Wajinga ndiyo waliwaoHiyo elf 83 ya rafiki ako angekupa elf 20 tu ukatafuta location yenye watoto ukiwauzia vi barafu vi kacholi nk nk siku mbili hadi tatu ungerudisha hiyo 20 ya watu unaendelea na mishe zako mdogo mdogo....
Katika akili za kawaida tu ww unaweza kumpa mtu mkopo huku online humjui, hujui anakaa wapi, unampa tu??
Yaani unaibiwa kirahisi hivyo?Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
Siku zote ukiuanza mteremko kaa ukijua mbele kuna mlima., ogopa matepeli.Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
chadema wakapingaMwigulu alipokuja na mpango wa kutoza Kodi matangazo ya mtandaoni ni kukusaidia moja kwa moja mtumiaji kutoka kwa makanjanja wa mitandaoni.
Kuweka Kodi ina maaana kubwa na pana zaidi kwa sababu udhibiti unakuwepo.
Hapo ndio basi tena hakuna anayeweza kukusaidia, kubali tu yaishe.
bado hamini eti,,yani hata hakutaka kujiuliza je hao watu wamesajilia au vipi,ofice zao ni zipi nkUshapigwa
Na wao pia hela yako wameipata kwa shida sana maana iliwalazimu watumie ujanja laini.Hawapatikan,,Hali yangu ni mbayaa kwa Sasa natetemeka tu maana Hela nilipata kwa shida sana na kukopa nyingine
Hahaha karibu mjiniHapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
Asante nimefeli wap,,maana nilisoma hata comment za watu wakasema wamekopeshwa
comments zilikuwa zao