Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
My son anaenda kuanza form one, (preform one next month) boarding school he is going to be 12 next year.
As a mother namuambia nini? Nafeel kuna kitu napaswa kumwambia sijui nimwambie nini na jinsi gani.
Sijasoma boarding school O'level so sijui kunakuweje, nasikia ushoga unaanziaga huko. Bullying inanitia wasiwasi ukizingatia umri wake ni relatively Mdogo.
Nisaidieni nini cha kuongea naye.
N.B Namlea mwenyewe as a single mom.
As a mother namuambia nini? Nafeel kuna kitu napaswa kumwambia sijui nimwambie nini na jinsi gani.
Sijasoma boarding school O'level so sijui kunakuweje, nasikia ushoga unaanziaga huko. Bullying inanitia wasiwasi ukizingatia umri wake ni relatively Mdogo.
Nisaidieni nini cha kuongea naye.
N.B Namlea mwenyewe as a single mom.