Naomba ushauri kuhusu dini

Naomba ushauri kuhusu dini

Mungu ndio kaamua mwenyewe ajidhiirishe kwetu kwa Baba , mwana na Roho mtakatifu , na hilo ni kwa sababu yeye ni muweza wa yote vitu unavyo ona haviwezekani kwake vinawezekana
Hili alitakiwa aliseme Mola mwenyewe au aseme Yesu mwenyewe, siyo nyinyi wala wanafunzi wake.

Nanukuu :

“Siwezi kufanya lolote peke yangu. Chochote ninachosikia, Ninahukumu na hukumu yangu ni ya haki. sitafuti mapenzi yangu mwenyewe bali mapenzi yake aliyenituma.” [Yohana 5:30]

Andiko lenu hapo juu linaonyesha wazi ya kuwa si kweli kwamba Mola alijihihirisha katika umbile la ubidamu, sababu hapo ameonyesha udhaifu na Mola si mdhaifu. Kinyume chake mnachokidai nyinyi ni uzushi na kumzulia nabii wa Mola.

"Yesu anazungumza juu ya Mungu kama kiumbe tofauti kwake mwenyewe:

Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu. [Yohana 20:17]"

Hapo Yesu anaonyesha kwa vyovyote vile hawezi kuwa Mola, sababu amekiri kwa wazi kabisa yeye ni kama wewe tu. Kadhalika ana muabudu mnaye paswa kumuabudu nyinyi.

"Katika mstari huu anathibitisha kwamba alitumwa na Mungu:

"Huu ndio uzima wa milele: Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]"

Hapo Yesu anakiri kabisa ya kuwa Mola ni wa pekee, hana mwenza wala mshirika ndiyo maana hupati andiko ambalo Yesu anasema yeye ni Mungu.

Tuanzie hapa..


 
Mungu ndio kaamua mwenyewe ajidhiirishe kwetu kwa Baba , mwana na Roho mtakatifu , na hilo ni kwa sababu yeye ni muweza wa yote vitu unavyo ona haviwezekani kwake vinawezekana

Na unapomuongelea Mungu wa wakristo unatakiwa usiweke uelewa wako wa Allah

Allah ni physical being creature , amefungwa na vitu vingine hawezi fanya
Jehovah ni spirit

Allah hawezi kuvaa mwili, ila uwezo wake ni kubadili shape zake Yani unaweza muona yupo kama ngamia badae anakuwa kama sokwe
Na pia Allah aliweza kuwa mti na moto akaongea na musa muislamu
Inawzekana Mungu (wa wakristo) akafariki na kusiwepo na Mungu tena?
 
Nani kakuambia sina hela?
Afadhali umemwambia kweli, isikilize hiyo sauti nenda kwa kiongozi au padre atakufahamisha yakupasayo kufanya, Bwana YESU akuangazie kwa yote. La omba Mungu anakuletea hiyo sauti akupe njia mwenyewe bila kushawishiwa na mtu na mtu, na ikiwezekana funga hata siku 3 uombe Mungu akuonyesha njia, Mungu hana upendeleo atakupa jibu pasina shaka. Kila raheri Mungu akufunulie yote.
 
Huwa naumia roho yangu nikiona mikwara ya kutishana badala ya kuelimishana! Nimezaliwa kwenyw uislam lakini nimekua nawaza ukiristo sijapenda hivyo yaan sijawaza kubadilika ila mabadiliko yamenipenda na kule nimekuta hakuna kutishana bali kuna kuelimishana na kuhubiriwa kwa lugha ninayoielewa kiswahili, ninaomba na kusali ninachokielewa! Kwahiyo mkuu usinitishe hakuna aliyekufa akafufuka akaeleza aliyoyakuta huko! Hata yesu sijui kama alisema kwa mungu kukoje au unielekeze
Amen Amen kubwa.
 
Unasikitisha sana ndugu yangu,kuna mikoa ya wakristo wengi kama Songea,je huko hakuna Uganga?labda nikwambie uganga siyo kwenda tu kwa mpiga ramri,hata anayekupa maji ya upako sijui mafuta na vitambaa kwa kusema utapata utajiri naye ni Mganga.

