Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,091
Habari zenu jukwaa la biashara, nina duka nilifungua mwaka jana kuna rafiki alinisaidia kukata vibali vya TRA ila kwa sasa hayupo.
Mwaka jana nilihusika tu kwenye kulipia zile kodi za kila baada ya miezi mitatu.
Sasa kwa mwaka huu nimejuzwa kwamba inabidi niende kufanyiwa makadirio upya.
Je, ni vitu gani nahitaji kwenda kufanyiwa makadirio?
Ninapewa kitu gani nikishakadiriwa kiwe ushahidi?
Kuna mambo yapi ya ziada inabidi nizingatie?
Mwaka jana nilihusika tu kwenye kulipia zile kodi za kila baada ya miezi mitatu.
Sasa kwa mwaka huu nimejuzwa kwamba inabidi niende kufanyiwa makadirio upya.
Je, ni vitu gani nahitaji kwenda kufanyiwa makadirio?
Ninapewa kitu gani nikishakadiriwa kiwe ushahidi?
Kuna mambo yapi ya ziada inabidi nizingatie?