Naomba ushauri kuhusu dini

Naomba ushauri kuhusu dini

Hayo ni maneno yako tunataka maneno ya Biblia , kila mtu anaweza kuwaza vyake na kujiita atakavyo kwa namna akili yake inavyompeleka.
Tofauti yetu na wanyama ni vile tunavyotumia akili zetu, wanyama wataitikia kutokana na kilichopo kwenye mazingira. Binadamu pamoja na kuitikia anaweza pia kutunga na kuimagine na kuunganisha dots.

Ninavyokuletea vya kwenye asili ione kama ni muendelezo wa libiblia/limusahafu likuuuuuubwa tu na hilo jani ni moja kati ya sura/aya zake🤭
 
Tofauti yetu na wanyama ni vile tunavyotumia akili zetu, wanyama wataitikia kutokana na kilichopo kwenye mazingira. Binadamu pamoja na kuitikia anaweza pia kutunga na kuimagine na kuunganisha dots.

Ninavyokuletea vya kwenye asili ione kama ni muendelezo wa libiblia/limusahafu likuuuuuubwa tu na hilo jani ni moja kati ya sura/aya zake🤭

Hayo ni maneno yako , Na kila mtu ana fikra zake, ikiwa zitafuatwa fikra Za kila mtu tutakuwa wenda wazimu

Tuletee ushahidi wa maneno yako kutoka kitabu ulichosoma
 
Hayo ni maneno yako , Na kila mtu ana fikra zake, ikiwa zitafuatwa fikra Za kila mtu tutakuwa wenda wazimu
Hujaamini akili yako, na hujaamini akili za watu wengine ndio maana umewaza tutakuwa wendawazimu. Mi nawaamini, najiamini na namuamini

Kimsingi kama wote tutajiwekeza kuwaza kinamna inayoheshimu ukweli halisi tutaendelea sana kiakili, maana kila mmoja atapokea mchango chanya kutoka kwa mwenzake
 
Hujaamini akili yako, na hujaamini akili za watu wengine ndio maana umewaza tutakuwa wendawazimu. Mi nawaamini, najiamini na namuamini

Kimsingi kama wote tutajiwekeza kuwaza kinamna inayoheshimu ukweli halisi tutaendelea sana kiakili, maana kila mmoja atapokea mchango chanya kutoka kwa mwenzake

Ndio nikasema uweke ushahidi wa unachokisema. Wewe hukuzaliwa ukawa unajua kila kitu , lazima ulienda shule ulifundishwa kusoma Na ulisoma vitabu tofauti.
 
Weka ushahidi mkuuTafsiri

Weka ushahidi mkuu
Tafsiri ya Neno Uisilamu ni kunyenyekea au kujikabizisha kwa Mwenyezi Mungu,kwa hiyo Mitume wote na Manabii walijikabidhisha kwa mwenyezi Mungu,na Uisilamu unamuamini Mungu Mmoja ambaye hana mshirika wala msaidizi,kila unachoomba na kutubu inabidi Umuombe yeye, sasa jiulize wewe uko wapi hapo?
 
Ndio nikasema uweke ushahidi wa unachokisema. Wewe hukuzaliwa ukawa unajua kila kitu , lazima ulienda shule ulifundishwa kusoma Na ulisoma vitabu tofauti.
BABA NA MWANA.jpg

Na vitabu vya dini mbalimbali, ila nikiri asili yangu sio kukariri vifungu. Na hapa najaribu kutoa insight ili wenye vifungu kichwani mjaribu kuweka sawa[reconsile] mnayoyafahamu tayari.
 
1Timothy 3:16 And without controversy great is the mystery of godliness: God was manifest in the flesh, justified in the Spirit, seen of angels,.........
Haya si maneno ya Yesu, unatakiwa ututhibitishie Timotheo ameyapata wapi maneno haya. Kwahiyo sisi tunataka maelezo yenye kunasibishwa moja kwa Yesu.

Lakini kilugha hili andiko halimaanishi huyo ni Yesu. Andiko hili linafasiri lile andiko la Mola kumuumba mwanadamu kwa mfano wake.

1 Timotheo 3:16 SRUV​

Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.

Sasa nitakuiliza swali rahisi sana, haya maelezo anayasema nani ?

Kingine mistari ya chini iko wazi sana, sijui kwanini huiweki ?
Ulitaka hiyo flesh itoke kwenye uzao wa wapi?
nimekwambia unaposoma ukristo ukiweka nature ya mungu wako huwezi elewa Jehovah ni Roho hiyo ndio nature yake , Allah nature yake ni physical being creature hana uwezo wa ku manifest in flesh

God manifest in the flesh
Mosi, kusema kwake Yesu ni wa uzao wa Daudi, huyo ni mwanadamu tayari, ndiyo maana Yesu kila jambo analirudisha kwa aliye mtuma. Ingekuwa hivyo angekuwa anasema yeye moja kwa moja.

