Napata shaka kama ana mapenzi ya dhati kwangu

Napata shaka kama ana mapenzi ya dhati kwangu

Huyo kaka hakupendi kama we usivyompenda boy wako kweli wahenga hawakukosea ukimfanyia mwenzio vibaya lazima kikurudie pole sana
As long as sijamfanyia chochote kibaya I can go back to him! Unadhani nafurahia kutokuwa na hisia nae?
 
Asante! Lakin kwa kukujuza tuu nina miaka 24 My first boyfriend tuliachana 2013. Ndo nikakimbilia kwa huyo niliemuita tulizo now I have fallen for the other guy! Huo ni umalaya? Sidhani kama ht demu wako kapitia wanaume wachache ivo
Wewe hao wanaume wa kwenye daladala, huna adabu unamwita my sweet demu?? Demu wewe hapo umebakia makinikia dhahabu yote wameisha beba..!

Kiufupi wewe ni jibu tena la takoni, huwez kuwa mjinga hivyo..! Nakuombea wakutie mimba afu wakutimue km mbwa..!
 
Malipo ni hapa hapaaa, sema dah kuna watu wanabahatiii ya kutunukiwa papuchi kizembeee
Na Mungu huwa anakulipa vilevile na unavyomfanyia mwenzio kwahiyo hapo kutunukiwa papuchi kizembe umemaanishaje mama p anakuja sasa hivi utamjibu [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom