Naomba ushauri nimevamiwa baa.

Nenda chooni kisha ruka ukuta usepe kama kuna nafasi, la sivyo jiandae ku-cameruniwa!
 
Waonyeshe hii picha

work.443631.8.flat,550x550,075,f.wilbur-the-smiling-pig.jpg

Dah!!!
 
Nenda chooni kisha ruka ukuta usepe kama kuna nafasi, la sivyo jiandae ku-cameruniwa!

Nimejaribu kuwadanganya kuwa nataka kufika benki mara moja wamekataa kabisa kuniruhusu. Mmoja ameniomba funguo ili nisiondoke. Hawa vipi?
 
uko mtekenyo bar unapewa offer unauliza ufanyeje??zinywe bia kisha kamtekenye huyo
 
Nitumie namba yako nikupigie simu ya kizushi ,uzuge unatafuta network utokomeee .other wise subiri kula mizigo yote mitatu.but kuwa makini isije ikawa hizo fedha unazonunuliwa bia ni za bwana David cameroon.
 
aseeee, mpaka sasa jamaa haja-show up kwenye thread yake, tangu 1125hrs mpaka sasa.....! something has definately happened!!.
 
Back
Top Bottom