Istoshe katika dini pekee iliyokataza Ushirikina ni Uisilamu,
Haaaa wewe utakuwa shehe majini bila shaka
 
Hili neno ukafiri mwanzo nilikuwa naliona neno baya sana ila nilipokuja kufahamishwa nikaona sawa tu acha ikae hivyo.Kafiri ni yule asiyeamini katika uislamu kwahiyo hakuna shida yyte muislamu akimuita mkristo ni kafiri unless labda niliingizwa Chaka kuhusu tafsir ya hilo neno.
Hilo neno la kafiri wamelitongoa kwenye Bible Agano la kale pia hata shehe nalo lipo kwenye Bible takatifu isikupe shida sana
 
@Empress_sheila just so you know safari yako haitakua rahisi hata kidogo , as you can see comments nyingi za lawama, vitisho na kejeli lakini sauti ya Mungu ni kubwa kuliko yote hayo.
Hata Daudi alipingwa mnoooo na kaka zake hadi wakamuuza nchi ya mbali na wakadanganya wazazi kwamba amekufa ila bado haikuzima kusudi la.Mungu juu yake.........
Kama unapenda movie angalia God Calling (netflix) nigerian movie nzuri sana
Wewe nawe Daudi wawapi unachanganya madesa, huyo ni Yusuf mtoto wa Yakobo ndiye aliyeuzwa
 
balaa hiyo.

kwahiyo adamu wa kiislamu alikosea nini sasa hadi akatupwa kuteseka duniani.
,kuwa na adabu,hayo ninayokwambia ndiyo mafundisho ya na hadithi za Mwenyezi Mungu,lakini mmedanganywa mkalishwa matango pori mkafundishwa vitu ambavyo Mwenyezi Mungu hakutufundisha
 
Hivyo ni vitisho tu, nani alitoka kaburini akaja kukusimulia yaliyomkuta huko kaburini, Yesu mwenyewe pamoja na kufufuka lkn hakusema nini alikutanacho kaburini alisepa moja kwa moja mbinguni, mpaka leo tunasubiri lkn haji, tunaambulia vitabu vya injiri navyo ni vya kutunga tu wala YESU hakuviacha.
Pole sana Elimu ni muhimu sana.
 
Hili alitakiwa aliseme Mola mwenyewe au aseme Yesu mwenyewe, siyo nyinyi wala wanafunzi wake.

Nanukuu :

“Siwezi kufanya lolote peke yangu. Chochote ninachosikia, Ninahukumu na hukumu yangu ni ya haki. sitafuti mapenzi yangu mwenyewe bali mapenzi yake aliyenituma.” [Yohana 5:30]

Andiko lenu hapo juu linaonyesha wazi ya kuwa si kweli kwamba Mola alijihihirisha katika umbile la ubidamu, sababu hapo ameonyesha udhaifu na Mola si mdhaifu. Kinyume chake mnachokidai nyinyi ni uzushi na kumzulia nabii wa Mola.

"Yesu anazungumza juu ya Mungu kama kiumbe tofauti kwake mwenyewe:

Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu. [Yohana 20:17]"

Hapo Yesu anaonyesha kwa vyovyote vile hawezi kuwa Mola, sababu amekiri kwa wazi kabisa yeye ni kama wewe tu. Kadhalika ana muabudu mnaye paswa kumuabudu nyinyi.

"Katika mstari huu anathibitisha kwamba alitumwa na Mungu:

"Huu ndio uzima wa milele: Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]"

Hapo Yesu anakiri kabisa ya kuwa Mola ni wa pekee, hana mwenza wala mshirika ndiyo maana hupati andiko ambalo Yesu anasema yeye ni Mungu.

Tuanzie hapa..


wewe unachagua mistari mingine unairuka makusudi,
inabidi nikufundishe kwa kutumia Koran ili kichwa yako ngumu ielewe
Katika Koran tunaona Allah akimtaja Yesu na kutoa sifa za Mungu

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu, “Naja upesi pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.

Koran 20:114. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki....
Itim 6:15 Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme,

Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.

102. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wenu, hapana mungu ila Yeye, Muumba wa kila kitu...
John1: 3 Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.

