Makadirio ya kodi

lake Ngonsi

Member
Dec 18, 2022
13
41
Naombeni msaada wa kueleweshwa maana TRA hawajanielewesha Kila nilipohitaji.

Juzi nilifika Ofisi za TRA kwa ajili ya kufanyiwa makadirio ya kodi. Nikakutana na ofisa pale nikazungumza nae na baada ya kujibu maswali na kukagua mashine ya EFD akanikadiria laki sita kwa mwaka kama kodi. Baada ya hapo yale makadirio yakapelekwa kwa meneja, meneja akakataa akasena natakiwa kulipa milion mbili. Yaani hataki tena mjadala zaidi anasema kama utashindwa kulipa basi utaandika barua.

Wastani wa mauzo Kwa siku ni Tshs 165,000/-..... na nikimuuliza umetumia Njia gani anasema duka lako ni maarufu hiyo utalipa tu...

Naombeni msaada wa mawazo, na kama Kuna mtalaam humu aniambie kama ipo sawa hiyo milion mbili au nifanyeje ili anielewe. Na kwanini amekataa makadirio ya mtendaji/ofisa wake?
Au Kuna vita hapo? Maana duka lenyewe Lina miezi 8 tu tangu kuanza.

Mwananchi wa kawaida ninayetafuta kutoka lkn naona kama faida yote itaoshia kwenye Kodi.

Naombeni ushauri wanazuoni wazalendo
 
Hata mi nimetoka kukadiriwa likely 550k but baada ya kujitetea kuwa mtaji ni loan bank na porojo.. jamaa wakashusha hadi 200k per year.

Kwani mkuu unauza products gani labda tuanzie hapo nikushauri, frem umepanga bei gani?
 
TRA ndio sababu kwann raia hawapendi kulipa kodi na wanakwepa kulipa kodi.

Matangazo yao huwa ni ya kinafiki sana ambayo huwa wanajinasibu kuwa wao ni rafiki kwa mlipa kodi ila si kweli. TRA ifumuliwe na iundwe upya na sheria zake.
 
Ni kweli wastani wako ni laki na 65 kwa siku?
Sijaangalia kikokotoo cha mwaka huu lakini hakitapisha sana na hii hesabu hapa.

165,000 × 28 ( wastani mauzo kwa mwezi)
Hii ni sawa na 4,620,000/=
4,620,000 × 12 (wastani mauzo kwa mwaka) sawa na 55,440,000/=

Kikokotoo kinasema :-
Kama mauzo yako yanazidi mil 14, then kodi ni laki nne na nusu jumlisha 3% ya kiasi kilichozidi mil 14, yaani:-

450,000 + (3% of (55,440,000-14,000,000))
450,000 + (3% of (41,440,000))
450,000 + (1,243,200)
1,693,200

Na ukiendelea hivi, mwakani lazima uingie VAT.

Zingatia neno wastani wa mauzo.
Kama ni kweli wastani wako ni huo uliosema then kodi yako ni milioni moja laki sita tisini na tatu na mia mbili.

Ndio maana watu wanakwepa kutoa risiti.
 
Ninachojiuliza ni
kwanini TRA wanakadiria kodi kutoka kwenye mtaji na sio faida?

Kinachotakiwa kulipiwa kodi ni faida sio mtaji
Mauzo ya 160+ faida yake ni Tsh ngapi kwa siku na kwa mwaka?
Hapa ndio huwa hawajiulizi zipo biashara unaweza uza laki na sitini na ukawa faida yako ni kiduchu sana.......sasa huu upande haujamulikwa.
TRA ukishampa General report ya sales zako unakuwa huna pakukimbilia labda ufunge biashara.
 
MAUZO YAKO KWA MWAKA ZIDISHA KWA 3.5%. Utakachokipata ndio kodi yako.
Ukiona Nyingi sana, basi ufunge vitabu vya mahesabu, yaani ujikadirie kutokana na Faida. Unaijsajili E-Filling basi. Na kila mwaka utasubmit FINANCIAL STATEMENTS ZAKL
 
Ni kweli wastani wako ni laki na 65 kwa siku?
Sijaangalia kikokotoo cha mwaka huu lakini hakitapisha sana na hii hesabu hapa.

165,000 × 28 ( wastani mauzo kwa mwezi)
Hii ni sawa na 4,620,000/=
4,620,000 × 12 (wastani mauzo kwa mwaka) sawa na 55,440,000/=

Kikokotoo kinasema :-
Kama mauzo yako yanazidi mil 14, then kodi ni laki nne na nusu jumlisha 3% ya kiasi kilichozidi mil 14, yaani:-

450,000 + (3% of (55,440,000-14,000,000))
450,000 + (3% of (41,440,000))
450,000 + (1,243,200)
1,693,200

Na ukiendelea hivi, mwakani lazima uingie VAT.

Zingatia neno wastani wa mauzo.
Kama ni kweli wastani wako ni huo uliosema then kodi yako ni milioni moja laki sita tisini na tatu na mia mbili.

Ndio maana watu wanakwepa kutoa risiti.
Sheria sasa ni only 3.5% lakini in real ni kubwa sana ukilinganisha na mwaka uliopita.
 
Naombeni msaada wa kueleweshwa maana TRA hawajanielewesha Kila nilipohitaji.

Juzi nilifika Ofisi za TRA kwa ajili ya kufanyiwa makadirio ya kodi. Nikakutana na ofisa pale nikazungumza nae na baada ya kujibu maswali na kukagua mashine ya EFD akanikadiria laki sita kwa mwaka kama kodi. Baada ya hapo yale makadirio yakapelekwa kwa meneja, meneja akakataa akasena natakiwa kulipa milion mbili. Yaani hataki tena mjadala zaidi anasema kama utashindwa kulipa basi utaandika barua.

