Naombeni ushauri wenu kwenye hili tafadhali.....

mshamba_hachekwi

JF-Expert Member
Mar 3, 2023
16,797
51,966
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 19. Hivi karibuni nimekua nikipatwa na msukumo mkubwa wa kunywa pombe na kuvuta bangi. Kusema kweli najaribu sana kujizuia, lakini naona kama hizi jitihada zangu hazitozaa matunda.....

Kwa muda mrefu sasa, marafiki zangu nawaona wanachukulia hii ishu kawaida sana..... Tukiwa kwenye mitoko, hawawezi acha kulewa ovyo, kuvuta bangi na shisha, na ku-vape. Kwa mtazamo wao, ni kitu cha kawaida sana, na wanaona kama hakuna madhara yoyote yanaweza kutokea. Wanasema 'wanakula ujana', 'wanamwagilia moyo'.....
Miaka mingi sasa tumekua tukiishi haya maisha.... kwenda maclub weekend na 'kula bata'. Mimi nimekua nikijizuia mno...... nazugazuga chupa moja nainya hata masaa 2-3.....

Unaweza sema niko kwenye makundi mabaya, lakini mimi sioni hivyo.... hawa ni marafiki zangu wa muda mrefu, tumekua tukisaidiana sana, sema hapo kwenye mambo ya starehe ndo tunatofautiana.....

Pia ndugu, ukizingatia kwamba mimi ni mchaga(kote upande wa baba na mama), wanatumia sana haya mazaga na wamekua wakinishawishi sana, na hata wengine kuonyesha dharau.... Nakumbuka kuna siku nilitoka na bamkubwa nikakataa kunywa pombe.... alicheka sana na kunishangaa.....

Najua wengine mnaweza sema hakuna shida yeyote kwenye kutumia kidogo, lakini kama nilivosema..... mimi ni kijana mdogo, bado maisha yangu ni marahisi, nategemea wazazi, hivyo bado nina ndoto za kufanya vitu vikubwa na maisha yangu, hivyo naogopa sana pombe na bangi vitanirudisha nyuma. Nimeona watu wengi wakiharibikiwa kwasababu ya pombe na bangi....

Najua humu JF watu wazima mko wengi, naomba mnishauri..... Kuna namna ya kubalance maisha ya kawaida na hizi starehe?? Au niendelee kukaa navyo mbali.... na ikiwa hivyo, nitumie mbinu gani??
 
Huo ndyo muda sahihi wa kutumia hvyo vitu
Kunywa pombe sana
Vuta bangi
Tafuna mirungi
Nyeto kwa sana
IMG_6421.jpg

Og kutoka chuga
 
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 19. Hivi karibuni nimekua nikipatwa na msukumo mkubwa wa kunywa pombe na kuvuta bangi. Kusema kweli najaribu sana kujizuia, lakini naona kama hizi jitihada zangu hazitozaa matunda.....

Kwa muda mrefu sasa, marafiki zangu nawaona wanachukulia hii ishu kawaida sana..... Tukiwa kwenye mitoko, hawawezi acha kulewa ovyo, kuvuta bangi na shisha, na ku-vape. Kwa mtazamo wao, ni kitu cha kawaida sana, na wanaona kama hakuna madhara yoyote yanaweza kutokea. Wanasema 'wanakula ujana', 'wanamwagilia moyo'.....
Miaka mingi sasa tumekua tukiishi haya maisha.... kwenda maclub weekend na 'kula bata'. Mimi nimekua nikijizuia mno...... nazugazuga chupa moja nainya hata masaa 2-3.....

Unaweza sema niko kwenye makundi mabaya, lakini mimi sioni hivyo.... hawa ni marafiki zangu wa muda mrefu, tumekua tukisaidiana sana, sema hapo kwenye mambo ya starehe ndo tunatofautiana.....

Pia ndugu, ukizingatia kwamba mimi ni mchaga(kote upande wa baba na mama), wanatumia sana haya mazaga na wamekua wakinishawishi sana, na hata wengine kuonyesha dharau.... Nakumbuka kuna siku nilitoka na bamkubwa nikakataa kunywa pombe.... alicheka sana na kunishangaa.....

Najua wengine mnaweza sema hakuna shida yeyote kwenye kutumia kidogo, lakini kama nilivosema..... mimi ni kijana mdogo, bado maisha yangu ni marahisi, nategemea wazazi, hivyo bado nina ndoto za kufanya vitu vikubwa na maisha yangu, hivyo naogopa sana pombe na bangi vitanirudisha nyuma. Nimeona watu wengi wakiharibikiwa kwasababu ya pombe na bangi....

