Basi be informed kuwa Zitto ametamka kuwa 2010 hagombei tena ubunge. Ndio maana nasema sasa hivi tusimshabikie wala kusema kachemka, tungoje kuona strategy aliyonayo.
Good for him, lkn kutokugombea ubunge 2010 hakujeopardize ndoto yake ya kuja kuwa Rais one day, some days!