Night shadow
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 582
- 1,111
Usifakamie chakula usichokijua.
Usile chakula utakachopewa na jirani yako.
Tafuta cha kukuweka busy kama novel, movies, music. Ukikaa idle sana utaboreka na kuiona safari ni ndefu sana.
Jaribu kutengeneza marafiki wapya, it's fun sometimes.
Ukifika Manchester msalimie Van Gaal. Mwambie aache undezi wa kumpanga Rooney kila mechi.
Mi nafikiri amshauri amuuze kabisa huyo captain.