Nape ajibu makombora ya Marando

Nape ajibu makombora ya Marando

Sidhani kama unaushahidi kuwa anatofautiana na katibu wake.

Nape ni mkweli kwa hoja ya Slaa. Hata mie nisiyeipenda CCM nakubaliana naye. Vipi mtu aliyepinga kwa nguvu zote malipo ya wabunge akiyaita ni ufisadi, then yeye alipwe leo? Huu ni UNAFIKI. Hakuna mantiki hapa. Ufisadi si kwa CCM au Serikali tu hata kwa vyama vingine vya siasa. Kumbuka pesa anayolipwa Slaa ni kodi ya Mtanzania. Ni ruzuku inayolipwa na serikali ambazo no kodi zetu.

Siamini kama uovu ukifanywa na ccm ndo uovu, ila ukifanywa na wapinzani ni sawa tu.
 
Hivi huu ujumbe umenijibu mimi au umekosea? Nifafanulie kabla........
Hebu tupe ushahidi kwa kuorodhesha sekretariate nzima ya chadema pale makao makuu na makabila yao, unaonekana wewe ndo mkabila sana kwani mtazamo wako upo kwenye ukabila bila kujali other factors, sisi hatuwezi kwenda kuchunguza wakati wewe ndo unao ukweli majina kamili na makabila yao, ulivyo andika hiyo comment yako authoritatively inawezekana umefanya utafiti hivyo tungefurahi kama ungetuthibitishia hiyo propaganda yako,

TRA wamejaa wachaga vile vile, nadhani according to you tunaweza ku conclude kuwa ni ukabila si ndio bwana, fanya utafiti mzee usi generalize huo upuuzi
 
Nape is simply political ignorant.. His lack of understanding is beyond imagination... His weak arguments without any justification proves how poor he is, namshauri afunge mdomo kuliko kuendelea kuropoka huku akiwa mkuu wa wilaya anatia aibu... JK yuko kimya akitafakari jinsi gani atekeleze ilani ya chadema yeye naona hajui hilo
 
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.

Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!

habari yako bana Nape Nnauye? Karibu sana
 
Hebu tupe ushahidi kwa kuorodhesha sekretariate nzima ya chadema pale makao makuu na makabila yao, unaonekana wewe ndo mkabila sana kwani mtazamo wako upo kwenye ukabila bila kujali other factors, sisi hatuwezi kwenda kuchunguza wakati wewe ndo unao ukweli majina kamili na makabila yao, ulivyo andika hiyo comment yako authoritatively inawezekana umefanya utafiti hivyo tungefurahi kama ungetuthibitishia hiyo propaganda yako,

TRA wamejaa wachaga vile vile, nadhani according to you tunaweza ku conclude kuwa ni ukabila si ndio bwana, fanya utafiti mzee usi generalize huo upuuzi

Kama umekurupuka vile.
Nadshani bandiko lilikuwa linathibitisha kuwa hakuna ukabila CHADEMA.
Sekretariati ya CHADEMA​


slaa_sk.jpg

Katibu Mkuu
Mhe. Willibrod Peter Slaa (62)
Kutoka Karatu, Arusha
slaa@chadema.or.tz

Naibu Katibu Mkuu - Bara
Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (35)
Kutoka Mwandiga, Kigoma Kaskazini
zito_sk.jpg


hamad_sk.jpg

Naibu Katibu Mkuu - Zanzibar
Hamad Mussa Yussuf (33)
Kutoka Kaskazini Pemba
hamad@chadema.or.tz

Mkurugenzi Fedha na Utawala
Anthony Bahati Calisti Komu (47)
Kutoka Moshi vijijini, Kilimanjaro
komu_sk.jpg



sk_mrema.jpg

Mkurugenzi Bunge na Halmashauri
John Mrema (33)
Kutoka Vunjo, Kilimanjaro
mrema@chadema.or.tz

Mkurugenzi Habari na Uenezi
Erasto Kichamo Tumbo (46)
Kutoka Kisesa, Shinyanga
tumbo_sk.jpg



msafi_sk.jpg

Mkurugenzi Kampeni na Uchaguzi (Kaimu)
Msafiri Abdulrahaman Mtemelwa (47)
Kutoka Rufiji, Pwani
mtemelwa@chadema.or.tz

Mkurugenzi Mambo ya Nje
John John Mnyika (31)
Kutoka Mwanza
john_sk.jpg



ben_sk.jpg

Mkurugenzi Oganaizesheni na Mafunzo
Singo Kigaila Masalamakali Benson (44)
Kutoka Kibakwe, Dodoma
kigaila@chadema.or.tz

Mkurugenzi Sheria
Tundu Lissu (42)
Kutoka Ikungi, Singida
lissu_sk.jpg



sk_jumbe.jpg

Afisa Baraza la Wanawake
Mary Jumbe (64)
Kutoka Mtwara
mary@chadema.or.tz

Afisa Kampeni na Uchaguzi
Suzan Kiwanga (49)
Kutoka Kilombero, Morogoro
suzi_sk.jpg


ali_sk.jpg

Afisa Mwandamizi Baraza la Vijana
Ali Omar Chitanda (41)
Kutoka Nachingwea, Lindi
chitanda@chadema.or.tz

