Naongea naye nini?

ukali hausaidii aisee.

Siku ya kwanza ananiambia kuhusu huyo binti alianza kwa statement 'nikisema najua utanichapa'

nikamwambia kwani huwa nakuchapa? Hakuwa na hakika nitalipokea vipi, imagine alikuwa la kwanza.

Akasema 'kuna mtoto nampenda darasani' tukaongea ongea wee, akanieleza wanafanya nini, wanacheza michezo gani.

Nikagundua, ukiwa mkali tu, mtoto anakuwa msiri.

Ni vizuri mtoto kuwa na dalili za kuwa attracted na opposite sex, na ukali hautasaidia zaidi ya kumfanya ajifiche kwa kupenda wanaume wenzie. Lol.
 
Kwa kuwa tayari
anaenda boarding ushauri kuwa asiende hauna maana kwa sasa; (maana mimi
boarding sitaki kuzisikia)

Hiyo shule kma si ya masister tafuta mwalimu wa nidhamu mshikishe ela ya
maana afu mwambie wasiwasi wako na watoto kusoma boarding...nina
uhakika atamuweka karibu naye na ku fill space yako kama mzazi.

Mwambie pia kuwa kuna tabia mbaya ya ushoga...na awe makini, asiwe
karibu na vijana wa madarasa ya juu, asikubali kuvuliwa pichu na kijana
yeyote.

Huwezi amini haya ndio maneno nayomwambia mwanangu wa 5 years....hakuna
mtu kukuvua pichu...akikuvua piga kelele mwambie na mwalimu na ukirudi
home tuambie.

cdhani km kumkurubisha na mwlm wa nidham ndo suluhu bali nikuzidisha matatizo,kwani mm nilijuta kwa nn nimekabidhiwa kwa mwlm/nidham kwani ali2mie iyo chance kunisumbua kimapenzi na kuninyima raha maisha yng ya shule yote.
malipo duniani akhera hesabu,baada ya kumaliza mm alifumaniwa gest na askari baada ya dent kusukia mazingira ya kumkamatisha,mpk leo ana nyea debe.
 
cdhani km kumkurubisha na mwlm wa nidham ndo suluhu bali nikuzidisha matatizo,kwani mm nilijuta kwa nn nimekabidhiwa kwa mwlm/nidham kwani ali2mie iyo chance kunisumbua kimapenzi na kuninyima raha maisha yng ya shule yote.
malipo duniani akhera hesabu,baada ya kumaliza mm alifumaniwa gest na askari baada ya dent kusukia mazingira ya kumkamatisha,mpk leo ana nyea debe.

exactly.....
 
Ha ha ha Kongosho mimi nimekuta tuSMS twingi toka kwa Lucy, Ritha na Ritha's brother. Halafu unajua huyo Ritha ni binti wa Mtambuzi. LOL

Anyway meseji nyingi ni za 'Mambo', 'unafanya nini', umefanya mtihani shule gani and the like!
 
Last edited by a moderator:
yaani mie na tatizo sana na kumwamini mtu na mtoto wangu, siwezi mkabidhi hata kwa pasta.

Afu watoto wanaokuwa victims mara nyingi ni wale wapole. Watukutu huwa hawaeleweki, na bora nimfundishe awe mtukutu kwa kiasi fulani.

Hata hivyo labda utukutu ni wakurithi.
 
Tell him all about sex, how it can ruin him hopelessly. Muambie about hiv, stds na unawanted pregnancies. Jinsi anavyoweza kujitwika ubaba na utakavyomhenyesha na kumnyima utoto. Muambie na kuhusu same sex problems na ilivyo laana kwa mtu binafsi na familia pia. Tell him how you wish you were a kid and dont have to worry about stuff. Kikubwa mjengee hofu ya Mungu na sio ya mzazi.
Tell him popote alipo God is watching over him. He should fear God than humans. Whatever he feels to do in the hiding must be wrong, so bora asifanye manake hakuna ambacho Mungu amekataza ambacho hakina madhara kwa binaadamu.
Kama ana maswali muambie auntie king'asti is ready for him,lol. Mpe hiyo iPhone nichat nae:D
 
Mi mwanangu huwa ananitajia majina ya marafiki zake; humo kuna wavulana na wasichana...ukipita muda utaona yamebadilika...ukiuliza mbona hujamtaja fulani...utasikia alinipiga. Lol.