Najua humu JF watu wazima mko wengi, naomba mnishauri..... Kuna namna ya kubalance maisha ya kawaida na hizi starehe?? Au niendelee kukaa navyo mbali.... na ikiwa hivyo, nitumie mbinu gani??
19 years? 🙄🙄🙄
Wewe ni mwanangu kabisa.... Aisee kwaherini JF siitaki tena.
 
Mimi ni kijana mdogo wa miaka 19. Hivi karibuni nimekua nikipatwa na msukumo mkubwa wa kunywa pombe na kuvuta bangi. Kusema kweli najaribu sana kujizuia, lakini naona kama hizi jitihada zangu hazitozaa matunda.....

Kwa muda mrefu sasa, marafiki zangu nawaona wanachukulia hii ishu kawaida sana..... Tukiwa kwenye mitoko, hawawezi acha kulewa ovyo, kuvuta bangi na shisha, na ku-vape. Kwa mtazamo wao, ni kitu cha kawaida sana, na wanaona kama hakuna madhara yoyote yanaweza kutokea. Wanasema 'wanakula ujana', 'wanamwagilia moyo'.....
Miaka mingi sasa tumekua tukiishi haya maisha.... kwenda maclub weekend na 'kula bata'. Mimi nimekua nikijizuia mno...... nazugazuga chupa moja nainya hata masaa 2-3.....

Unaweza sema niko kwenye makundi mabaya, lakini mimi sioni hivyo.... hawa ni marafiki zangu wa muda mrefu, tumekua tukisaidiana sana, sema hapo kwenye mambo ya starehe ndo tunatofautiana.....

Pia ndugu, ukizingatia kwamba mimi ni mchaga(kote upande wa baba na mama), wanatumia sana haya mazaga na wamekua wakinishawishi sana, na hata wengine kuonyesha dharau.... Nakumbuka kuna siku nilitoka na bamkubwa nikakataa kunywa pombe.... alicheka sana na kunishangaa.....

Najua wengine mnaweza sema hakuna shida yeyote kwenye kutumia kidogo, lakini kama nilivosema..... mimi ni kijana mdogo, bado maisha yangu ni marahisi, nategemea wazazi, hivyo bado nina ndoto za kufanya vitu vikubwa na maisha yangu, hivyo naogopa sana pombe na bangi vitanirudisha nyuma. Nimeona watu wengi wakiharibikiwa kwasababu ya pombe na bangi....

Najua humu JF watu wazima mko wengi, naomba mnishauri..... Kuna namna ya kubalance maisha ya kawaida na hizi starehe?? Au niendelee kukaa navyo mbali.... na ikiwa hivyo, nitumie mbinu gani??
Miaka mingi umekuwa ukienda klabu, ndiyo kwanza una miaka 19.


Hiyo miaka mingi ya kwenda klabu ni ipi? Ulianza kwenda klabu na miaka mingapi?

Turudi, unaweza kuwa na urafiki na hao wenzako lakini hulazimiki kwenda kwenye maeneo ya Starehe au wanapovuta bangi. Ambatana nao kwenye mambo mengine, ukishaona sada ni muda wa kwenda Club, wewe nenda nyumbani kalale. Nina hakika hawakulazimishi.

Kila kitu ni maamuzi. Ukishaamua hakuna kinachoshindikana. Ila mwenyewe huna imani tena juu yako. Weka imani yako thabiti.

Jiwekee sababu za kujizuia kunywa pombe au kuvuta bangi. Iwe kiafya na kiuchumi na hata kijamii. Sababu hizo ziwe kichocheo cha wewe kutotaka kujaribu kutumia vilevi.

Kuwa karibu na Mungu. Omba akuongoze. Mshinde shetani. Marafiki zako kuwa wavuta bangi isikufanye nawe uvute. Kama unalazimika basi badili aina ya marafiki.
 
Waepuke hao marafiki na utafute wengine wanao endana na wewe,
Au usiende huko kwenye starehe na hao rafiki zako,
Shikilia msimamo wako hivyo hivyo kwa imani yako coz hapo Duniani ulikuja peke yako na utaondoka peke yako,usiishi kwa kutaka kumfurahisha mtu au kwa kuona watu watanionaje? ishi maisha uliyoyachagua and chase ur dreams,

Live the life you love,love the life you live.
 
Back
Top Bottom