Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 11,521
- 5,385
Source doesn't matter. Pale mtu anapokuwa na hamu ya kuutafuta ukweli hujikuta aki'resonate'/akiitikia na kukubaliana na ukweli toka katika source mbalimbali.
Well unajuaje kama huu ni ukweli? Ni roho wa Mungu anatuongozaga. Mungu atusaidie sana. We unadhani kwa nini watawala wale na majini yaliposikia aya za Quran yakasema hakika tumeamini? Ukweli una namna ya kujipambanua wenyewe. Kinakuwa kama kitu hai hivi: Na katika kila kitabu/msahafu yapo ya kweli na ya uongo!! Uking'angana na source tu unapotea. Kila kimoja kimeandikwa baada ya wahusika wakuu kuwa walishajiondokea. Kwa hiyo hata kama wao tunawaamini, je vipi kuhusu hawa waliowaacha? Je hawawezi kupitiwa, hawawezi kukosea hata kama si kimakusudi....na je hawawezi kujiongeza kimakusudi kwa lengo jema? Na worst case scenario, kujiongeza kwa lengo baya?
Hujajibu swali , jee wewe utaifuata biblia yoyote Tu kwa vile umeambiwa ni maneno ya Mungu. ?