Naombeni msaada, nimetapeliwa

Naombeni msaada, nimetapeliwa

Pole sanaa mkuu.. lkn 84000 sio pesa kubwa sana ya kunutia mm nilianza biashara ya mpesa mzunguko ulikua mzuri saa yan commission kwa mwezi ina ridhisha but juz wapo wamenitapeli yn biashara isha kufa.. nimeenda polisi yn napigwa kalenda tu "tunafuatilia" jipe moyo
 
Hiyo elf 83 ya rafiki ako angekupa elf 20 tu ukatafuta location yenye watoto ukiwauzia vi barafu vi kacholi nk nk siku mbili hadi tatu ungerudisha hiyo 20 ya watu unaendelea na mishe zako mdogo mdogo....

Katika akili za kawaida tu ww unaweza kumpa mtu mkopo huku online humjui, hujui anakaa wapi, unampa tu??
....Unampa Laki Nzima ???
 
Yani ushapigwa. Sijawahi kuelewa inakuaje mtu ana akili zako zote unaona tangazo mtandaoni unatuma pesa. Kama watu wanatapeli mitandao ya simu, ije kuwa mtu akukope pesa hajui hata location yako?
Mkuu ndiyo wasomi wetu walivyo utakuta huyu ni msomi wa chuo kikuu, tunawategemea wake kusimamia nchi baadaye kwenye mikataba.
 
Pole sanaa mkuu.. lkn 84000 sio pesa kubwa sana ya kunutia mm nilianza biashara ya mpesa mzunguko ulikua mzuri saa yan commission kwa mwezi ina ridhisha but juz wapo wamenitapeli yn biashara isha kufa.. nimeenda polisi yn napigwa kalenda tu "tunafuatilia" jipe moyo
Umepigwaje kk? Na kias gn
 
Hapa nilipo Hali yangu sio nzuri naomba mniombee ,,katika harakati za kutafuta mtaji niliingia fb nikakuta tangazo la kukopeshwa fedha kwa liba nafuu (nikasema hii ndio fursa,nikachukue mawasiliano Yao wakanielekeza kuwa wanatoa mikopo kwanzia laki mbili Hadi Milion Kumi, kwa kuweka akiba sawasawa na akiba yako,,mie nikaweka 84000 ambayo nimekopa kwa rafiki yanguu ,,baada ya kutuma hawapokei Simu ,,Wala sms hawajibu !
Namba zao zipo ntaweka ushahidi hapa naomba mnisaidie nifanyee nn ili nipate haki yangu??View attachment 2665310
We ni mjinga sana,fb Kuna mkopo gani?
 
Kama ni kwelii bhasi Nimeamini Rais wetu ana kazi kubwaa sanaa kuiongozaa hii Nchii bora na urais awapee waarabu tu... Mtu kama wew ni wa kufungwaa jelaa kabisaaaa maana upumbavu wako ni level ya masters
 
Nenda polisi halafu mtafute mtu mpya namba mpya ajifanye anaomba mkopo..mkiwatrack hao mnakamata wote.na wakulipe pesa ulizotumia polisi
Hili nalo linahitaji utayari wa police mwenye dhamana, vinginevyo atatoboka pesa na aishie kupotea tu nchi ya ajabu sana hii ,
 
Asante nimefeli wap,,maana nilisoma hata comment za watu wakasema wamekopeshwa
Unapouziwa kiwanja hewa, huwaga kuna ofisi, mwenyekiti wa mtaa, wazee wajumbe, mashahidi.
Unaposhituka ndiyo hapo akili zako zinapogundua kuwa vyote hivyo ulivyovisotea na kuhangaika navyo ni hewa.
Hizo chat za watu kukiri kuwa walikopeshwa ni za maigizo, ni wale wale kwa mfano niliokutolea hapo juu.
 
Pumbavu kabisa wewe. Unatuletea hii habari baada ya kutapeliwa. Kwanini usingeleta hii habari kabla ya kufanya ujinga? Ulifanya Siri ili ufaidi peke yako. Endelea kuumia peke yako
 
Mwigulu alipokuja na mpango wa kutoza Kodi matangazo ya mtandaoni ni kukusaidia moja kwa moja mtumiaji kutoka kwa makanjanja wa mitandaoni.

Kuweka Kodi ina maaana kubwa na pana zaidi kwa sababu udhibiti unakuwepo.

Hapo ndio basi tena hakuna anayeweza kukusaidia, kubali tu yaishe.
mwigulu anaweza vipi kudai kodi kwenye mitandao ya instagram, twittwer, fb na youtube?
serikali itatumia kigezo gani kumtambua kila anaetangaza tangazo basi atakuwa amelilipia kodi?
je makampuni hayo ya mtandaoni yameshaingia mkataba wa kutoa takwimu za wateja wao kwa serikali ili iweze kufuatilia hao watakaokuwa wanaweka matangazo?
 
Back
Top Bottom