Afisa Mwandamizi Baraza la Vijana
Regia Mtema (25)
Kutoka Ifakara, Morogoro
regia_sk.jpg


mhon2_sk.jpg

Afisa Mwandamizi Mambo ya Nje
Mhonga Said Ruhwanya (32)
Kutoka Mwamgongo, Kigoma
mhonga@chadema.or.tz

Afisa Mwandamizi Sheria
Halima James Mdee (33)
Kutoka Same, Kilimanjaro
mdee_sk.jpg


sk_dadi.jpg

Afisa Oganizesheni na Mafunzo
Dady Igogo (26)
Kutoka Rorya, Mara
dady@chadema.or.tz

Afisa Ulinzi na Usalama
Hemed Sabula (43)
Kutoka Mwanza
sabula_sk.jpg


blank.gif

Afisa Utawala
Zacharia L. Jorojig (61)
Kutoka Mbulu, Manyara
 
Ana wa alienate Wachaga ndani ya CCM, kweli kabisa. Kwa hiyo tayari kuna wana CCM washaanza kumdharau, na ile heshima yake kwa wale anaowaongoza inapungua, yeye hilo halielewi.

Hahahahahahaha... Mbona CDM inawa-alienate waislamu more than 50% of country population na hamjali kitu! Seuze hao wachaga wachache!
 
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.

Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!
Mimi ni CCM LAKINI huu ujinga wa kutaja kabila fulani kwa ajili ya chama fulani ni mamboo amabayo watanzania wenye akili timamu wanatakiwa kupiga vita hata kama ni CCM au CDM .Nape tafuta wimbo mwingine mabao ya ukabila hayatakisaidia chama hata kidogo kumbuka kwamba hata sisi CCM tuna tatizo ambolo ni la msingi pia mfano swala la kujivua gamba unamtoa baba kwenye secretariet unamchomeka mtoto hata wewe pia ni zao la kada wa CCM JE watzania wakiuliza kuwa kuna usultani ccm utakjibu nini
 
wachagga walio ndani ya ccm ..wanachukuliwa kuwa ni vitu visivyo na dhamani???? huku ni kuwatenga hata wale wenye mapenzi ya dhati....
 
Hebu tupe ushahidi kwa kuorodhesha sekretariate nzima ya chadema pale makao makuu na makabila yao, unaonekana wewe ndo mkabila sana kwani mtazamo wako upo kwenye ukabila bila kujali other factors, sisi hatuwezi kwenda kuchunguza wakati wewe ndo unao ukweli majina kamili na makabila yao, ulivyo andika hiyo comment yako authoritatively inawezekana umefanya utafiti hivyo tungefurahi kama ungetuthibitishia hiyo propaganda yako,

TRA wamejaa wachaga vile vile, nadhani according to you tunaweza ku conclude kuwa ni ukabila si ndio bwana, fanya utafiti mzee usi generalize huo upuuzi

sorry mkuu Sikonge, nilitaka kumjibu MAFILILI, nimekosea nisamehe mkubwa
 
Kama umekurupuka vile.
Nadshani bandiko lilikuwa linathibitisha kuwa hakuna ukabila CHADEMA.
Sekretariati ya CHADEMA​


slaa_sk.jpg

Katibu Mkuu
Mhe. Willibrod Peter Slaa (62)
Kutoka Karatu, Arusha
slaa@chadema.or.tz

Naibu Katibu Mkuu - Bara
Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (35)
Kutoka Mwandiga, Kigoma Kaskazini
zito_sk.jpg


hamad_sk.jpg

Naibu Katibu Mkuu - Zanzibar
Hamad Mussa Yussuf (33)
Kutoka Kaskazini Pemba
hamad@chadema.or.tz

Mkurugenzi Fedha na Utawala
Anthony Bahati Calisti Komu (47)
Kutoka Moshi vijijini, Kilimanjaro
komu_sk.jpg



sk_mrema.jpg

Mkurugenzi Bunge na Halmashauri
John Mrema (33)
Kutoka Vunjo, Kilimanjaro
mrema@chadema.or.tz

Mkurugenzi Habari na Uenezi
Erasto Kichamo Tumbo (46)
Kutoka Kisesa, Shinyanga
tumbo_sk.jpg



msafi_sk.jpg

Mkurugenzi Kampeni na Uchaguzi (Kaimu)
Msafiri Abdulrahaman Mtemelwa (47)
Kutoka Rufiji, Pwani
mtemelwa@chadema.or.tz

Mkurugenzi Mambo ya Nje
John John Mnyika (31)
Kutoka Mwanza
john_sk.jpg



ben_sk.jpg

Mkurugenzi Oganaizesheni na Mafunzo
Singo Kigaila Masalamakali Benson (44)
Kutoka Kibakwe, Dodoma
kigaila@chadema.or.tz

