Naombeni msaada nimetapeliwa

Naombeni msaada nimetapeliwa

Watanzania ni watu ovyo sana, jamaa kaomba msaada, kwa yule ambae anaweza kumsaidia, sasa utakuta watu wengine wamemjibu kwa KUMKEJELI na kumuona mjinga muomba msaada..

Sasa kama mtu hawezi kutoa msaada, kwanini asikae kimya tu, kwanini aje na comments za kijinga??
Usijali mkuu,hivi ndio ufumbuzi ndio unazidi kutafutwa hivyo. Usione watu wanacheka na nini,tayari watu wako kazini hivi. Usishangae hivi tayari ufumbuzi umeshapatikana
 
Huyo jamaa mwenye kitambi na miwani sura pekee inaonyesha kuwa ni tapeli ..
Ila mtoa mada ulipaswa ufunguke zaidi ili watu wakupe msaada zaidi.
 
Watanzania ni watu ovyo sana, jamaa kaomba msaada, kwa yule ambae anaweza kumsaidia, sasa utakuta watu wengine wamemjibu kwa KUMKEJELI na kumuona mjinga muomba msaada..

Sasa kama mtu hawezi kutoa msaada, kwanini asikae kimya tu, kwanini aje na comments za kijinga??
Sasa hapo utamsaidiaje?

Hakuna maelezo yeypte zaidi ya picha.

-Gari hewa kauziwaje? Je hilo gari analo au hana? Hewa anamaanisha Bovu au?
-Kaibiwa sehemu gani? Dar au Mkoani?
-Nani alimuunganisha na hao matapeli? Alikutana nao online au?
-Kuna taratibu gani alizifuata za mauziano?

Yeye anasema story ni ndefu hawezi kuiandika basi ampigie simu mshana kisha mshana ataandika yote na watayaweka kwenye main post.
 
Hakuna aliyejifanya anajua ni namna tu na yeye alivyowasilisha mada. Isikupe shida hata hivyo, now ukute watu wako kazini.
Nimeamua kukaa kimya, Mkuu.. Yule ajifanyae anajua kumbe hajui ni MJINGA..
 
Ahahahhaaz...! Ndio aliepigwa au ndio kapiga?
 
Ukiona mtu yeyote katapeliwa kiboya namna hii ujue kuna tamaa ilitangulia, lazima kuna kitu walimtamanisha.... inaweza kuwa bei chee au ndo zile unaambiwa oyaaa nimeokota bulungutu hili hapa njoo tugawane

Akiwa tayari kuelezea mkasa itasaidia wengine kujifunza, ni bora hata hivyo alikumbuka kupiga picha.... wangemkwapua na simu kabisa.
 
Sasa hapo utamsaidiaje?

Hakuna maelezo yeypte zaidi ya picha.

-Gari hewa kauziwaje? Je hilo gari analo au hana? Hewa anamaanisha Bovu au?
-Kaibiwa sehemu gani? Dar au Mkoani?
-Nani alimuunganisha na hao matapeli? Alikutana nao online au?
-Kuna taratibu gani alizifuata za mauziano?

Yeye anasema story ni ndefu hawezi kuiandika basi ampigie simu mshana kisha mshana ataandika yote na watayaweka kwenye main post.
haswaaaaaaa.....
Angeleta maelezo ya jinsi alivyotapeliwa,
basi watu wange base huko...
Kaleta picha na masuala ya 'gari hewa'....
No way..
Watu wamebase kwenye picha na gari hewa...
Kinyume na hapo labda upige ramli..
 
Back
Top Bottom