Wale ni matapeli wenyewetizama huyu mtu alivyo mjinga... kinacho mpa moyo eti ni comment za watu mbalimbali wakimwambia wamepokea mkopo tayari



Mkataba wa bandari unasema ipo siku bahari itakauka.Wajing hawaishi labda bahari Ije ikauke
Ova
anambiwa haminiamini....au usikute nae ni muosha anatia huruma hapa pimbi lingie king limsaidie iyo afu80Wale ni matapeli wenyewe
Sidanganyiki.
huyu dada nadhani nae ni tapeli anataka pimbi lijichanganye kumsaidia iyo afu80HOME OF GREAT THINKER KUMBE NA MBULULAS WAPO WHAT A SHAIM!?
Pole sana mkuu. Peleka tatizo lako polisi watawasaka hao wezi hasi wapatikane na kukurudishia fedha zako.Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
Kwakweli,anambiwa haminiamini....au usikute nae ni muosha anatia huruma hapa pimbi lingie king limsaidie iyo afu80

Ukowapi nikurudishie hiyo pesa? Usije ukajinyonga mtoto wa watu. Pole sana pia.Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Pole sana kumbe wewe ni mdada aisee hao itakuwa lengo moja pamoja na huyo uliyokuw unachat nae,Kama hapan nilikosea wap View attachment 2665364
Tatizo ndo lilianzia apaWewe unataka hela halafu unatoa hela huoni kuwa una tatizo la akili
Apo aliaidiwa laki8 najua akiba ameambiwa aweke 80' tamaa izoYaani wewe boya kweli, unatafuta mkopo rafiki yako kakupa halafu ukawapa wengine.
😃 Kuna wakati huwa ninatamani kuhamia Afghanstan ili nikawe Mtaliban!Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310