Kuna siku aliniacha hoi...mimi ni mvivu sana ku drive...napenda kupewa lifti...kuna siku kaniona na drive tulikuwa wote kwenye gari akaniangaliaaa...nikamuuliza kulikoni...unajua aliniulizaje? Kwani wasichana wanaendesha gari?; hapo ana miaka minne. Nikasema hapa mtoto ameanza ku practice mfumo dume. Lol. Keshajua mimi msichana baba mvulana...na kuna kazi za wavulana, na za wasichana.




ukali hausaidii aisee.

Siku ya kwanza ananiambia kuhusu huyo binti alianza kwa statement 'nikisema najua utanichapa'

nikamwambia kwani huwa nakuchapa? Hakuwa na hakika nitalipokea vipi, imagine alikuwa la kwanza.

Akasema 'kuna mtoto nampenda darasani' tukaongea ongea wee, akanieleza wanafanya nini, wanacheza michezo gani.

Nikagundua, ukiwa mkali tu, mtoto anakuwa msiri.
 
ukiona mtoto wako wa kiume anapenda kasichana unashukuru Mungu lol

ni kama akiwa mdogo ukimuona anajinyoosha na vyote vinanyooka unatabasamu unajipa moyo umezaa kidume.

Ila tu, inabidi kuwa naye karibu kujua hao marafiki wanaenda umbali kiasi gani.

Ha ha ha Kongosho mimi nimekuta tuSMS twingi toka kwa Lucy, Ritha na Ritha's brother. Halafu unajua huyo Ritha ni binti wa Mtambuzi. LOL

Anyway meseji nyingi ni za 'Mambo', 'unafanya nini', umefanya mtihani shule gani and the like!
 
Last edited by a moderator:
King'asti unajua nimecheka kwenye hiyo sentensi yako ya mwisho; kiasi kwamba ameniuliza nacheka nini, anasema najua ni JamiiForums tu.

Nikimpa hii techno atajua username yangu na ataona jinsi gani mummy anaharibu sometimes. LOL

Nashukuru sana kwa mapwenti, nimepata ujasiri na namna ya kuvunja ukimya.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo si kukabidhiwa kwa mwalimu wa nidhamu...tatizo ni distance yako na wazazi wako...

Kwa nini haukumsemea kwa wazazi???

Mimi babab yetu alikuwa rafiki...hata hao walimu walikuwa wakimpelekea hiyo feedback (umbea) tulikuwa tunanafasi ya ku explain; including kuwakandia baadhi ya walimu kuwa wanajipendekeza tu wala hawatufundishi.

Sasa kama wewe mwalimu alikuwa ana ku abuse (au alitaka kuku abuse) ukakaa kimya eti kisa wazazi wamekukabidhi kwake...tatizo ni la uhusiano wako na wazazi wako...na mwalimu atakuwa alijua hiyo weakness.

Kitu kingine mie naongelea primary school ambayo haikuwa boarding...huyo mwalimu atafanya mapenzi na mie wapi???

Bado nakazania...mwalimu ni vema awe rafiki na mzazi...it works...

Hiyo haina maana kuwa mtoto hana uhuru wa kuongea na haki ya kusikilizwa...triangulation kwa kila information ndio mpango mzima.




cdhani km kumkurubisha na mwlm wa nidham ndo suluhu bali nikuzidisha matatizo,kwani mm nilijuta kwa nn nimekabidhiwa kwa mwlm/nidham kwani ali2mie iyo chance kunisumbua kimapenzi na kuninyima raha maisha yng ya shule yote.
malipo duniani akhera hesabu,baada ya kumaliza mm alifumaniwa gest na askari baada ya dent kusukia mazingira ya kumkamatisha,mpk leo ana nyea debe.
 
