Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,611
- 5,172
Story ya uwongo hii hujastuka tuu[emoji848][emoji848]Ungeleta 'hadithi' nzima hapa ili iwe fundisho hata kwa wengine kuchukua tahadhari.
Tukio kubwa namna hiyo unaishia kuleta picha tu bila hata kueleza tukio zima lilivyokwenda, pia kueleza ni location gani huko?
Humu JF tunawatahadharisha kila mara, na sio watoto wa LY ni watu wazima lkn utapeli acha watu wafunguke huwezi wazuiaWakati mwingine unawaza hii Jamii Forums ina Watoto tupu wa LY waliomaliza juzi auuu...maana uwezi tegemea msaada wa mawazo kama mko hv
Mtu ametapeliwa mnaanza kumcheka na kumdhiaki kama hujawai tapeliwa basi uwezi jua Mtu anatapeliwa vipi?
Mjifunze kukaa kimya kama huna lenye msaada kwa mfikwa
La hasha! Basi labda ili jamvi ni sehemu ya mizaha na inda
Mbona comment zingine huzijibu?Hapana boss si hivyo mshana jr ni mkongwe hapa na nyuzi zake naona zinapitiwa na wadau wengi
ukisoma post 202 ya mrangi ni kwamba jamaa watapatikana na tayari POLISI wanafuatilia, hawa Matapeli wanaweza mtoroka bunazi kupitia JF kwani hata vitochi vinafungua mtandao wa JFMbona comment zingine huzijibu?
Msimcheke hapa tu najaribu kumpa tag
Kwa kifupi alipelekwa kwenye yard iliyoko Morocco.... Huko ndiko alipopigwa
Ila Mpaka dakika hii jamaa anapambana na polisi na mwenye yard
Jamaa ashapewa a, b, c za kufata ili awapate Hao matapeli
Ningekuwa dar ningeinunua kesi hiyo Yaani mpaka kesho saa nane kingeshaeleweka
Elezea story kamili upate msaada stahiki MkuuWanajf kwa kifupi nimetapeliwa na hawa watu hapo chini, wameniuzia gari hewa kwa yeyote anaewafahamu wahusika hapo chini naomba anifahamishe.
Yani sijaelewa gari hewa walivyokuuzia [emoji23] [emoji23] [emoji23]
unajua sicheki kama mazuri,mi nimezoea kusikia mtu kauziwa sabuni
badala ya simu,sasa hii ya Gari hewa ebu tupe ma eksipiriensi yapoje poje.
Baba niepushie mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakni hyo gar hewa haina tatzo lolote kwenye brek
HahahahahahahahaahYaani ukafanya biashara na sura kama hizo🤣🤣🤣
Serious?
Kama huyo mwenye miwani ukimuangalia tu anaonekana tapeli😂😂
Ujumbe mzito sana huu kwa wanaokusudia kununua magari nchiniKuwa makini unapotaka kuuza au kununua gari,nilikuwa nauza gari yangu kipindi flani,jamaa akatokea anaitaka hiyo gari,lakini sharti ili anunue ni lazima niipeleke kwenye yard yake ili akaikague,nikamwambia kwanini ni lazima nikuletee, kama unaihitaji njoo uione au tupange mahali pengine zaidi ya pale jamaa akaingia mitini,ila ikawa kila baada ya siku mbili au tatu ananipigia simu kutaka nimpelekee gari nikaachana naye.Mwingine alitaka kuniuzia gari nzuri sana lakini wakati naikagua ile gari nikaona pale kwenye engine namba ndani ya bonnet kile kibao kimen'golewa nilipomuuliza kaniambia njoo kesho,kuanzia kesho yake hakupokea tena simu yangu.Mwingine nilitaka kumuuzia gari akaja kuikagua akaniambia anataka kuiteset nikamuambia twende wote,tukiwa njiani jamaa alikuwa anaongea na watu wengine kwa lugha ambayo nilihisi ni Kikongo,tulipofika mahali ambapo alidai nimsubirie jamaa aliingia mitini na hakupokea simu yangu.Sasa ukiangalia utaona kuna sababau gani usiipokee simu kama gari ulikuwa hutaki kununua au hutaki kuuza? ni lazima tuwe waangalifu sana...
Ogopa sana watu wanaotembea na vibegi, simu za vitochi sehemu za bar mchana mchana huku wamenunua maji makubwa ya buku jero...
Hiyo ni sawa mana matapeli wamekua wajanja sana haswa madalaliInapaswa gari iwe kwenye bank compound wakati unafanya transfer, ndani ya gari awepo mpambe wako.
Unalipia kitu unachokiona, (sio ulichokiona)
Kino ni hatari mimi nanunua zebonga mana kuna mtu namjua miaka ndio humtumia,ila napo ukiingia kizembe unapigwa tuPale panaitwa full stop kun bar pale madalali wengi wapigaji..... Kuna mshikaji mmja alitaka vanguard jamaa walienda kumpanga yard wakampanga jamaa kama mmiliki
Jamaa Ile anataka kudeposit Hela bank alipewa ac..... Huyo jamaa anayetaka kununua Gari alitokea rukwa Ile tu Nmpigia Sim asubirie tufike tuone mazingira ya biashara na Jina la ac anayo deposit je ni ya yard..... Kufika pale bahati nzr yule mmiliki wa yard pale mnyanya namjua tukamrukia hewani kutup ac yke Jina tofauti na akasema hajui khsu biashara hyo
Ahh Mara akaja jamaa mmja alijifanya mwenye yard tukamtmbua anaitwa kabila
Jamaa alipona upepo syo akasepaaa
Ova
Wanajf kwa kifupi nimetapeliwa na hawa watu hapo chini, wameniuzia gari hewa kwa yeyote anaewafahamu wahusika hapo chini naomba anifahamishe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyo mwenye miwani ukimcheki tuu usoni ana kesi ya kujibu..
Kitambi cha wizi,
anaangalia kiwizi,
kakaa kiwizi wizi,
hata miwani amevaa kihuni......
Hicho kitambi ni frexible.....
Akiwa kwenye meza ya makubaliano anakivimbishaa(huoni hata alivyokaa?)
Ukimshtua kina nyweaa
Ungemshtua tuu hapo hata kwa kupiga miguu chiniiii......
Ungeachiwa viti tuu hapo.......
Hata majii haachi.......
Usikute hata hayo maji kayatapeliii
Zebonga smart...Kino ni hatari mimi nanunua zebonga mana kuna mtu namjua miaka ndio humtumia,ila napo ukiingia kizembe unapigwa tu