Mkurugenzi Sheria
Tundu Lissu (42)
Kutoka Ikungi, Singida
lissu_sk.jpg



sk_jumbe.jpg

Afisa Baraza la Wanawake
Mary Jumbe (64)
Kutoka Mtwara
mary@chadema.or.tz

Afisa Kampeni na Uchaguzi
Suzan Kiwanga (49)
Kutoka Kilombero, Morogoro
suzi_sk.jpg


ali_sk.jpg

Afisa Mwandamizi Baraza la Vijana
Ali Omar Chitanda (41)
Kutoka Nachingwea, Lindi
chitanda@chadema.or.tz

Afisa Mwandamizi Baraza la Vijana
Regia Mtema (25)
Kutoka Ifakara, Morogoro
regia_sk.jpg


mhon2_sk.jpg

Afisa Mwandamizi Mambo ya Nje
Mhonga Said Ruhwanya (32)
Kutoka Mwamgongo, Kigoma
mhonga@chadema.or.tz

Afisa Mwandamizi Sheria
Halima James Mdee (33)
Kutoka Same, Kilimanjaro
mdee_sk.jpg


sk_dadi.jpg

Afisa Oganizesheni na Mafunzo
Dady Igogo (26)
Kutoka Rorya, Mara
dady@chadema.or.tz

Afisa Ulinzi na Usalama
Hemed Sabula (43)
Kutoka Mwanza
sabula_sk.jpg


blank.gif

Afisa Utawala
Zacharia L. Jorojig (61)
Kutoka Mbulu, Manyara

Mzee nadhani hujanielewa, nilikuwa namjibu MAFILILI aliyedai twende kuchunguza makao makuu ya chadema kuwa wamejaa wachaga, mimi sikubaliani nae, read my comment well utagundua nilimlenga nani, but nilikosea kumjibu Sikonge na nimemwomba radhi
 
JOIN DATE 28/04/11. Karibu Jamvini!

Mwenye akili ya panya buku atasema mwanadamu bora ni yule aliyezaliwa zamani! Ukweli unabaki pale pale CDM hamtaki kukosolewa??????
 
nape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.

Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!

nadhani hapo ni mkao wa kuliwa
 
Mimi ni CCM LAKINI huu ujinga wa kutaja kabila fulani kwa ajili ya chama fulani ni mamboo amabayo watanzania wenye akili timamu wanatakiwa kupiga vita hata kama ni CCM au CDM .Nape tafuta wimbo mwingine mabao ya ukabila hayatakisaidia chama hata kidogo kumbuka kwamba hata sisi CCM tuna tatizo ambolo ni la msingi pia mfano swala la kujivua gamba unamtoa baba kwenye secretariet unamchomeka mtoto hata wewe pia ni zao la kada wa CCM JE watzania wakiuliza kuwa kuna usultani ccm utakjibu nini
 
mzee nadhani hujanielewa, nilikuwa namjibu mafilili aliyedai twende kuchunguza makao makuu ya chadema kuwa wamejaa wachaga, mimi sikubaliani nae, read my comment well utagundua nilimlenga nani, but nilikosea kumjibu sikonge na nimemwomba radhi

ukweli unabaki pale pale wenye maamuzi ni;-
1. Edwin mtei
2. Freeman mbowe
3. Ndesamburo

hao wengine ni watekelezaji wa maamuzi ya wenye chama. Tena watu wa kaskazini wanawatumia wengine ili kuhalalisha matakwa yao
 
Hahahahahahaha... Mbona CDM inawa-alienate waislamu more than 50% of country population na hamjali kitu! Seuze hao wachaga wachache!

Jesuit,

Tafadhali thibitisha how chadema anawabagua waislamu? kuna mwislamu gani ametaka kujiunga na chadema akafukuzwa au kukataliwa?

Msikilizeni Prof. Safari, amewataka waislamu wajiunge na chadema ili kuweza ku push agenda zao, huwezi kuwa mwislamu uko pembeni au unajitenga mwenyewe na vuguvugu la ukombozi then unalalamika kuwa umekuwa alianated! fursa zipo kwa kila mtu, acheni unafki wa kusikiliza propaganda za ccm wakati ccm ndo chanzo cha matatizo yenu, leo hii inakuwaje chadema ndo mchawi wenu?
 
Hahahahahahaha... Mbona CDM inawa-alienate waislamu more than 50% of country population na hamjali kitu! Seuze hao wachaga wachache!
Mimi ni mmoja wapo ya wana CCM damu watakaomdharau huyu Nape anataka kupeleka nchi kusiko na hat nyie CDM onyesheni huo usltani uliyoko kwenye chama chetu msiogope huu upuuzi wa huyu Nape ni afadhali Tambwe hizo pamoja na kuwa na kisomo kidogo huwezi kumfananisha na huyu Nape kwa upeo hata kidogo
 
dogo credibilit y yake inashuka kwa speed ya ajabu, point na hoja zimemuishia anaanza kubwabwaja
Inawezekana kabisa nape ndio Malaria sugu .... haya ya chama cha uchaga ni very low aisee,

he has definitely contracted ile disease ya wanaCM waliokosa hoja na kuingiza udini na ukabisa, i am disappointed kabisa

Kweli light travel faster than sound na dnio maana ameanza kuongea sasa tunasikia yaliyojaa kwenye small brains alizonazo
 
Back
Top Bottom