King'asti, huwa tuna-underestimate uwezo wa watoto wetu, sababu tunadhani ni wadogo.

Wanajua mengi mno, mengi vingine hadi unashangaa akikueleza.

Mfano kuhusu AIDS wanafundishwa sijui darasa la pili, mie huwa napenda mtoto asikie jambo kutoka kwangu maana najua watoto huamini wazazi zaidi na maneno ya mzazi huwa hayasahauliki kirahisi.
 
Last edited by a moderator:
Tell him all about sex, how it can ruin him hopelessly. Muambie about hiv, stds na unawanted pregnancies. Jinsi anavyoweza kujitwika ubaba na utakavyomhenyesha na kumnyima utoto. Muambie na kuhusu same sex problems na ilivyo laana kwa mtu binafsi na familia pia. Tell him how you wish you were a kid and dont have to worry about stuff. Kikubwa mjengee hofu ya Mungu na sio ya mzazi.
Tell him popote alipo God is watching over him. He should fear God than humans. Whatever he feels to do in the hiding must be wrong, so bora asifanye manake hakuna ambacho Mungu amekataza ambacho hakina madhara kwa binaadamu.
Kama ana maswali muambie auntie king'asti is ready for him,lol. Mpe hiyo iPhone nichat nae:D

.....Oopss..... The kid is only 11yrs bana, hata baleghe bado haijakaa sawa unamtisha na HIV, STD and the likes? ....hata kumpa 'smartfone' u chat nae pia ni wrong!

Huyu underage, anatakiwa anolewe hapo hapo kwenye spiritual teachings kujua 'madhambi na madhara yake.' mtoto anaogopa dhambi kuliko haya maradhi ya wakubwa aka ngono!

Samahani lakini...;)
 
Umeelewa why my first toy was a bubble gun eeh? My dad told me to kick a*s lol
yaani mie na tatizo sana na kumwamini mtu na mtoto wangu, siwezi mkabidhi hata kwa pasta.

Afu watoto wanaokuwa victims mara nyingi ni wale wapole. Watukutu huwa hawaeleweki, na bora nimfundishe awe mtukutu kwa kiasi fulani.

Hata hivyo labda utukutu ni wakurithi.
 
Naona wengi wanaongelea the bad side of boarding skuli. Mwambie yafuatayo 1. Awe makini kuchagua marafiki-asifanye haraka atake time kuwastudy na kufanya selection. 2. Aepuke makundi ya kupiga soga, awe muda mwingi na wenzake wanaopenda kusoma. 3. Ashiriki ktk michezo. 4. Boarding skul hasa ya mbali ni sehemu ya advanture, anapaswa kufurahia na kuwa active kujifunza utamaduni mpya. 5. Anaenda kuandaa phase ya maisha ya ajira ambayo inaweza kuwa mbali na familia, hivyo akiweza kucope na kufanya vizuri ni ishara atafurahia maisha yake ktk ajira akijbliwa.
 
538650_492529450758965_168310883_n.jpg


Inategemea anaenda shule ya aina gani. Only boys? Shule iko town or in a remote area? Kuna shule nyingine za boarding ni tough. Nyingine ni za watoto mayai. Kama alishawahi kusema zomba kwenye thread nyingine, kuna shule za boarding ambazo zinaendeshwa kwa nadharia kuwa mwanafunzi anaepelekwa pale ni kwa ajili ya kupata utulivu na aondokane na vishawishi vya mitaani ili apate kujikita kwenye masomo.

Zipo nyingine ingawaje ni chache sana ambazo zinaendeshwa kwa nadharia ya kuwapatia wanafunzi mazingira ya hali ya juu kwa kila kitu kama vile malazi, makazi, lishe bora na nzuri, michezo ya kuwajenga miili na akili na kuwafanya wawe wanaipenda shule na masomo kuliko nyumbani na vishawishi vya mitaani.

Wa kwako anaenda shule ya aina gani kati hizo hapo juu? Kwa nini umeamua aende boarding school badala ya day school? Did you reach the decision together?
Nilisoma boarding O Level in a very tough school. Nilipelekwa pale ili nijifunze maisha hasa kuishi na watu wa aina mbalimbali, which I did.

