Naombeni msaada, nimetapeliwa

Naombeni msaada, nimetapeliwa

Wewe unataka hela halafu unatoa hela huoni kuwa una tatizo la akili
Hii saikolojia sijui ikoje. Ni wengi kweli kweli wantapeliwa hivi. Eti mtu una shida ya fedha unaambiwa utoe fedha kwanza ndiyo upewe fedha halafu huoni kama kuna tatizo. Kwa nini wasikate hizo fedha wakati wanakukopesha? Au kwa nini wasizi-iclude kwenye deni ili ulipe pamoja na deni? All in all, mtu atakukopeshaje wakati hajui sehemu ulipo na utarudishaje?
 
Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
matapeli wenzio hao, wamekuwahi tu. unakopa ili ukopeshwe
 
Hii saikolojia sijui ikoje. Ni wengi kweli kweli wantapeliwa hivi. Eti mtu una shida ya fedha unaambiwa utoe fedha kwanza ndiyo upewe fedha halafu huoni kama kuna tatizo. Kwa nini wasikate hizo fedha wakati wanakukopesha? Au kwa nini wasizi-iclude kwenye deni ili ulipe pamoja na deni? All in all, mtu atakukopeshaje wakati hajui sehemu ulipo na utarudishaje?
mkopo bila dhamana na hamjuani
ngumu sana
 
Nenda polisi halafu mtafute mtu mpya namba mpya ajifanye anaomba mkopo..mkiwatrack hao mnakamata wote.na wakulipe pesa ulizotumia polisi
Matapeli wana kiasi kikubwa cha uelevu ndio maana wanaweza kutapeli watu wajinga

Hiyo namba yao inatumika only kupokea simu za watapeliwa na kupokea pesa. Hawaitumii wao kwa mawasiliano yao binafsi, hivyo tracking utabki tu kujua simu iko mtaa fulani buguruni malapa, lakini kila wakifuatilia wanawasiliana na nani ili ndio wamtafute hawakuti mwasiliano yoyote
 
6DE5FC69-A67A-47AF-A374-C8D54D182BE8.jpeg
 
Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
MAZUZU hayataisha Nchi hii
 
Back
Top Bottom