Khaaa yanini yote hayoRusha shilling kichwa kitakoangukia ndiko usali.
Ukidhi kiu ya roho yakoKhaaa yanini yote hayo
DohUkidhi kiu ya roho yako
Sana! Hakuna anayeuchaguaUmasikini mbaya sana.
Vipi Mzungu wako alifungua simuWote waliompokea aliwapa uwezo wa kuwa Wana wa Mungu.
Vipi Mzungu wako alifungua simu
Hivi unajisikiaje jitu zima kama ww kuja kuandika uongo kama huu tena ulio kosa ubunifu ili angalau watu wauamini?Huwa naumia roho yangu nikiona mikwara ya kutishana badala ya kuelimishana! Nimezaliwa kwenyw uislam lakini nimekua nawaza ukiristo sijapenda hivyo yaan sijawaza kubadilika ila mabadiliko yamenipenda na kule nimekuta hakuna kutishana bali kuna kuelimishana na kuhubiriwa kwa lugha ninayoielewa kiswahili, ninaomba na kusali ninachokielewa! Kwahiyo mkuu usinitishe hakuna aliyekufa akafufuka akaeleza aliyoyakuta huko! Hata yesu sijui kama alisema kwa mungu kukoje au unielekeze
Kuna uzi dada yetu email zetu zilikuwa azijibiwi huko juu ambapo sio kawaida akaomba ushauri,basi takuwa nimechanganya mafailiMzungu gani Tena?ushachanganya mafaili...Sina historian ya mzungu kwenye Maisha yangu
Umechanganya.Kuna uzi dada yetu email zetu zilikuwa azijibiwi huko juu ambapo sio kawaida akaomba ushauri,basi takuwa nimechanganya mafaili
Nimekuja kuomba ushauri sijaja kubishana! Kama huna kaa kimya!Hivi unajisikiaje jitu zima kama ww kuja kuandika uongo kama huu tena ulio kosa ubunifu ili angalau watu wauamini?
Ebu tupe aya yeyote kwenye Qruan na utupe tafisiri yake kama kweli una elimu kuhusu uislam.
Au taja nguzo za Uislam.
Umemkomesha huyoNimekuja kuomba ushauri sijaja kubishana! Kama huna kaa kimya!
Ukisoma hapo vizuri utaelewa ila kwakurudia tu ni kuwa hadi leo sijui kwanini nilikua nalia ndiyo nikawa namuuliza mama tuKwanini ulikuwa unalia kila usikiapo Qur'an?!! Nijibu hapo kwanza ndipo nianze kushusha ushauri wangu
Mimi namuabudu Mwenyezimungu! Utakua umechanganya mafailiSiyo mimi,hilo jina alilowaita ni yule aliyewaumba mumuabudie,nyie mkaenda kuwaabudu wasiyostahili kuabudiwa, ole wenu siku yaja,Ebu jiulize shetani alifukuzwa peponi sababu tu,ya kukataa kumsujudia Adamu,je wewe unayekataa kumuabudu mwenyezi Mungu itakuwaje?
Samahani bwani,ninahasira kweli na huyu mleta maada,Mimi namuabudu Mwenyezimungu! Utakua umechanganya mafaili
Kama na wewe hujanielewa suburia ushauri wa wengine! Hiyo hukumu kwasasa kaa nayo kwanzaYou feel guilty about what you did…apo wewe mwenyewe hujielewi unafikiri Nani atakae kuelewa.
Unajua hukmu ya murtad..!!