Baba yangu aliponidrop hapo shuleni, hakusema lolote zaidi ya kunikatia pocket money na kuniaga. But my mum was very concerned kwa sababu nilikuwa mdogo sana kiumri na umbo. I was 14 by then and the youngest in the school. As a mother, I understand you must be concerned too.

Tulipofungua shule baada ya Pasaka baadhi wanafunzi hasa wale mayai hawakurudi tena shule. Waliobaki wengi walifukuzwa shule kwa sababu mbalimbali. Mtihani wa mwisho kabisa wa form four (I remember it was Biology II) tulifanya huku shule imezingirwa na FFU na baada ya paper tulisimamiwa na polisi kufunga virago vyetu na kuondoka eneo la shule. It was those days though. Siku hizi nafikiri ni shule chache za aina hii zimebakia. Pia shule binafsi ziko money oriented zaidi, so kuliko kumfukuza shule mwanafunzi ni heri kumpa suspension.

Kuhusu bullying, yes ipo. Lakini bullying ipo pia kwenye day schools. Kuna shule zenye mtindo wa form two kuwanyanyasa form one kama kulipiza kisasi vile kwa waliyotendewa wakati wakiwa form one. Kuna makundi pia. Nafikiri the most issue ni kundi atalokuwa ana- mingle nalo. Makundi mengine ni mazuri, mengine ni mabaya.

Kuhusu ushoga, possibly yes, but inategemea pia na system ya uongozi wa shule. Shule niliyosoma, uongozi wa wanafunzi ulikuwa very strict na wafutiliaji. Wale waliokuwa wanajulikana kuwa wanaendekeza ushoga walikuwa wanafunguliwa kwenye ofisi ya vijana na kupewa kibano cha kufa mtu. Again it was those days. Siku hizi ushoga ni jambo la kawaida kwenye jamii yetu.

At the end of the day inategemea pia jinsi ulivyomkuza kwa miaka hiyo 12. O level, kundi langu lilikuwa la wavuta bangi, lakini I never smoked that thing mpaka leo, though nilikuwa mtoro na mbishi kuchapwa bila sababu za msingi. lol. So, it could go either way kulingana na mtoto mwenyewe na jinsi alivyokuzwa. Kama zipo sababu za kumpeleka boarding, na kama uamuzi wa kwenda boarding hasa hiyo shule mlifikia pamoja, then I am sure hutakosa cha kuongea nae.
 
Thanks EMT kwa uchambuzi yakinifu, anaenda Feza Boys sasa sijui for sure iko kwenye kundi gani. Labda waliosoma hapo wanaweza nitoa wasiwasi juu ya malezi.

Kwenye rules zao, bullying inalead kwa sunspension but shule gani ambayo haina adhabu kama hizo kwa bullying.

Nimeamua aende boarding kwakuwa huku niliko hakuna shule nzuri, na pia sipendi sana kuwa mzigo kwa ndugu zangu; inaepusha maneno na inaleta ukaribu ukipunguza unnecessary usumbufu.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hahhaha, im sure my parents were not worried about me. Manake akijisemesha mtu anapata majibu ya kumtosha. Kuna mwalimu alinitakaga praimare nikamuambia naenda kukusemea kwa maza. Afu nilimuambia mama, tukamtetaa weeeh. Ila seems hakumuuliza manake leo tukikutana namuambia nilikusemeaga haamini. Dah, them days!
he he he, na kweli

afu utukutu mwingine uko damuni, na walimu wake wanakomaje.

Mtoto kama mzazi, full usumbufu.
 
Duh, sasa niseme nini mie....
Mengi yamesemwa na sina cha kuongeza kwa kweli. hata mimi nimejifunza maana zamani ilikuwa ni watoto wa kike lakini siku hizi hata watoto wa kiume si salama tena.. Ushoga na usagaji umechukua nafasi kubw2a sana katika shule zetu za boading.
 
Back
Top Bottom