Naombeni msaada, nimetapeliwa

Naombeni msaada, nimetapeliwa

Hiyo elf 83 ya rafiki ako angekupa elf 20 tu ukatafuta location yenye watoto ukiwauzia vi barafu vi kacholi nk nk siku mbili hadi tatu ungerudisha hiyo 20 ya watu unaendelea na mishe zako mdogo mdogo....

Katika akili za kawaida tu ww unaweza kumpa mtu mkopo huku online humjui, hujui anakaa wapi, unampa tu??
Hakuna watu wajinga km wa Facebook wale wanaandika bohifurendi!!!
 
Mwigulu alipokuja na mpango wa kutoza Kodi matangazo ya mtandaoni ni kukusaidia moja kwa moja mtumiaji kutoka kwa makanjanja wa mitandaoni.

Kuweka Kodi ina maaana kubwa na pana zaidi kwa sababu udhibiti unakuwepo.

Hapo ndio basi tena hakuna anayeweza kukusaidia, kubali tu yaishe.
Naye mhuni tu huyo 😂😂
 
Mama angu alilia cku moja na wale wanakupigia alafu wanakwambia wametuma hela kimakosa laki na thelathin bi mkubwa aliwafowadia elfu na moja ndy salio alilokuwa nalo kwa cm yaaani alipigwa kizembe tu sasa mkuu kunywa maji upumzike ubongo uli lirax upyaaa iyooo imesepaaaaaa
 
nimecheka sana eti ofisi ni kwajili ya wafanyakazi tuh hairuhusiwi kuingia kwa sababu za kiusalama

na bado ukawapa pesa ivi umelogwa!bank zinakua na pesa kiasi gani na bado watu wanaingia hukujiuliza hilo,maduka mangapi ya uwakala yanapesa wa watu wanaingia.

SIKU NYINGINE FUNGUA MACHO
yaaani hapoo tusitianee Moyo my wangu upigwaa na kitu kizitoo kapumzikee kwa amaniiii
 
Hiyo elf 83 ya rafiki ako angekupa elf 20 tu ukatafuta location yenye watoto ukiwauzia vi barafu vi kacholi nk nk siku mbili hadi tatu ungerudisha hiyo 20 ya watu unaendelea na mishe zako mdogo mdogo....

Katika akili za kawaida tu ww unaweza kumpa mtu mkopo huku online humjui, hujui anakaa wapi, unampa tu??
Sister hujawahi kufeli kiujumla Ni ushauri mzuri kwa watu wengine wenye uelewa mdogo kama jamaa hapo
 
KUTANA NAMI TATIBU CHINDO, Ni mbobevu wa tiba dua na dahwa kwa wale wenye shida mbali mbali za afya na hasa kwa walio dhurumiwa ama kuibiwa na hata kwa upotevu wa mali, ni ndani ya siku tatu(3) mali yako inakua imerudi mikononi mwako.

Karibu PM kwa maelezo zaidi.
Njoo ukiwa serious.
na ww unataka akupe daaaaah nchi ngumu hii eeeh any way njoo uwalogeee bhana kwa mtaalamuui wageuke kuwa
 
Elfu 84 au milioni 84?. Maana usije ukakuta unalia ni elfu 84 tu?. Kama ni elfu 84 watakuja oooh...! Viwango vya uwezo vimetofautiana. Mwingine hiyo ni kubwa sana. Kama ni elfu 84 shukuru MUNGU na jipige kifua umejinasua. Umefundishwa kwa kiwango kidogo,maana ulikuwa unatafutwa 10m hapo utupie. Hiyo imekwisha ifanye umenywea bia tu na wana. Wala usiumize hata kichwa. Panga mengine
Umeongea ukweli
 
Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
Tayari hiyo
 
Mpka Sasa nimesha FUTA na fb kwenye simu yanguu

Kama umefuta na Fb , huyo mwizi utampata wapi , hapa nisawa na kuipoteza ofc iliyokuibia, sijui kama unanielewa mkuu
 
Kwa hyo wewe na rafiki Yako ni hamnazo au hukumshirikisha?
 
Hiyo elf 83 ya rafiki ako angekupa elf 20 tu ukatafuta location yenye watoto ukiwauzia vi barafu vi kacholi nk nk siku mbili hadi tatu ungerudisha hiyo 20 ya watu unaendelea na mishe zako mdogo mdogo....

Katika akili za kawaida tu ww unaweza kumpa mtu mkopo huku online humjui, hujui anakaa wapi, unampa tu??
Ukiwa na 'mentality' za kupenda mteremko, akili zinapotea
 
Mpka Sasa nimesha FUTA na fb kwenye simu yanguu
Yote Tisa shukuru umetapeliwa 84k
Maana Kuna watu wanatapeliwa millions na maisha yanaenda.

Jifunze kutokana na makosa.

Hapo itakufunza siku nyingne hutotuma pesa kirahisi rahisi.

NB: Hata kwenye maisha yako ya kawaida usimini watu kirahisi rahisi, especially masuala ya fedha. Hata hao waliokuwa wanacomment wamepata mkopo labda nao wametapeliwa, then wanataka na wengne waingie mkenge.
 
Back
Top Bottom