Upendo, wema na uhusiano kwenye jamii

Upendo, wema na uhusiano kwenye jamii

Marry Diana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,418
Reaction score
4,113
Habari zenu,
Wengine shikamoon.

Si ujanja,wala usistaduu, kwenye kuishi na watu,bali unyenyekevu kama tunavyofundishwa kwenye nyumba za ibada unaweza kutuweka katika mazingira bora na kuwa na jamii makini.

Kwamfano nimechunguzaaa nimegundua wachamungu wengi Wana heshima kwenye jamii kuliko wale wanaoishi mradi kunakucha.

Lakini pia niseme tu ukweli kuna mambo hayapendezi haswa akifanya mwanamke.

Kuvuta sigara,bangi,unywaji wa pombe kupita kiasi pamoja na changamoto zingine nyingi, lakini pia kutukana ovyo na usela ambao Kwa mwanamke ni kitendo cha aibu na chenye kufedhehesha niwaombe Tu wasichana na wanawake wenzangu tujifunze kuiishi misingi ya kitanzania kuliko kuwa na maisha yasiyompendeza Mungu na wanadamu wenzako.

Naomba msamaha Kwa wale woooote nilowakosea,nimewaza na kuona unaweza kuta unatukanana na mtu wa karibu vipi siku mkijuana maana zipo event zitatukutanisha na kutambuana hata Kwa bahati mbaya.

Nisameheni mdogo,au mtoto wenu,na wadogo zangu nisameheni dadaenu.

Jamiiforum for life🌹🌹🌹🌹
 
Habari zenu,
Wengine shikamoon.

Si ujanja,wala usistaduu, kwenye kuishi na watu,bali unyenyekevu kama tunavyofundishwa kwenye nyumba za ibada unaweza kutuweka katika mazingira bora na kuwa na jamii makini.

Kwamfano nimechunguzaaa nimegundua wachamungu wengi Wana heshima kwenye jamii kuliko wale wanaoishi mradi kunakucha.

Lakini pia niseme tu ukweli kuna mambo hayapendezi haswa akifanya mwanamke.

Kuvuta sigara,bangi,unywaji wa pombe kupita kiasi pamoja na changamoto zingine nyingi, lakini pia kutukana ovyo na usela ambao Kwa mwanamke ni kitendo cha aibu na chenye kufedhehesha niwaombe Tu wasichana na wanawake wenzangu tujifunze kuiishi misingi ya kitanzania kuliko kuwa na maisha yasiyompendeza Mungu na wanadamu wenzako.

Naomba msamaha Kwa wale woooote nilowakosea,nimewaza na kuona unaweza kuta unatukanana na mtu wa karibu vipi siku mkijuana maana zipo event zitatukutanisha na kutambuana hata Kwa bahati mbaya.

Nisameheni mdogo,au mtoto wenu,na wadogo zangu nisameheni dadaenu.

Jamiiforum for life🌹🌹🌹🌹
ni kweli kabisa,
wapendwa wengi sana wana heshima mno mbele ya jamii nyakati za mchana penye nuru, ila usiku kwenye giza ni stori nyingine sana hasa kwenye mikesha yao.

ama kwa hakika kwenye Nuru hufanyika Mema na kwenye Giza hufanyika maovu
 
Habari zenu,
Wengine shikamoon.

Si ujanja,wala usistaduu, kwenye kuishi na watu,bali unyenyekevu kama tunavyofundishwa kwenye nyumba za ibada unaweza kutuweka katika mazingira bora na kuwa na jamii makini.

Kwamfano nimechunguzaaa nimegundua wachamungu wengi Wana heshima kwenye jamii kuliko wale wanaoishi mradi kunakucha.

Lakini pia niseme tu ukweli kuna mambo hayapendezi haswa akifanya mwanamke.

Kuvuta sigara,bangi,unywaji wa pombe kupita kiasi pamoja na changamoto zingine nyingi, lakini pia kutukana ovyo na usela ambao Kwa mwanamke ni kitendo cha aibu na chenye kufedhehesha niwaombe Tu wasichana na wanawake wenzangu tujifunze kuiishi misingi ya kitanzania kuliko kuwa na maisha yasiyompendeza Mungu na wanadamu wenzako.

Naomba msamaha Kwa wale woooote nilowakosea,nimewaza na kuona unaweza kuta unatukanana na mtu wa karibu vipi siku mkijuana maana zipo event zitatukutanisha na kutambuana hata Kwa bahati mbaya.

Nisameheni mdogo,au mtoto wenu,na wadogo zangu nisameheni dadaenu.

Jamiiforum for life🌹🌹🌹🌹
Hapo Marry kidogo umeanza kuwa wife material sasa endelea hivyo Mungu atajibu maombi yako hivi karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom