Naomba ushauri kuhusu dini

Naomba ushauri kuhusu dini

ahhh kaka hayo sio mapepo hiyo ni silika ya kupenda kitu.na umependa kulingana na mazingira yaliyio kuzunguka
 
Wewe unaelewa pata som la Link yako hii , Roho Mtakatifu wako yuko likizo


Sisi Waislamu tunaamini kwamba Bwana Yesu a.s.alikuwa Nabii wa Mungu. Na manabii wote ni watukufu na wapendwa wa Mwenyezi Mungu.

Wanatoka kutokakoo takatifu. Kuhusu ukoo wa Bwana Yesu Kristo Masihi Mwana wa Mariamu a.s. Qur'an Tukufu inaeleza kwamba:

A. Masihi bin Mariamu siye ila ni Mtume tu, bila shaka mitume wote wamekwisha fariki kabla yake, na mama yake ni mwanamke mkweli. (Qur'an 5:76).

B. (Ewe Mariam) baba yako hakuwa mtu m’baya wala mama yako hakuwa asherati. (Qur'an 19:29).

Kwa hiyo sawa na mafundisho ya dini ya Kiislamu tunamheshimu Nabii Isa a.s. (Yesu Kristo) na vile vile wazee wake.


Sisi tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu.

Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo 1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).

Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.

Na kama Wakristo wanang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi wajuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi chawazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnategemea nini
Kuna mzinifu bingwa zaidi ya mtume Muhammad hapa duniani hajapata kutokea alikuwa akishtukiwa anajidai kuleta aya eti imeshushwa.
Kuoa oa na kuacha kwa waislamu huo ni uzinifu per say...ni janja janja tu ya kutafuta justification hewa.Wazazi wa mtume walifungia ndoa wapi si ajabu alikuwa toto haramu tu kama mitoto mingi ya kiislamu ninayo iona huku chanika inayozaliwa na wazaramo hovyohovyo na matokeo yake ndio hayo mapanya road.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mzinifu bingwa zaidi ya mtume Muhammad hapa duniani hajapata kutokea alikuwa akishtukiwa anajidai kuleta aya eti imeshushwa.
Kuoa oa na kuacha kwa waislamu huo ni uzinifu per say...ni janja janja tu ya kutafuta justification hewa.Wazazi wa mtume walifungia ndoa wapi si ajabu alikuwa toto haramu tu kama mitoto mingi ya kiislamu ninayo iona huku chanika inayozaliwa na wazaramo hovyohovyo na matokeo yake ndio hayo mapanya road.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Yupo yule aliyempa mimba mamaye, umesahau?
 
Suurat Aal-imran (3:85)

وَمَن يَبْتَغِ غَيْرَ ٱلْإِسْلَٰمِ دِينًا فَلَن يُقْبَلَ مِنْهُ وَهُوَ فِى ٱلْءَاخِرَةِ مِنَ ٱلْخَٰسِرِينَ

Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kupata hasara.
 
Kuna mzinifu bingwa zaidi ya mtume Muhammad hapa duniani hajapata kutokea alikuwa akishtukiwa anajidai kuleta aya eti imeshushwa.
Kuoa oa na kuacha kwa waislamu huo ni uzinifu per say...ni janja janja tu ya kutafuta justification hewa.Wazazi wa mtume walifungia ndoa wapi si ajabu alikuwa toto haramu tu kama mitoto mingi ya kiislamu ninayo iona huku chanika inayozaliwa na wazaramo hovyohovyo na matokeo yake ndio hayo mapanya road.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • VID-20220525-WA0022.mp4
    13.1 MB
Back
Top Bottom