Naongea naye nini?

Kaunga

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
12,530
13,469
My son anaenda kuanza form one, (preform one next month) boarding school he is going to be 12 next year.

As a mother namuambia nini? Nafeel kuna kitu napaswa kumwambia sijui nimwambie nini na jinsi gani.

Sijasoma boarding school O'level so sijui kunakuweje, nasikia ushoga unaanziaga huko. Bullying inanitia wasiwasi ukizingatia umri wake ni relatively Mdogo.

Nisaidieni nini cha kuongea naye.
N.B Namlea mwenyewe as a single mom.
 
duh umechelewa ulipaswa mpeleka mazoezi ya karate age six

usingehitaji maneno meengi now

anyway cha kwanza mnunulie viatu vya michezo na mpira ikiwezekana

umsisitize awe mwanamichezo

mostly watoto ambao wako active na sports wanakuwa na kujiamini
wanaweza jitetea
na kikubwa wanakuwa popular na wenzie so kuonewa inakuwa ngumu...

halafu mwambie mtu akimgusa tu.....apige kelele ,asiogope mtu yeyote
asiogope kujitetea.....
 
Mhhhh! Hizo shule za boarding kwa kweli ni hatari sana katka mambo hayo uliyoyaandika. Sijui ili kumuepusha na hali hiyo ni lipi umwambie. Halafu Walimu ambao wanatakiwa kuhakikisha watoto wote wako salama kila siku iendayo kwa Mungu ni wazembe mno!!!

Labda umwambie tu mtu akikufanyia haya (unayaorodhesha yote) kamwambie Mwalimu, lakini Mwalimu anaweza kumpotezea na kumwambia lete ushahidi. Kazi kweli kweli!!!


My son anaenda kuanza form one, (preform one next month) boarding school he is going to be 12 next year.

As a mother namuambia nini? Nafeel kuna kitu napaswa kumwambia sijui nimwambie nini na jinsi gani.

Sijasoma boarding school O'level so sijui kunakuweje, nasikia ushoga unaanziaga huko. Bullying inanitia wasiwasi ukizingatia umri wake ni relatively Mdogo.

Nisaidieni nini cha kuongea naye.
N.B Namlea mwenyewe as a single mom.
 
My son anaenda kuanza form one, (preform one next month) boarding school he is going to be 12 next year.

As a mother namuambia nini? Nafeel kuna kitu napaswa kumwambia sijui nimwambie nini na jinsi gani.

Sijasoma boarding school O'level so sijui kunakuweje, nasikia ushoga unaanziaga huko. Bullying inanitia wasiwasi ukizingatia umri wake ni relatively Mdogo.

Nisaidieni nini cha kuongea naye.
N.B Namlea mwenyewe as a single mom.

Huna cha kumwambia mydear zaidi ya azingatie masomo na kujiepusha na marafiki wabaya.

Umemlea mwenyewe kwa 11yrs, hivyo ulivyomlea ndivyo atakavyo cope na maisha mapya. Kama ulimlea huku unamjengea self confidence/self esteem, atakuwa ok.

Subiria mid-term akirudi na uki note changes (mbaya) chukua hatua...

Relax, woga wako usijemkosesha kujiamini huko aendako, otherwise utakuja muogopea hata siku atakayo oa!

Boarding school raha sana,...another step to maturity...
 
My son anaenda kuanza form one, (preform one next month) boarding school he is going to be 12 next year.

As a mother namuambia nini? Nafeel kuna kitu napaswa kumwambia sijui nimwambie nini na jinsi gani.

Sijasoma boarding school O'level so sijui kunakuweje, nasikia ushoga unaanziaga huko. Bullying inanitia wasiwasi ukizingatia umri wake ni relatively Mdogo.

Nisaidieni nini cha kuongea naye.
N.B Namlea mwenyewe as a single mom.

Sitegemei kumalizia nasaha zote lakini hivi hapa zitamsaidia
1. mwambie kwamba anakwenda shule kusoma na si vinginevo
2. Asishawishike na maisha mengine zaidi ya yale ya kusoma na kumuomba Mungu
3. Asikubali kuwa na hisia za kimapenzi, na pia ajue kwamba tendo lolote la ngono akifanya litampa UKIMWI na huo ndio mwisho wa maisha yake (kumtisha mtoto inasaidia mara nyingi), pia mwambie kwamba hakuna kinga zaidi ya kuacha hayo mambo mpaka amalize kusoma
4. Asitumie mda mrefu kupiga soga na wenzake bali autumie muda huo kwa kufanya mazoezi na michezo ya kujenga mwili na akili
5. Akiwa na shida ya kitu chochote akwambie wewe/mwalim wa nidhamu na si vinginevyo
 
Thanks a lot The Boss, kuna mtu mmoja anamfundisha karate akiwa likizo, it was for funny though; kumbe it can become handy eeh.