Kingine haya maneno si ya Yesu, ndiyo utuambie ameyatoa wapi huyo anayesimulia hizi habari sababu zinapingana na maandiko Yenu mengine.
 
Koran Kuna sehemu Muhammad alikuwa anakumbuka Kuweka neno sema sehemu zingine anasahau, Allah kama yeye ni Mungu hawezi kuongea kwa staili ya ku refer alafu unasema ni fasihi , fasihi gani ya kujisahau ,
Kuna shida kubwa aliendika Koran alizingua kwenye kuandika Allah anashindwajwe kusema Mimi kama Yesu alivyosema?

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Naona unabadili utaratibu maswali ninayo kuuliza unatakiwa uyajibu.

Hakuna sehemu ambayo Allah amejisahau, ndiyo maana nimekupa maelezo mepesi na mazuri juu ya jambo lilivyo.

Mfano wako wa kutaka aseme kama alivyo sema, ni mtindo dhaifu ndiyo maana maandiko yenu yanajipinga. Ukisoma utaona kama vile yule Yohana anawapigia stori watu, ndiyo maana akawa anasema hivi :

12. “Sikiliza!” Asema Yesu, “Naja upesi pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake.

13. Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Sababu hamfundishwi kuchambua maandiko yenu ngoja leo nikufundishe. Habari ya kwenye mstari wa 13 imeanzia hapo juu. Swali nani anasimulia hizi habari ? Bila shaka si Yesu bali ni yule anae nukuu, yaani mtindo huu ni mtindo ambao sisi wanadamu huwa tunautumia katika namna ya usimuliaji wa mazungumzo yetu. Ni sawa na mimi kusema "Nisikilizeni, Juma akasema ....."

Kwa mtindo huu huwezi kutofautisha maneno ya binadamu na maneno ya Allah, ndiyo maana huu ujinga huukuti katika Qur'aan.

Ndiyo maana shaykhul Islaam Ibn Taymiyyah akasema hivi leo hii hakuna Injili wala Zaburi wala Taurati ya Musa kama ilivyo bali kuna habari kuhusu wao". Yaani vitabu vyenu vimekusanya habari na si maneno ya Yesu wala Musa wala Daudi.
 
Tunajadili hili

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
Hili nimeshalielezea zaidi ya mara moja. Nataka ukiri inakuwaje maandiko yenu yana jipinga namna hii ?

Hapa kuna mawili, aidha si maneno ya Mola sababu maneno ya Mola na mitume wake hayajipingi au huyo muandishi amezua.
 
😂😂😂😂 Ilichukua muda Sana kusoma na kugundua Allah ametaja Kuna Mungu na sifa zake kaziweka wazi , na hakuna ata sehemu moja kajiita Mimi ,Allah ana refer kwa Mungu

Yesu kajiita Mimi mwanzo na mwisho, Mimi mwanga wa ulimwengu, Mimi mflame wa haki, Mimi kweli na uhai, Mimi hakuna kilichoumbwa bila Mimi, Mimi nafuta dhambi, Mimi nitahukumu siku ya mwisho

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....

Koran 20:114. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki....

Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....

102. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu, hapana mungu ila Yeye, Muumba wa kila kitu...

Koran 3:135.....na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu?........

Koran 22:69. Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu...

Koran 59:23. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, ....
Hili nimeshalielezea kiukamilifu.
 
Kwani hiyo picha uliikariri?
Hapana niligoogle. Oookay ngoja nirudie kufanya hivyo[nigoogle] ila nyingine ntaangalizia humuhumu kwa majibishano ya Kisai na Mokiti

0.

Yn 1:18 SUV​

Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua
Huku kutufunulia sisi ni kutuonesha baadhi ya sifa kuu za Mungu ambazo ni Upendo, Rehema, Ukweli, Uhai etc

0b"Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu; kadhalika nanyi, msipokaa ndani yangu. Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana, maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote, mtu asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi na kunyauka, watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea, ninyi mkikaa ndani yangu,na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. Yn 15:4-7

0c

Yn 14:20 SUV​

Siku ile ninyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu.

0d
Neither the Quran nor the Hadith tell us why it’s Isa who will judge, yet the Quran says that Isa Al-Masih will be the sign of the judgment. “And (Jesus ) shall be a Sign (for the coming of) the Hour (of Judgment)…” (Qs 43:61).

However, the Bible says clearly that God gave the authority to judge to Isa “…the Father [God] judges no one. Instead, he has given the Son [Kalimat Allah, Isa Al-Masih] absolute authority to judge” (Injil, John 5:22). Why? “. . . that all may honor the Son, just as they honor the Father. Whoever does not honor the Son does not honor the Father who sent him” (Injil, John 5:24).

