Napata shaka kama ana mapenzi ya dhati kwangu

Napata shaka kama ana mapenzi ya dhati kwangu

Baada ya kusoma simulizi yako kiukweli imenigusa sana. Kwa kifupi wewe umefall in love na mtu asiyejulikana na kama ujuavyo kwa sasa watu wasiojulikana wanatupa shida sana sisi raia wema(wewe mwenye mapenzi ya dhati) hivyo nakushauri uvunje mkataba na huyo mtu asiefahamika(new boyfriend) na uangalie jinsi ya kurekebisha mikataba yako na huyo ambae unahisi haumpendi (in Acacia voice) ili uweze kuangalia unawezaje kumfanya kuwa wa faida kwa kutunza na kuheshimu mapenzi yake ili ufaidi maisha ya mahusiano! Kumbuka kupendwa ni raha sana kuliko kupenda.... One more thing ** wewe ni gradient sana(in coordinate geometry voice)**

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka unipende sana kaka mimi kama unavyompenda sana kaka jose!![emoji28][emoji28][emoji28].......kaka mimi nina wivu ujue!!
Hivi nilikwambiaje na hizo mambo zako sipendi uniquote matani yako pls sipendiiii na sitakiiii
 
Asante! Lakin kwa kukujuza tuu nina miaka 24 My first boyfriend tuliachana 2013. Ndo nikakimbilia kwa huyo niliemuita tulizo now I have fallen for the other guy! Huo ni umalaya? Sidhani kama ht demu wako kapitia wanaume wachache ivo
ww nkahaba km makahaba wengine tu,nyambafuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeliwa kiboya sana...
Ila kama humuelewi huyo atakuwa mmoja kati ya watu WASIOJULIKANA
 
unapenda mwanaume mwenye sound,endelea kucheza sound yake ,sound ikiisha,utakuwa ushachoka na thamani yako imeisha.yule ulimuona hafai ambaye hana sound,ametulia,atampata wake asiyependa sound,watatulia na watakuwa na familia bora iliyotulia.
 
Sasa ya nini yote hayo? Kama mtu humpendi unamtakia nini jamani? Kwanini uumize moyo wa mwingine
Hilo swali mbona hukujiuliza wewe ukaenda kuwa na mkaka wa watu unayedai humpendi na huna hisia naye now umegegedwa mwishowe umletee magonjwa ya zinaa
 
unapenda mwanaume mwenye sound,endelea kucheza sound yake ,sound ikiisha,utakuwa ushachoka na thamani yako imeisha.yule ulimuona hafai ambaye hana sound,ametulia,atampata wake asiyependa sound,watatulia na watakuwa na familia bora iliyotulia.
Halafu baadae anaanza kusema wanaume wabaya.
Mkuu hiki ulichoandika, km hana macho na masikini ndicho atakachokipata. Jamaa ataoa, na huyu akiendelea atajikuta anatangatanga kila siku kweny mapenzi
 
Unaujua moyo? Ushawahi kupenda? Unaweza penda chizi na watu wakakushangaa wala sijampendea hizo sifa unazoziwaza! Thanks for your advice though

Pole. Lakini umesex na mtu mwingine wakati huyu mwingine unayedai humpendi hujamwacha. Mhh. Unajiskiaje. Unawazaje afya ya huyu usiyempenda na Yeye anakupenda. Ushauri ambao ni wa faida kwako na amani ya huyo akupendaye. Heri mwache ataumia lakini afya yake itabaki salama. We endelea na huyo moyo wako uliomtunuku na sijui hata kama unajua tabia zake. Mungu awe nawe.
 
Umefanya mgumu moyo wako kujiachia kwa ulie nae..kupenda ni tabia na ulishindwa kujizuia kwa huyo uliekutana nae ungekaa hata wiki ili ujue ni kweli ulimpenda au ni bas tuu mvuto ulikufanya uvutiwe nae,hapo ungekua na jibu sahihi...

rap beast
It's almost 3weeks now toka tumeet!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdogo wangu hasa kwa nyie wanawake, sehemu unayopendwa ndiyo salama sana. Mwanaume akikupenda mheshimu, kumtiii na utulie.
Utaruka ruka mwishowe uje useme wanaume wabaya sana.
Huyo boyfriend wako unayetaka kumuacha na uende kwa huyo mpya nafikiri umejionea. Huyo ni cha mtoto, utakutana na wenye roho mbaya watakujaza mimba na kukuacha na utaanza kuwalaumu wanaume.
Huo ni mfano tu mdogo wangu, sasa subiri ukutane na wanaume vichaaa.
Pole sana
Asante sana kwa ushauri wako

Naahidi kufanyia kazi hili!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kusoma simulizi yako kiukweli imenigusa sana. Kwa kifupi wewe umefall in love na mtu asiyejulikana na kama ujuavyo kwa sasa watu wasiojulikana wanatupa shida sana sisi raia wema(wewe mwenye mapenzi ya dhati) hivyo nakushauri uvunje mkataba na huyo mtu asiefahamika(new boyfriend) na uangalie jinsi ya kurekebisha mikataba yako na huyo ambae unahisi haumpendi (in Acacia voice) ili uweze kuangalia unawezaje kumfanya kuwa wa faida kwa kutunza na kuheshimu mapenzi yake ili ufaidi maisha ya mahusiano! Kumbuka kupendwa ni raha sana kuliko kupenda.... One more thing ** wewe ni gradient sana(in coordinate geometry voice)**

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa ushauri wako! Kufall si tatizo langu ila ni moyo tuu! Nitafuata ushauri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom