Naomba ushauri kuhusu dini

Huwa naumia roho yangu nikiona mikwara ya kutishana badala ya kuelimishana! Nimezaliwa kwenyw uislam lakini nimekua nawaza ukiristo sijapenda hivyo yaan sijawaza kubadilika ila mabadiliko yamenipenda na kule nimekuta hakuna kutishana bali kuna kuelimishana na kuhubiriwa kwa lugha ninayoielewa kiswahili, ninaomba na kusali ninachokielewa! Kwahiyo mkuu usinitishe hakuna aliyekufa akafufuka akaeleza aliyoyakuta huko! Hata yesu sijui kama alisema kwa mungu kukoje au unielekeze
Hivi unajisikiaje jitu zima kama ww kuja kuandika uongo kama huu tena ulio kosa ubunifu ili angalau watu wauamini?

Ebu tupe aya yeyote kwenye Qruan na utupe tafisiri yake kama kweli una elimu kuhusu uislam.

Au taja nguzo za Uislam.
 
Mzungu gani Tena?ushachanganya mafaili...Sina historian ya mzungu kwenye Maisha yangu
Kuna uzi dada yetu email zetu zilikuwa azijibiwi huko juu ambapo sio kawaida akaomba ushauri,basi takuwa nimechanganya mafaili
 
Kwanini ulikuwa unalia kila usikiapo Qur'an?!! Nijibu hapo kwanza ndipo nianze kushusha ushauri wangu
 
Hivi unajisikiaje jitu zima kama ww kuja kuandika uongo kama huu tena ulio kosa ubunifu ili angalau watu wauamini?

Ebu tupe aya yeyote kwenye Qruan na utupe tafisiri yake kama kweli una elimu kuhusu uislam.

Au taja nguzo za Uislam.
Nimekuja kuomba ushauri sijaja kubishana! Kama huna kaa kimya!
 
Kwanini ulikuwa unalia kila usikiapo Qur'an?!! Nijibu hapo kwanza ndipo nianze kushusha ushauri wangu
Ukisoma hapo vizuri utaelewa ila kwakurudia tu ni kuwa hadi leo sijui kwanini nilikua nalia ndiyo nikawa namuuliza mama tu
 
Siyo mimi,hilo jina alilowaita ni yule aliyewaumba mumuabudie,nyie mkaenda kuwaabudu wasiyostahili kuabudiwa, ole wenu siku yaja,Ebu jiulize shetani alifukuzwa peponi sababu tu,ya kukataa kumsujudia Adamu,je wewe unayekataa kumuabudu mwenyezi Mungu itakuwaje?
Mimi namuabudu Mwenyezimungu! Utakua umechanganya mafaili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom