✔kuagiza mwambie muhudumu,can I have a menu please? akileta agiza unachokijua rice chicken,rice peas,chicken chips.
✔Kwenye maungano omba msaada kwa wenyeji Anza Hivi,Hi I'm new at this place can you direct me where is my flight? please see my ticket.
Dah mnanitamanisha sana nimezoea local flight yani lazima na mimi nije nipaone amsterdam GOD help me to accomplish this dream
Hivi naruhusiwa kuingia nchi za ulaya nikiwa sijui kiinglishi kabisa! Swali binafsi tu
Wakuu namimi niombeni ili nije kuingia Jerusalem mpya iliyoandaliwa na Bwana Yesu Kristo.
Natamani saana kuingia jiji lile.
Kwa hiyo kugongeana ruksa, duh!
Kariiiiiiiiiiiiiiiiiibu ulaya, usisahau jacket maana winter imeshafumuka huku sasa utaganda.
Ni wiki ijayo,naondoka na klm
Sasa mawazo yananisumbua kuhusu magaidi hawawezi kututungua kweli?
Pili Ni kuunganisha ndege kati ya Amsterdam na Manchester na kiingereza jamani mimi hakipandi nitamuuliza nani kwenye uwanja uholanzi anionyeshe ndege nyingine?
Na msosi nitaagizaje kwenye ndege na misosi ya kizungu siijui majina.
Msaada jamani.
Jembe la afrika
Kuwa muungwana,,, msaidie kama huwezi kaa kimya dada/mama...
Siku hizi una sense of humor, vizuri!Tena hilo linasisitizwa sana, huwezi ingia nyumbani au chumbani kwa mtu bila kumgongea mlango na kupiga hodi kwa sauti.
Wewe unapoingia kwa mama'ko humgongei?
- Kuna uwezekano mdog sana wa kutunguliwa.
- Kariri namba ya safari yako, flight number, ukifika Amstedarm angalia kwenye monitors. Boarding pass yako imeandikwa flight number, seat number na hata gate utakayopandia.
- Utaulizwa kama unataka msosi upi. Kwa kawaida hakuna vyakula tofauti sana.
Daaah haya bhana mi nikifika uholanzi neno langu Ni Manchester tu