1.
"Allah Anatutajia tena sifa nyingine ya Mungu
Allah anasema kuna Mungu ambae Yeye ni mwanzo na mwisho
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.” . Sasa ili kuelewa ni kwa nini sifa zinafanana kimuonekano ndiyo ni sababu ipo kama hivyo kwenye jani.

2
Allah anasema Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
Yesu anatoa jibu John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai. Mtu haji kwa Baba ila kupitia kwangu.
Kivipi? - Angalia jani

3.
Allah anasema Mung ni mwanga Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
Yesu anajitaja yeye ni mwanga
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Kivipi - angalia jani kupata picha
 
Hapana niligoogle. Oookay ngoja nirudie kufanya hivyo[nigoogle] ila nyingine ntaangalizia humuhumu kwa majibishano ya Kisai na Mokiti

0.

Yn 1:18 SUV​

Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua
Huku kutufunulia sisi ni kutuonesha baadhi ya sifa kuu za Mungu ambazo ni Upendo, Rehema, Ukweli, Uhai etc

0b"Kaeni ndani yangu, nami ndani yenu. Kama vile tawi lisivyoweza kuzaa peke yake, lisipokaa ndani ya mzabibu; kadhalika nanyi, msipokaa ndani yangu. Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana, maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote, mtu asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi na kunyauka, watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea, ninyi mkikaa ndani yangu,na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. Yn 15:4-7

0c

Yn 14:20 SUV​

Siku ile ninyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu.

0d
Neither the Quran nor the Hadith tell us why it’s Isa who will judge, yet the Quran says that Isa Al-Masih will be the sign of the judgment. “And (Jesus ) shall be a Sign (for the coming of) the Hour (of Judgment)…” (Qs 43:61).

However, the Bible says clearly that God gave the authority to judge to Isa “…the Father [God] judges no one. Instead, he has given the Son [Kalimat Allah, Isa Al-Masih] absolute authority to judge” (Injil, John 5:22). Why? “. . . that all may honor the Son, just as they honor the Father. Whoever does not honor the Son does not honor the Father who sent him” (Injil, John 5:24).

1.
"Allah Anatutajia tena sifa nyingine ya Mungu
Allah anasema kuna Mungu ambae Yeye ni mwanzo na mwisho
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Yesu anajitaja mwenyewe ndie Mwanzo na Mwisho
Rev 22:12. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.” . Sasa ili kuelewa ni kwa nini sifa zinafanana kimuonekano ndiyo ni sababu ipo kama hivyo kwenye jani.

2
Allah anasema Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
Yesu anatoa jibu John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai. Mtu haji kwa Baba ila kupitia kwangu.
Kivipi? - Angalia jani

3.
Allah anasema Mung ni mwanga Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
Yesu anajitaja yeye ni mwanga
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Kivipi - angalia jani kupata picha

Hizo Aya zako zote ulizonukuu kutoka Injili ya Yohana ,
Ni Nani anayetamka maneno hayo ?
 
Hili nimeshalielezea zaidi ya mara moja. Nataka ukiri inakuwaje maandiko yenu yana jipinga namna hii ?

Hapa kuna mawili, aidha si maneno ya Mola sababu maneno ya Mola na mitume wake hayajipingi au huyo muandishi amezua.
Jibu kirahisi usiweke maelezo kama mashairi

Na utuambie huyu Yeye anaetajwa na Allah ni nani

Allah anasema Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,

Simple mtaje huyo yeye Allah anaemtaja ni nani, kumbuka mnatuambia Koran ni maneno Allah anatamka
 
Hizo Aya zako zote ulizonukuu kutoka Injili ya Yohana ,
Ni Nani anayetamka maneno hayo ?
Maneno katamka Yesu au uoni 😂😂😂

Shida kubwa inakuja kwa Allah ana mtaja Mungu anajisahau yeye ndio anatakiwa kuwa Mungu , ila hii nikuwa Mungu ameamua amuumbue mchana kweupe
 
M
ka Yesu au uoni 😂😂😂

Hivi kiswahili kinakupiga chenga?

Yesu aseme hivi?
Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua

John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “

Yesu alipozungumza hayo ni maneno ya Yesu ?
 
Hayo ni maneno yako tunataka maneno ya Biblia , kila mtu anaweza kuwaza vyake na kujiita atakavyo kwa namna akili yake inavyompeleka.

Le

Unapokuja na videos za watu kuugeukia uislam uje na za wanaougekia Ukristo pia ili ubalance kotekote. Najua huwezi kwasababu uko biased na pedophilia wenu.
 
Back
Top Bottom