somba kankara
Member
- May 6, 2012
- 84
- 13
mumewe ana mtatizo ya uzazi sasa mimba atakuwa ameitoa wapi. Hauoni kuwa utakuwa umesababisha matatizo kuanzia kwa huyo mwanamke, wewe hadi huyo mtoto ambaye hana hatia maana huyo baba hatakubali kuishi na damu isiyo yake Harafu rafiki yangu sikuhizi wanstaili moja mtaingia chumbani then jamaa anaingia kukusamehe mpaka apige tigo huku na kamera zimetanda ukitoka humo hutasimulia hata ham ya kuishi itakuwa imepungua sana. so kuwa makini sana