Naombeni msaada, nimetapeliwa

Naombeni msaada, nimetapeliwa

Mwigulu alipokuja na mpango wa kutoza Kodi matangazo ya mtandaoni ni kukusaidia moja kwa moja mtumiaji kutoka kwa makanjanja wa mitandaoni.

Kuweka Kodi ina maaana kubwa na pana zaidi kwa sababu udhibiti unakuwepo.

Hapo ndio basi tena hakuna anayeweza kukusaidia, kubali tu yaishe.
Ulikua ni mpango mbovu kwani wangepata Hela kiasi gani, mitandaoni ni wajasiliamali wadogo wadogo tu
 
Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
Wakupe mkopo wako,mmalize kwa namna hiyo😂Ila ujue mjini shule 🏫,shamba darasa 🏃🏃
 
KUTANA NAMI TATIBU CHINDO, Ni mbobevu wa tiba dua na dahwa kwa wale wenye shida mbali mbali za afya na hasa kwa walio dhurumiwa ama kuibiwa na hata kwa upotevu wa mali, ni ndani ya siku tatu(3) mali yako inakua imerudi mikononi mwako.

Karibu PM kwa maelezo zaidi.
Njoo ukiwa serious.
 
KUTANA NAMI TATIBU CHINDO, Ni mbobevu wa tiba dua na dahwa kwa wale wenye shida mbali mbali za afya na hasa kwa walio dhurumiwa ama kuibiwa na hata kwa upotevu wa mali, ni ndani ya siku tatu(3) mali yako inakua imerudi mikononi mwako.

Karibu DM kwa maelezo zaidi.
Njoo ukiwa serious.
Dah Wale wale tena
 
KUTANA NAMI TATIBU CHINDO, Ni mbobevu wa tiba dua na dahwa kwa wale wenye shida mbali mbali za afya na hasa kwa walio dhurumiwa ama kuibiwa na hata kwa upotevu wa mali, ni ndani ya siku tatu(3) mali yako inakua imerudi mikononi mwako.

Karibu DM kwa maelezo zaidi.
Njoo ukiwa serious.
duh na wewe tena unataka umtie maumivu, haya ngoja aje pm.
 
Kama hapan nilikosea wap View attachment 2665364
Umewahi kufika kwenye ile michezo ya karata 3 au 3 Chafu ? Km hujawahi karibu Mjini hao wanaitwa Scammers wapo wa masuala ya kazi huko FB wamejaa hatari na hawachukuliwi hatua yoyote na wanaiba kila siku wanatapeli watu ukiona comments ni wao wenyewe wanacomment kujenga uaminifu kwa victims, hapo jipige kifua alafu sema Mimi ni mjinga nimeingizwa Mjini ukiweza nenda kawaroge
 
Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
Ndio wanafanya hao wakopeshaji MATAPELI Na sasa wapo wengi Sana
 
Back
Top Bottom