Naomba ushauri;Mke wa mtu anataka nimpe mimba

Naomba ushauri;Mke wa mtu anataka nimpe mimba

unajifanya dume la mbegu kwa magubegube, ngoja aje akulambishe midawa ya usingizi akuibie hadi cost.
 
mbona kama we ndo umemtongoa?inakuaje anakuja kukuambia siri zake za ndani buila wewe kumtongoza?utakufa kijana mke wa mtu ni sumu!hukusikia kule kenya yaliomkuta kijana mwenzio?ole wako ukute ametoka tanga au sumbawanga
In short,yeye ni mfanyabiashara wa nguo huwa anachukua huku Dar na kupeleka mkoani sasa anasema akija anataka tukamilishe na hilo
 
mbona kama we ndo umemtongoa?inakuaje anakuja kukuambia siri zake za ndani buila wewe kumtongoza?utakufa kijana mke wa mtu ni sumu!hukusikia kule kenya yaliomkuta kijana mwenzio?ole wako ukute ametoka tanga au sumbawanga

kweli inawezekana kumtongoza mwanamke kwa kumwambia ntakupa mimba?
 
Je upo tayari kutengeneza complexity katika maisha yako ya siku zijazo? Kutengeneza mtoto ni lifetime attachment kati ya wewe na mke wa mtu pamoja na mtoto....utakuwa na mawasiliano yasiyokwisha...sijui kama uta-ignore mtoto ulienaye huko nje wakati ukiwa na familia yako??? Najua kama simba kila swala anaepita unataka kumkimbiza ni asili ya simba...lakini kuwa makini kidogo....kama waweza kula bila kuacha footprint...sio mbaya ni mojawapo ya one-off assignment! Kula with care...consequence are around the corner
 
Kijana mdogo wa miaka 26 hata hukumbuki na kuogopa kilichotokea hivi karibuni jijini Mwanza? Ama kweli waswahili wabishi hasa wakiahidiwa mbunye!
 
Hao wanaochiti sababu ya kutafuta watoto ni w kuogopa kama ukoma...

Maana atatembea na huyu siku mbili akiona hakuna mimba anatafuta mwingine...

Na mume wake ukute ana vimada 10 nae anajaribu kuona kama ana kizazi au la.

Kwa kuwa wanataka mtoto ni mwendo wa kavu kavu...

Niliwahi simuliwa story ya wanandoa waliokufa kwa HIV kwa sababu ya kutafuta mtoto...tena mume alikuwa doctor lakini alikuwa anatafuta mtoto kila kona...mtoto hakumpata akaishia kupata maradhi
 
Hao wanaochiti sababu ya kutafuta watoto ni w kuogopa kama ukoma...

Maana atatembea na huyu siku mbili akiona hakuna mimba anatafuta mwingine...

Na mume wake ukute ana vimada 10 nae anajaribu kuona kama ana kizazi au la.

Kwa kuwa wanataka mtoto ni mwendo wa kavu kavu...

Niliwahi simuliwa story ya wanandoa waliokufa kwa HIV kwa sababu ya kutafuta mtoto...tena mume alikuwa doctor lakini alikuwa anatafuta mtoto kila kona...mtoto hakumpata akaishia kupata maradhi

Well said thanks mkuu.
 
Je upo tayari kutengeneza complexity katika maisha yako ya siku zijazo? Kutengeneza mtoto ni lifetime attachment kati ya wewe na mke wa mtu pamoja na mtoto....utakuwa na mawasiliano yasiyokwisha...sijui kama uta-ignore mtoto ulienaye huko nje wakati ukiwa na familia yako??? Najua kama simba kila swala anaepita unataka kumkimbiza ni asili ya simba...lakini kuwa makini kidogo....kama waweza kula bila kuacha footprint...sio mbaya ni mojawapo ya one-off assignment! Kula with care...consequence are around the corner
Thanks,
 
siyo kuwa ni technique ya kukuambukiza HIV/AIDS?Huko mkoani anakozunguka hakupata wa kumpa ujauzito mpaka apewe na stranger kwa njia ya uzinifu?
 