Kwa sport anapenda mpira ingawa sidhani kama ni mzuri (pole yake anatoka kwenye familia isiyo na historia ya sport)

Asante sana tena!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuwa tayari anaenda boarding ushauri kuwa asiende hauna maana kwa sasa; (maana mimi boarding sitaki kuzisikia)

Hiyo shule kma si ya masister tafuta mwalimu wa nidhamu mshikishe ela ya maana afu mwambie wasiwasi wako na watoto kusoma boarding...nina uhakika atamuweka karibu naye na ku fill space yako kama mzazi.

Mwambie pia kuwa kuna tabia mbaya ya ushoga...na awe makini, asiwe karibu na vijana wa madarasa ya juu, asikubali kuvuliwa pichu na kijana yeyote.

Huwezi amini haya ndio maneno nayomwambia mwanangu wa 5 years....hakuna mtu kukuvua pichu...akikuvua piga kelele mwambie na mwalimu na ukirudi home tuambie.
 
cha kwanza, mwambie ajue yeye ni mwanamme na uanamme wake ni muhimu na aulinde.

Asikubali mwanamme wa aina yeyote amguse sehemu zake, awe mwanafunzi, mwalimu, au yeyote yule.

Kama huwa nyie ni waamini, asisahau kuabudu mnakabudu, ndio ulinzi wake wa kiakili.

Asipende kujaribu vitu ambavyo anajua umemfundisha kutofanya, mfano, sigara, bangi, pombe. Mwambie yeye bado ni mdogo, atajifunza mengine akifika miaka 18.

Mie nilianza kumwambia wangu asikubali mtu amguse wala amchezee nyeti akiwa na miaka 4, na huwa namkumbusha mara kadhaa, so ni kitu anajua sana na yuko makini nacho.

Nadhani pia ana crush na mdada wa darasani tangu wako la kwanza, hadi leo akiwa na kitu kizuri anasema naenda kumgawia fulani.

Inamsaidia kujitambua he should go for girls. Ila ana maswali magumu mno.
 
Thanks a lot The Boss, kuna mtu mmoja anamfundisha karate akiwa likizo, it was for funny though; kumbe it can become handy eeh.

Kwa sport anapenda mpira ingawa sidhani kama ni mzuri (pole yake anatoka kwenye familia isiyo na historia ya sport)

Asante sana tena!


masuala ya kuwa bullied yanawakumba watoto ambao ni loner
na ambao wazazi wao ni wakali sana na kuwafanya wakose uchangamfu

kama umemlea kwa kujiamini
na ni mtoto mwenye furaha,basi
atakuwa ok tu...
ondoa wasiwasi
 
Kwa kuwa tayari anaenda boarding ushauri kuwa asiende hauna maana kwa sasa; (maana mimi boarding sitaki kuzisikia)

Hiyo shule kma si ya masister tafuta mwalimu wa nidhamu mshikishe ela ya maana afu mwambie wasiwasi wako na watoto kusoma boarding...nina uhakika atamuweka karibu naye na ku fill space yako kama mzazi.

Mwambie pia kuwa kuna tabia mbaya ya ushoga...na awe makini, asiwe karibu na vijana wa madarasa ya juu, asikubali kuvuliwa pichu na kijana yeyote.

Huwezi amini haya ndio maneno nayomwambia mwanangu wa 5 years....hakuna mtu kukuvua pichu...akikuvua piga kelele mwambie na mwalimu na ukirudi home tuambie.


wewe ndo unaleta hatari mpyaa kabisa
whatif huyo mwalimu ndio pedophile mwenyewe?
au hujui walimu pia wapo hatari tupu?

kumkabidhi mtoto kwa mwalimu ni hatari mno..
chochote atakachoambiwa na mwalimu anaweza fanya...

bora toto liwe nunda tu,hata walimu wanaligwaya lol
 
Thanks nyumba kubwa, kwa muda sina jinsi lazima aende but after next year nitamtoa kwani nitakuwa naye karibu.

Wasiwasi wangu ni kuwa waweza mwambia kitu na matokeo yake ukampa idea (kuwa kumbe kuna hiki na hiki, lemme try).

Amesoma boarding primary lkn shule nzuri ambayo ilikuwa na uangalizi wa karibu. Hawakuwa watu zaidi ya 20 hostel, na kila chumba matron alikuwepo. But now secondary where they are expected to be mature, napata hofu kiasi.
 
Last edited by a moderator:
My son anaenda kuanza form one, (preform one next month) boarding school he is going to be 12 next year.

As a mother namuambia nini? Nafeel kuna kitu napaswa kumwambia sijui nimwambie nini na jinsi gani.

Sijasoma boarding school O'level so sijui kunakuweje, nasikia ushoga unaanziaga huko. Bullying inanitia wasiwasi ukizingatia umri wake ni relatively Mdogo.

Nisaidieni nini cha kuongea naye.
N.B Namlea mwenyewe as a single mom.

