Kigoma Boy
JF-Expert Member
- Jun 8, 2017
- 223
- 128
wa tatu cio wachacheAsante! Lakin kwa kukujuza tuu nina miaka 24 My first boyfriend tuliachana 2013. Ndo nikakimbilia kwa huyo niliemuita tulizo now I have fallen for the other guy! Huo ni umalaya? Sidhani kama ht demu wako kapitia wanaume wachache ivo
[emoji23][emoji23][emoji23]Ushaliwa na mtuu asiejulikana kua mpole mama.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata me amenishangaza yan amekimbilia bustanini mapema kweli cijui kwannNapata shaka pia unawezaje mpa game mtu mmepatana tu kwa matatu few days unamwanini na kumkatia tunda...?
post using my macbook air using jamiiforums app
mbona ww unakaa na huyo boy wako kwa ajili ya kazugiaSasa ya nini yote hayo? Kama mtu humpendi unamtakia nini jamani? Kwanini uumize moyo wa mwingine
Haaaaaaaaahaaaaaaaa agiza naja kulipa ucku huuhuu!Ushaliwa na mtuu asiejulikana kua mpole mama.
Mtajaza wenyewe cc ndio tumeumbwa hvyo mmezidi kuneng'eneka!Sasa ya nini yote hayo? Kama mtu humpendi unamtakia nini jamani? Kwanini uumize moyo wa mwingine
Jaman kutafuta MTU Wa kuishi naye miaka yako yoote siyo mchezo reality.....au kwakuwa mwanamke? Sijaona kosa lakeWewe ni chawote..! Kahaba mkubwa wewe kila mtu unatoa papuchi, hapa tu wamefika wa3, hivi hayo mashimo hamuyahurumii wapuuuzi nyie.
inatokea sanyingine kuwa hivyo,maana ukiachana na mtu wako unahisi upwekwe,mtu akatokea akakujali unapata ahueni,na hapo wals huoni kama humpendi,baadae ndo inakuhit kua hauna hisia kwake bali tuu kujali kwake ukajikuta mko kwenye mahusiano (rebounds)ulifanya kosa sana kuingia kwenye mahusiano na mtu usie na hisia nae.
pole sana but this is probably karma.
speaking from experience huh?inatokea sanyingine kuwa hivyo,maana ukiachana na mtu wako unahisi upwekwe,mtu akatokea akakujali unapata ahueni,na hapo wals huoni kama humpendi,baadae ndo inakuhit kua hauna hisia kwake bali tuu kujali kwake ukajikuta mko kwenye mahusiano (rebounds)
We boya acha kutusi watu na hizo posti zako uchwara za kila siku kulia lia kama sh**oga.Wewe ni mmoja kati ya wale aliowaita mkapa marofa anayekupenda humpend kisa tu unakuta hana sijui ile six pac na havai katakundu, umeenda kwa shalobalo asiwe haata na time na wewe unakuja kutuomba siye ushaur shubamitttttttti shabashiiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app