Waonyeshe hii picha
Nenda chooni kisha ruka ukuta usepe kama kuna nafasi, la sivyo jiandae ku-cameruniwa!
mmh! leo sherehe yao watakufauduje kijana wa kibantu!!!!Nimejaribu kuwadanganya kuwa nataka kufika benki mara moja wamekataa kabisa kuniruhusu. Mmoja ameniomba funguo ili nisiondoke. Hawa vipi?
mmh! leo sherehe yao watakufauduje kijana wa kibantu!!!!
Sasa endelea kunywa afu ndio utajua kama mjini kuna vya bure.Nikiwashtaki nitakosa hizi bia. Mwee
ufisadi wako kwa al-shabab hufurukuti vidume wenzio hao ngoja waanze kazi yao uone!Watanifaidi au nitawafaidi? Mi mwenyewe fisadi kinomanoma. Hawanijui tu.
Umejuwaje kama ni Maarabu maana siku hizi kuna wa kwenye "nkebe":
utakuwa msagaji wewe hawa wanawake wenzio una waanika kwa humu ili iweje????
Hicho nacho kumbe kiswahili fasaha...........si huwa unarekebisha wenye kukosea kiswahili (Kifimbo cheza)Umejuwaje kama ni Maarabu maana siku hizi kuna wa kwenye "nkebe":
FF hao wanaitwa waarabu wa china.Namjulisha mleta mada kuwa Tanzania kuna Waarabu wa "nkebe". Ving'aravyo vyote si dhahabu.