Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 46,003
- 113,881
Mbona ujazungumzia nyeroo
Na wewe tukupe maua yako kabla ya kuaga au ?19 years? 🙄🙄🙄
Wewe ni mwanangu kabisa.... Aisee kwaherini JF siitaki tena.
Kimjini mjini maua ni ..kile unachostahili, aifa au pongeziHili suala la maua limekaaje hili silielewi maana kuna sehemu nilikua napiga job nikawa nipo straight sana eeeh nikaona nàanza kuletewa maua ya kila aina, nini maana ya nipeni maua yangu ?
Mimi sio muhanga wa nyerooo[emoji23] mbussu zipo ...Mbona ujazungumzia nyeroo
Bado jiandae na vile ushaanza na kataa ndoaTayari mzee[emoji23]
Yaan ukipewa maua ndio unachostahiri maua ? Rose flowers mean what ?Kimjini mjini maua ni ..kile unachostahili, aifa au pongezi
Sawa dogolasi ila cha kukushauri ukitaka kuvuta bangi acha vuta subira ni nzuri zaidi. Mimi nmekwepa sana kunywa pombe ila nilipita salamaMimi sio muhanga wa nyerooo[emoji23] mbussu zipo ...
Waliongea kwa lugha za picha.Yaan ukipewa maua ndio unachostahiri maua ? Rose flowers mean what ?
Rose flowers means loveYaan ukipewa maua ndio unachostahiri maua ? Rose flowers mean what ?
Kaka...hii kitu hii 🤣🤣Huo ndyo muda sahihi wa kutumia hvyo vitu
Kunywa pombe sana
Vuta bangi
Tafuna mirungi
Nyeto kwa sana
View attachment 2605997
Og kutoka chuga
That's what you mean ?Rose flowers means love
Aisee now I know sikua najua naona napewa maua tu, so kupewa maua inamaanisha kupewa sifa zako ? Kwa hio nipeni maua yangu maana yake nipeni sifa zangu, sijakosea ?Waliongea kwa lugha za picha.
Badala ya kutamka mpeni jamaa maua...na ukasifiwa...wakaamua kukupa maua kama ishara au kuashiria tu unachostahili...sifa
Nini tena....[emoji1787][emoji1787]
Wewe mchaga wa wapi cariha Huwa tunasema mchaga akifanikiwa kuacha pombe pekee yatosha kusema ameokoka😂😂😂Usinywe pombe au kuvuta bangi kisa watu wanaokuzunguka utaharibikiwa kuliko wao. Mie mwenyewe mchaga ila sinywi pombe na ma group hayajawahigi kunishawishi just be you. Pia hivi ni lazima uende kwenye ma club?
Ku-hangout na washkaji.... Weekend nyingi lazima kuna mtu atapendekeza twende sehemu flani tukale bata....Usinywe pombe au kuvuta bangi kisa watu wanaokuzunguka utaharibikiwa kuliko wao. Mie mwenyewe mchaga ila sinywi pombe na ma group hayajawahigi kunishawishi just be you. Pia hivi ni lazima uende kwenye ma club?