Tajiri mdogo
New Member
- Mar 14, 2026
- 1
- 5
Eid Mubarak to all celebrating.
Mimi ni Mtanzania halisi, miaka miwili nyuma nilinunua kiwanja huko kisiwani Zanzibar chenye thamani ya million 2.5.
Tulienda kukiangalia kiwanja kisha kuandikishana [aliyeniuzia kiwanja ni mzawa] kisha nikakabidhiwa hati miliki na Shehia.
Baadaye nikaenda kwenye kiwanja changu nikakuta kuna ujenzi unaendelea pale kumbe aliyeniuzia kiwanja alinizunguka na kumuuzia mtu mwingine.
Nilirudi kwa Shehia kumweleza yaliyojiri, Akaitwa akakiri pale kuwa ni kweli alimuuzia mtu mwingine, kisha akaniahidi kunipa eneo lingine nikamwambia hapana anirejeshee tu pesa zangu akasema sawa.
Kila nikimpigia simu anaahidi kuwa tarehe fulani atanikabidhi pesa zangu,
Ikifika hiyo tarehe husika anakuja na sababu za uongo [janja janya nyingi sana]
Nilishapiga simu hadi nimechoka.
Mimi ni Mtanzania halisi, miaka miwili nyuma nilinunua kiwanja huko kisiwani Zanzibar chenye thamani ya million 2.5.
Tulienda kukiangalia kiwanja kisha kuandikishana [aliyeniuzia kiwanja ni mzawa] kisha nikakabidhiwa hati miliki na Shehia.
Baadaye nikaenda kwenye kiwanja changu nikakuta kuna ujenzi unaendelea pale kumbe aliyeniuzia kiwanja alinizunguka na kumuuzia mtu mwingine.
Nilirudi kwa Shehia kumweleza yaliyojiri, Akaitwa akakiri pale kuwa ni kweli alimuuzia mtu mwingine, kisha akaniahidi kunipa eneo lingine nikamwambia hapana anirejeshee tu pesa zangu akasema sawa.
Kila nikimpigia simu anaahidi kuwa tarehe fulani atanikabidhi pesa zangu,
Ikifika hiyo tarehe husika anakuja na sababu za uongo [janja janya nyingi sana]
Nilishapiga simu hadi nimechoka.