Haswaa! mawazo yangu pia hao wameambiwa chukueni hela hizi mniletee mlugaluga mmoja wa kum-cameron,sasa jamaa hajui anakunywa bia za posa/mahari yake bado honeymoon tu hapo na hawa ni ndugu wa bwana harusi hahaha!chunga sana, hao wametumwa wakuleweshe ...
watu wa inteligensia wanasema hao ni "advance party". shtuka kimbia...