Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Usizini !! (Hii ni amri ya Mungu).
Inawezekana kabisa usemacho kwanza huyo jamaa amethibitisha vipi kuwa ni mke wa mtu, pili hana mtoto na mumewe hana uwezo wa kumzalisha wakati wamekutana kwenye basi. Kuna wanaosema UKIMWI hawakuununua dukani haoni shida kumwambukiza mwinginehapo pagumu. mimba maana yake ni pekupeku hiyo, sasa sijui.....
Au akija Dar hana pakufikia, anatafuta sehemu ambayo atakula bure na atalala bure na ku-save pesa ya kulala gesti. Style hii ilitumiwa na wamama wa mkoa fulani waliokuwa wanaenda kufanya biashara Uganda, ku-save kwao hela ya ya kula na ya kulala gesti kukasababisha wakarudi na UKIMWI.
Kuwa makini.
Omba ushauri kwa mumewe!
Habari zenu wakuu,huyu dada tulifahamiana tukiwa safarini, alinionekana kuwa mcheshi na mkarimu sana kwangu kumbe alikuwa analake,kwakuwa tulikuwa tumekaa siti moja sikusita kuongea nae mawili matatu,baada ya maongezi mengi aliniambia ameolewa ila mpaka sasa hawaja barikiwa mtoto ingawa wameshaangaika hospitalini na kwa waganga wa jadi...Kwa maelezo yake mumewe ndio anatatizo na hospitali ndivyo walivyo ambiwa.
Sasa yeye anasema anahitaji mtoto na amechoka kuishi bila mtoto na Kubwa zaidi anataka kutest kama kweli yeye hanatatizo,Ingawa nimeshauri aendelee kuwa na subra kwan ipo siku Mungu atatenda,ila anasema kama kuvumilia amevumilia sana ila kwa sasa basi....anachotaka yeye ni mimba tu na jumatano hii anakutakuja Dar kwa ajili ya kutekeleza swala hili.
Binafsi mimi nina miaka 26..
Naombeni ushauri wenu je nimtekekezee swala lake ama nimshauri vipi?
Single and not ready to mingle.
kuna watu hata ukiambiwa kunya kwenye sufuria utakuja kuuliza JF.....sasa wewe umepewa mzigo hapa JF unauliza nn piga propera acha ujinga...ushaur pima kwanza kabla ya kupiga mzigo maana hiyo ni rough road...angalia taili kama zina upepo
Utaliwa 0713..
We mpumbavu kabisa
Kwahyo hata kama tukioenda pima unashauri nitimize matakwa yake? Kuhusu 0713 haitakuwa rahisi kama unavyo fikiria labda ndumba.