Wastani wa mauzo Kwa siku ni Tshs 165,000/-..... na nikimuuliza umetumia Njia gani anasema duka lako ni maarufu hiyo utalipa tu...

Naombeni msaada wa mawazo, na kama Kuna mtalaam humu aniambie kama ipo sawa hiyo milion mbili au nifanyeje ili anielewe. Na kwanini amekataa makadirio ya mtendaji/ofisa wake?
Au Kuna vita hapo? Maana duka lenyewe Lina miezi 8 tu tangu kuanza.

Mwananchi wa kawaida ninayetafuta kutoka lkn naona kama faida yote itaoshia kwenye Kodi.

Naombeni ushauri wanazuoni wazalendo
Mkuu maelezo yako yanakufunga wakipiga mahesabu Kodi sahihi ni hyo milion 2...!! Ilitakiwa uwakaze kamba tangu mwanzo , sema mtiti unakuja Duka wanalijua
 
Mkuu
Ni kweli wastani wako ni laki na 65 kwa siku?
Sijaangalia kikokotoo cha mwaka huu lakini hakitapisha sana na hii hesabu hapa.

165,000 × 28 ( wastani mauzo kwa mwezi)
Hii ni sawa na 4,620,000/=
4,620,000 × 12 (wastani mauzo kwa mwaka) sawa na 55,440,000/=

Kikokotoo kinasema :-
Kama mauzo yako yanazidi mil 14, then kodi ni laki nne na nusu jumlisha 3% ya kiasi kilichozidi mil 14, yaani:-

450,000 + (3% of (55,440,000-14,000,000))
450,000 + (3% of (41,440,000))
450,000 + (1,243,200)
1,693,200

Na ukiendelea hivi, mwakani lazima uingie VAT.

Zingatia neno wastani wa mauzo.
Kama ni kweli wastani wako ni huo uliosema then kodi yako ni milioni moja laki sita tisini na tatu na mia mbili.

Ndio maana watu wanakwepa kutoa risiti.
Umekokotoa vizuri sana, sasa hapo faida ya mfanyabiashara ndio imepigiwa hesabu au ni mtaji? Vip kuhusu matumizi na kodi ya pango, hata kama faida yote kwa mwaka ni 10% ya mauzo basi utakuwa unaifanyia kazi TRA, kodi kubwa sana hiyo
 
Ni kweli wastani wako ni laki na 65 kwa siku?
Sijaangalia kikokotoo cha mwaka huu lakini hakitapisha sana na hii hesabu hapa.

165,000 × 28 ( wastani mauzo kwa mwezi)
Hii ni sawa na 4,620,000/=
4,620,000 × 12 (wastani mauzo kwa mwaka) sawa na 55,440,000/=

Kikokotoo kinasema :-
Kama mauzo yako yanazidi mil 14, then kodi ni laki nne na nusu jumlisha 3% ya kiasi kilichozidi mil 14, yaani:-

450,000 + (3% of (55,440,000-14,000,000))
450,000 + (3% of (41,440,000))
450,000 + (1,243,200)
1,693,200

Na ukiendelea hivi, mwakani lazima uingie VAT.

Zingatia neno wastani wa mauzo.
Kama ni kweli wastani wako ni huo uliosema then kodi yako ni milioni moja laki sita tisini na tatu na mia mbili.

Ndio maana watu wanakwepa kutoa risiti.
Mimi nahitaji kueleweshwa jambo....

Kwanini TRA wanahesabu mtaji/mauzo ya siku na isiwe faida ya siku?

Wananichosha TRA....

Huduma zao sio rafiki hasa kwa tabaka la chini....
 
Mimi nahitaji kueleweshwa jambo....

Kwanini TRA wanahesabu mtaji/mauzo ya siku na isiwe faida ya siku?

Wananichosha TRA....

Huduma zao sio rafiki hasa kwa tabaka la chini....
Limekua swali la wengi kwa kipindi kirefu.

Well inawezekana kua taxed kwenye faida.
Kampuni zote ziko taxed kwenye faida, generally, inabidi uwe entity ili uwe taxed kwenye faida.

Utapata faida ya kua taxed kwenye faida lakini itabidi uwe na proof ya cost zote unazostate, maana revenue minus cost ndo utapata faida, sasa lazima cost zako ziwe na proof, i.e EFD receipt, kama mishahara wa vijana inabidi ionekane kwenye PAYE na SDL

Utajikadiria mwenyewe kupitia e-filing system, lakini lazima ukaguliwe hesabu zako, lazima uwasilishe audited financial book kila mwaka.

Hapa kuna mhasibu wa kumlipa, kuna audit firm ya kuilipa. Kila mhasibu anapoitwa kwaajili yako utamlipa extra duty au per diem kulingana na ofisi yake ilipo.
 
Kwahio kwa Mwaka Mauzo ni zaidi ya milioni Arobaini ? (Na kama unafanya kila Siku ni zaidi ya 60M)? Nadhani ulijichanganya kwenye mauzo yako kwa siku; cha kufanya anza kufanya mahesabu hapo kutakuwa hakuna makadirio tena bali unakwenda kwa mahesabu; ila ndio hivyo huyo Muhasibu kuna costs ambazo sidhani kama zitapungua laki sita...

Ndio hivyo Bongo Tambalale ukienda by the book kutoboa ni ngumu sana; ndio maana kuna mdau mmoja wa ughaibuni alishasema Wabongo wote wezi...; Bila kona kona utashangaa unafunga biashara kabla haujaianza...
 
Back
Top Bottom