Hajafanya chochote zaidi ya kujaribu kuanzisha miswada isiyofanikiwa bungeni au kuibua mabomu bungeni. wapinzani hawana kitu na ccm tunapeta mwaya.
kidumu chama cha mapinduzi
kwa sababu alikuta wabunge wote wamelala, akawa hana pa kuanzia isipokuwa from scratch, ambayo ndio hiyo miswada, hata kama haijafanikiwa lkn he tried his best, wewe umejaribu kuifanyia nini nchi yako?