Ikishindikana kabisa bac inabidi mkaangazwe kwanza maana wa2 wanaotafuta watoto bila kupata usiombe ujue idadi ya wanaume aliotembea nao kama sio maelfu ni mamia na ni bahati wakose HIV
 
In short,yeye ni mfanyabiashara wa nguo huwa anachukua huku Dar na kupeleka mkoani sasa anasema akija anataka tukamilishe na hilo
ungemuuliza kama mumewe anajua tatizo liko kwake sasa akipata mimba atamwambia kashukiwa na roho mtakatifu?
 
ungemuuliza kama mumewe anajua tatizo liko kwake sasa akipata mimba atamwambia kashukiwa na roho mtakatifu?

hata akimuuliza haisaidii kwani pengine na huyo mume wake nae anachapa kwa kwenda mbele kitakachowasaidia ni hiv tuuuu
 
Habari zenu wakuu,huyu dada tulifahamiana tukiwa safarini, alinionekana kuwa mcheshi na mkarimu sana kwangu kumbe alikuwa analake,kwakuwa tulikuwa tumekaa siti moja sikusita kuongea nae mawili matatu,baada ya maongezi mengi aliniambia ameolewa ila mpaka sasa hawaja barikiwa mtoto ingawa wameshaangaika hospitalini na kwa waganga wa jadi...Kwa maelezo yake mumewe ndio anatatizo na hospitali ndivyo walivyo ambiwa.
Sasa yeye anasema anahitaji mtoto na amechoka kuishi bila mtoto na Kubwa zaidi anataka kutest kama kweli yeye hanatatizo,Ingawa nimeshauri aendelee kuwa na subra kwan ipo siku Mungu atatenda,ila anasema kama kuvumilia amevumilia sana ila kwa sasa basi....anachotaka yeye ni mimba tu na jumatano hii anakutakuja Dar kwa ajili ya kutekeleza swala hili.
Binafsi mimi nina miaka 26..
Naombeni ushauri wenu je nimtekekezee swala lake ama nimshauri vipi? Pretend kama ni wewe then ungefanyaje?

Hiyo mimba we unayo hadi aje umpe?
samaani lakini!
 
Mali ya mtu ni sumu kali acha kabisaa pitia mbali,,, badala ya kula utaliwa wewe
 
Kama mama mtu mzima amefikia hatua ya kukuomba umpe mimba, mimi nahisi tayari mlikuwa na mahusiano na ulishakulaga mzigo tayari ndio maana akapata ujasiri kukuomba umpe na mimba !
 
Habari zenu wakuu,huyu dada tulifahamiana tukiwa safarini, alinionekana kuwa mcheshi na mkarimu sana kwangu kumbe alikuwa analake,kwakuwa tulikuwa tumekaa siti moja sikusita kuongea nae mawili matatu,baada ya maongezi mengi aliniambia ameolewa ila mpaka sasa hawaja barikiwa mtoto ingawa wameshaangaika hospitalini na kwa waganga wa jadi...Kwa maelezo yake mumewe ndio anatatizo na hospitali ndivyo walivyo ambiwa.
Sasa yeye anasema anahitaji mtoto na amechoka kuishi bila mtoto na Kub huyo mwanamke ukweli wake umemponza,si angekutaka tu kikawaida! Mke wa mtu mkosi kaka,itakuumiza sana maishan mwako na hutakaa uwe na iman na mtu anye chuchumaa kukojoa ukitekeleza hilo
 
achana na mke wa mtu. Mimi sijaolewa na natafuta mchumba. facebook nipo tuonane huko
 
Achana na mambo ya kufuatilia wake za watu, utajuta.
 
Back
Top Bottom