jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Ni wiki ijayo,naondoka na KLM,
Sasa mawazo yananisumbua kuhusu magaidi hawawezi kututungua kweli?
Pili ni kuunganisha ndege kati ya Amsterdam na Manchester na kiingereza jamani mimi hakipandi nitamuuliza nani kwenye uwanja uholanzi anionyeshe ndege nyingine?
Na msosi nitaagizaje kwenye ndege na misosi ya kizungu sijui majina.
Msaada jamani.
Jembe la afrika
Sasa mawazo yananisumbua kuhusu magaidi hawawezi kututungua kweli?
Pili ni kuunganisha ndege kati ya Amsterdam na Manchester na kiingereza jamani mimi hakipandi nitamuuliza nani kwenye uwanja uholanzi anionyeshe ndege nyingine?
Na msosi nitaagizaje kwenye ndege na misosi ya kizungu sijui majina.
Msaada jamani.
Jembe la afrika