Kumbe kufka UK ni kung'arsha nyota?
kumbuka vilevile Uzee mwisho JKN,ukfika majuu wote nimabebzzz kama Le Mutuz
Ni wiki ijayo,naondoka na KLM,
Sasa mawazo yananisumbua kuhusu magaidi hawawezi kututungua kweli?
Pili ni kuunganisha ndege kati ya Amsterdam na Manchester na kiingereza jamani mimi hakipandi nitamuuliza nani kwenye uwanja uholanzi anionyeshe ndege nyingine?
Na msosi nitaagizaje kwenye ndege na misosi ya kizungu sijui majina.
Msaada jamani.
Jembe la afrika
Kwani waokuja huku wanajua Kiswahili?
Ni wiki ijayo,naondoka na KLM,
Sasa mawazo yananisumbua kuhusu magaidi hawawezi kututungua kweli?
Pili ni kuunganisha ndege kati ya Amsterdam na Manchester na kiingereza jamani mimi hakipandi nitamuuliza nani kwenye uwanja uholanzi anionyeshe ndege nyingine?
Na msosi nitaagizaje kwenye ndege na misosi ya kizungu sijui majina.
Msaada jamani.
Jembe la afrika
Pili ni kuunganisha ndege kati ya Amsterdam na Manchester na kiingereza jamani mimi hakipandi nitamuuliza nani kwenye uwanja uholanzi anionyeshe ndege nyingine?
Mh.........Unapofunga mkanda,safety belt,ukimuona katika abiria mtu yeyote aliyebishana na Putin,shuka. Unfasten the safety halafu toka ndani ya ndege.Lakini uliza how to survive., how to save money,how to stay alive,how to stay unsullied.
Kwani waokuja huku wanajua Kiswahili?
Hivi naruhusiwa kuingia nchi za ulaya nikiwa sijui kiinglishi kabisa! Swali binafsi tu
teh teh teh!!!kuntuKwani waokuja huku wanajua Kiswahili?
Ulipataje visa?
Ukifika manchester nenda kituo cha treni kinaitwa manchester picadily ulizia treni ya kwenda blackpool ndo nyumbani kwangu uje kunisalimia