Ushoga unaanzia popote. Ila usiogope. Bila shaka mwanao anajua kama duniani kuna ushoga, wizi, ubakaji na tabia nyingine. Endelea kumkumbusha kuwa anatakiwa kuwa makini hasa kwa kuwa kule wewe hautakuwepo. Mtie ujasiri wa kujitetea mwenyewe katika kila hali. Msisitize asiogope kuripoti chochote anachoona anashindwa kupambana nacho bila woga. Usisahau ushauri wa THE BOSS.
 
Ni vizuri mtoto kuwa na dalili za kuwa attracted na opposite sex, na ukali hautasaidia zaidi ya kumfanya ajifiche kwa kupenda wanaume wenzie. Lol.


cha kwanza, mwambie ajue yeye ni mwanamme na uanamme wake ni muhimu na aulinde.

Asikubali mwanamme wa aina yeyote amguse sehemu zake, awe mwanafunzi, mwalimu, au yeyote yule.

Kama huwa nyie ni waamini, asisahau kuabudu mnakabudu, ndio ulinzi wake wa kiakili.

Asipende kujaribu vitu ambavyo anajua umemfundisha kutofanya, mfano, sigara, bangi, pombe. Mwambie yeye bado ni mdogo, atajifunza mengine akifika miaka 18.

Mie nilianza kumwambia wangu asikubali mtu amguse wala amchezee nyeti akiwa na miaka 4, na huwa namkumbusha mara kadhaa, so ni kitu anajua sana na yuko makini nacho.

Nadhani pia ana crush na mdada wa darasani tangu wako la kwanza, hadi leo akiwa na kitu kizuri anasema naenda kumgawia fulani.

Inamsaidia kujitambua he should go for girls. Ila ana maswali magumu mno.
 
nyumba kubwa, nakubaliana na wewe kumwambia mtotot tangu akiwa mdogo. Mie sikumwambia ushoga, ila nilimwambia alinde maeneo yake muhimu.

Hakuna cha mwalimu, wala pasta, wala mwanafunzi, nikakwambia piga kelele, pigana na nitakusapoti kwa utakalofanya kujilinda.

Huwa hasahau aisee, na alikuwa na miaka 4 tu, alipoanza tu shule.

Na huwa namkataza hata kuingia chooni na wengine, aende peke yake.
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru Mbu, hicho pia nilikuwa nakifikiria 'kumtrust' na kiukweli anajiamini vya kutosha tu.

Kongosho, sio mara moja au mbili ananikumbusha kusali tukila out. Ibada ya jioni anaongoza, anachagua neno na kutafakari; kiukweli ni mmoja kati ya watu walionihamasisha kuacha pombe; hivyo sina shaka na imani yake.

mathcom asante nitayazingatia hayo uliyoyashauri.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hata kama mwalimu ni bazazi...ujasikia kuwa mchawi mkabidhi mwanao.

Mimi nakumbuka baba yetu alikuwa na tabia ya kuwashikisha sana walimu wetu wa primary kiasi kuwa tulipata wakati mgumu kwani walikuwa na special interests na sisi. Na walikuwa wanapenda peleka feed back home ili wapate sababu ya kuongea na mdingi...hivyo ku behave haikuwa option.

Ila ilitusaidia...si unajua mwalimu akijua kuwa una exist huwezi kuvurunda. Tulipokuwa tunafaulu basi walikuwa na uhakika wa kupata ofa ya bia. Japo kuna wengine hawakuwa hata wanatufundisha. Na those days hatukuwa na diary wala nini ni efforts za baba mwenyewe...kwani ni shule hizi za serikali.

Hilo limenifanya hata mimi kujifunza kuwa very close na walimu wa mwanangu... Ukizingatia ana spend muda mwingi shuleni kuliko nyumbani...mwalimu ndiye mlezi wake.


wewe ndo unaleta hatari mpyaa kabisa
whatif huyo mwalimu ndio pedophile mwenyewe?
au hujui walimu pia wapo hatari tupu?

kumkabidhi mtoto kwa mwalimu ni hatari mno..
chochote atakachoambiwa na mwalimu anaweza fanya...

bora toto liwe nunda tu,hata walimu wanaligwaya lol
 
Thanks nyumba kubwa, kwa muda sina jinsi lazima aende but after next year nitamtoa kwani nitakuwa naye karibu.

Wasiwasi wangu ni kuwa waweza mwambia kitu na matokeo yake ukampa idea (kuwa kumbe kuna hiki na hiki, lemme try).

Amesoma boarding primary lkn shule nzuri ambayo ilikuwa na uangalizi wa karibu. Hawakuwa watu zaidi ya 20 hostel, na kila chumba matron alikuwepo. But now secondary where they are expected to be mature, napata hofu kiasi.

sorry hebu fafanua
kila chumba mtoto analala na matron?
matron wa kiume?
how old?
mtoto tu na matron?
 
Back
Top Bottom