Hii saikolojia sijui ikoje. Ni wengi kweli kweli wantapeliwa hivi. Eti mtu una shida ya fedha unaambiwa utoe fedha kwanza ndiyo upewe fedha halafu huoni kama kuna tatizo. Kwa nini wasikate hizo fedha wakati wanakukopesha? Au kwa nini wasizi-iclude kwenye deni ili ulipe pamoja na deni? All in all, mtu atakukopeshaje wakati hajui sehemu ulipo na utarudishaje?Wewe unataka hela halafu unatoa hela huoni kuwa una tatizo la akili
matapeli wenzio hao, wamekuwahi tu. unakopa ili ukopeshweHapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
mkopo bila dhamana na hamjuaniHii saikolojia sijui ikoje. Ni wengi kweli kweli wantapeliwa hivi. Eti mtu una shida ya fedha unaambiwa utoe fedha kwanza ndiyo upewe fedha halafu huoni kama kuna tatizo. Kwa nini wasikate hizo fedha wakati wanakukopesha? Au kwa nini wasizi-iclude kwenye deni ili ulipe pamoja na deni? All in all, mtu atakukopeshaje wakati hajui sehemu ulipo na utarudishaje?
Matapeli wana kiasi kikubwa cha uelevu ndio maana wanaweza kutapeli watu wajingaNenda polisi halafu mtafute mtu mpya namba mpya ajifanye anaomba mkopo..mkiwatrack hao mnakamata wote.na wakulipe pesa ulizotumia polisi
NakaziaPole sana, ila umepigwa kiboya sana.
ujue unashangaza sanaMwatatu niliwafuta dm akasema ndio wamekopeshwa
wajinga wanaishaga basi
Nimecheka kama mazuri vile
Waliniambie nitume riba kwanza,nikatuma,
Habari iliishia hapo.
Hatari sana.wajinga wanaishaga basi
MAZUZU hayataisha Nchi hiiHapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
Hao ni wenyewe matapeli ndugu shtukaMwatatu niliwafuta dm akasema ndio wamekopeshwa

,tizama huyu mtu alivyo mjinga... kinacho mpa moyo eti ni comment za watu mbalimbali wakimwambia wamepokea mkopo tayariHatari sana.
Huwa natamani kuwazaba kibao watu wa hivi. WanakeraaaPole sana, ila umepigwa kiboya sana.
Tetemeka ufe kabisaHawapatikan,,Hali yangu ni mbayaa kwa Sasa natetemeka tu maana Hela nilipata kwa shida sana na kukopa nyingine