hizza) amejibu makombora ya chadema na amesema kwamba Chadema wanatapatapa kwa sababu sasa amepatikana mtu makini wa kujibu hoja zao.Pia amedai kwamba Chadema walizoea kuionea CCM kwa sababu hakukuwa na mtu makini anayejua kujibu hoja.Ameapa ataendelea kuianika Chadema mpaka pale watanzania watakapotambua ni nani fisadi kati ya CCM na Chadema.
Pia amedai kwamba mshahara wa katibu mkuu wa CCM Wilson Mukama hauzidi milioni 3 kwa sababu CCM haina mafisadi kama chadema.Amesema pia kwamba hakuwahi kuomba kujiunga chadema eti kwa sababu yeye si mchaga.
Kuna vyombo vingine vya habari Nape amedai leo atazidi kuilipua na kuimaliza kabisa Chadema.............

Huyu Tambwe 2.0 (Nape) haoni kama hayo ni matusi kwa wana CCM wenzake kudai hakukuwa na watu makini wa kujibu hoja za CHADEMA!! Kwa hiyo hata huyo Boss wake (Chiligati) ambaye alikuwa kwenye cheo alichonacho sasa Nape naye hakuwa makini? Sasa iweje Mwenyekiti wa CCM (T) Mh. Rais JK ampe Chiligati promotion kuwa Naibu Katibu Mkuu wakati akijua kuwa si makini. Hii inamaanisha hata JK si mtu makini (kwa mujibu wa Nape) kwa kumpandisha cheo mtu hasiye makini.

Hata hivyo Public ilishajua kuwa JK si makini ila hapa naona kama Nape anajaribu kuthibitisha kupitia dirishani. Tambwe 2.0 kweli ana kazi, Kwa upande mwingine naye amegeuka kuwa kama Ridhwani. CHADEMA wamekutuhumu kuwa ulifaidika na fedha za EPA kupitia kwa Jeetul Patel. Yeye naye anakuja na santuri ya kudai waweke ushahidi kwenye public domain. Kwa nini anaogopa kwenda mahakamani? Nenda mahakamani kisha ushahidi utatolewa huko. Tambwe 2.0 hasipokwenda mahakamani kwa kuchafuliwa jina, basi atakuwa anathibitisha kuwa walichosema CHADEMA ni ukweli i.e Nape naye ni GAMBA.
 
....Ni nani fisadi kati ya CCM na CDM". We Nape na wenzako kina Sita na Kilango si mlikuwa mnajiita 'wapambanaji' kama sikosei sa sijui mlikuwa mnapambana na nini kama unasema CCM sio chama cha kifisadi?....Aah Nape soma upepo sioni ka utafikisha miaka 40 ukiwa mwanasiasa makini.
 
Dogo kapoteza network, anakwenda hovyohovyo, siku 90 keshazisahau. Dogo pole, ngoma nzito hiyo.:mod:
 
Wadau katika gazeti la mtanzania Nape Nauye (aka..Tambwe Hizza) amejibu makombora ya chadema na amesema kwamba Chadema wanatapatapa kwa sababu sasa amepatikana mtu makini wa kujibu hoja zao.Pia amedai kwamba Chadema walizoea kuionea CCM kwa sababu hakukuwa na mtu makini anayejua kujibu hoja.Ameapa ataendelea kuianika Chadema mpaka pale watanzania watakapotambua ni nani fisadi kati ya CCM na Chadema.
Pia amedai kwamba mshahara wa katibu mkuu wa CCM Wilson Mukama hauzidi milioni 3 kwa sababu CCM haina mafisadi kama chadema.Amesema pia kwamba hakuwahi kuomba kujiunga chadema eti kwa sababu yeye si mchaga.
Kuna vyombo vingine vya habari Nape amedai leo atazidi kuilipua na kuimaliza kabisa Chadema.............

Dogo jinga! Napata shida kdg hivi huyu dogo propaganda aliyosomea kule India kumbe tutorial wake ni tambwe hiza!!!!!! maana like teacher like student??? hapo alipofikia kwa kujibu aliyosema ana tofauti gani na mpiga filimbi wa Hamelin hana jipya ndiyo maana UVCCM ilimkataa kugombea uenyekiti take note!!!!!!!!

Nini tofauti ya choo na kifuniko ( a.k.a nape/tambwe)!!!!:dance:
 
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.

Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!

MAFILILI kuna hoja hapo kwa Nape au ni sawa na mtu amebwabwaja tu, unajua kuropoka kuna athari kubwa kisiasa?

Hili kwasasa ccm inaweza isilitambue, lakini muda si mrefu madhara yataonekana na wala sio tunataka kuonyeshana uwezo wa kujibizana bali ni swala la hali halisi, yeye kama mwanasiasa asingetumia lugha ya mimi sio mchagga lakini kwakutokujua madhara yake akaona hilo nalo jibu.

Mwanasiasa mahiri akitaka kujibu hoja hakwepi wala hazunguki mkuyu analenga moja kwamoja kwenye point na kuzitetea mfano mpaka sasa barua hazipelekwa kwa MAFISADI kulitetea hilo anapaswa kuja na hoja yenye nguvu sio blablaa maana watanzania waleo wameerevuka na wanachambua mambo kwa kina.
 
Back
Top Bottom