Naomba ushauri nimevamiwa baa.

Bundajo

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
244
47
Nipo Mtekenyo bar naendelea kupiga kitu cha Castle Lager mara anakuja dada mmoja wa kiarabu na kukaa na mimi na kuanza kuniagizia bia kwa kwenda mbele. Nifanyeje ili kumkimbia kwasababu nahisi usalama wangu uko mashakani.
 
Nipo Mtekenyo bar naendelea kupiga kitu cha Castle Lager mara anakuja dada mmoja wa kiarabu na kukaa na mimi na kuanza kuniagizia bia kwa kwenda mbele. Nifanyeje ili kumkimbia kwasababu nahisi usalama wangu uko mashakani.

Mtekenyo Bar saa hizi ulizopost hii thread....?
 
Waonyeshe hii picha

work.443631.8.flat,550x550,075,f.wilbur-the-smiling-pig.jpg
 
Back
Top Bottom