Nipo Mtekenyo bar naendelea kupiga kitu cha Castle Lager mara anakuja dada mmoja wa kiarabu na kukaa na mimi na kuanza kuniagizia bia kwa kwenda mbele. Nifanyeje ili kumkimbia kwasababu nahisi usalama wangu uko mashakani.
Mbona simple, na wewe muagizie bia kwa kwenda nyuma......
Mtekenyo Bar saa hizi ulizopost hii thread....?
Hali imezidi kuwa tete, wamekuja wenzake watatu. Hapa siwezi kudaiwa unyumba kweli?
Nipo likizo
Ndo maana thread zako hazichangiwi sana.za kivulana mno! Washtaki kwa meneja
hata kama,saa hizi?alhamisi?
Nipo likizo
astaghafiluthahh laadhim!! yaarabi maulana!!Waonyeshe hii picha
Wewe anza kupasha moto makalio yako. Vidume vya kisomali hivyo, vya bure vitakutokea puani leo eeenh?