Koran 3:135.....na nani anaye futa dhambi isipo kuwa Mwenyezi Mungu?........
Math 9:6Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anao uwezo duniani wa kuwasamehe watu dhambi.”....

Koran 22:69. Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu...
Math25:32 Mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.

Koran 59:23. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, ....
Luke 4:34“Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakufahamu wewe ni nani. Wewe ni Mtakatifu wa Mungu!”
 
Papa kajishusha, Je kuna sheikh yoyote ambaye alisimama kwenye hadhara na kukemea vitendo vinavyofanyika kwenye madrassa?
Kajishusha??? Tuhuma hizi ni world wide. World wide ndugu na ni kama mila pale katoliki. Kuhusu maustazi hawa wa mwendokasi ni ujinga tu uliopo hapa bongo lakini sio world wide issue
 
Hayo maandishi ya kiarabu yametafsiriwa? Mimi kafiri nikitaka kusoma naruhusiwa? Ukiwa unaomba unatumia lugha ipi? Je lugha tofauti na hiyo maombi yanasikilizwa?
Mimi naomba sasa hivi. Isikie dua yangu.

"Ewe mola wangu mlezi, nakuomba usiipoteze nafsi yangu baada ya kuwa umeiongoa. Nakuomba Mola wangu unijaalie yote yenye kheri nami hapa duniani, na unijaalie ya kheri baada ya kifo changu. Nakuomba Eee Mola wangu unikinge na adhabu za kaburi, unikinge na adhabu za siku ya malipo na unijaalie pepo yako tukufu. Eee mola wangu nakuomba unikinge na kila husda, chuki, uovu wa kila kiumbe, unikinge na ubaya wa binaadam, wanyama, wadudu, mashetani na majini"

Umeona mkuu ninavyoomba?? Mnakaririshwa sana tatizo ndugu zetu na kulishwa matango pori kuhusu Uislam.
 
wewe unachagua mistari mingine unairuka makusudi,
inabidi nikufundishe kwa kutumia Koran ili kichwa yako ngumu ielewe
Katika Koran tunaona Allah akimtaja Yesu na kutoa sifa za Mungu
Kila siku huwa nawaambia laoti nikiamua kutumia maandiko yenu lazima mtapoteana, sababu kuyaelezea hamuwezi. Maandiko niliyo yaweka yako wazi na maana zake ziko timamu kabisa.

Kisha utaniwekea hizo aya na kuonyesha je hizo sifa zinaenda kwa Yesu. Qur'an haifanani na kitabu chochote kuanzia fasihi yake mpaka namna ya uandishi wake.

Kisha utaniambia nimeacha andiko gani.
Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu, “Naja upesi pamoja na tuzo nitakalompa kila mmoja kufuatana na matendo yake. 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.
Kwenye Qur'an hapo anaongelewa Allah, kama ilivyoanza aya ya kwanza katika sura hiyo ya 57.

Anasema Allah mtukufu :

1. Kinamsabihi kumtakasa Mwenyezi Mungu kila kiliomo ndani ya mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.


2. Yeye ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Anahuisha na anafisha. Na Yeye ni Mwenye uweza wa kila kitu.


3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu.


4. Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha akakaa vyema juu ya enzi. Anayajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na yanayo panda humo. Naye yu pamoja nanyi popote mlipo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona mnayo yatenda. (al-Hadiid : 1-4)

Lakini unasema mimi ndiyo nachagua mistari na kujisahau wewe ulichokifanya. Katika huohuo ufunuo kuna mstari Yesu anasema yeye ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Sasa kwa akili ya kawaida tu inathibitisha yeye ni mwanadamu, na kwa ujumla wake haya maneno si ya Yesu bali ya Yohana ndiyo maana yanajigonga pakubwa sana.

Nanukuu kile ulichokiacha :

“Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. "

Ndiyo maana huwa sipendi kunukuu maandiko yenu yana uchafu mwingi sana.

Sababu maneno ya mitume hayagongani.
 
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.

Kisha Yesu akasema tena katika andiko hilo :

Yesu akawajibu, “Hata kama najishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu ni kweli kwa sababu najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda. Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu, mimi simhukumu mtu yeyote. Lakini hata kama nikihukumu, uamuzi wangu ni sahihi kwa sababu sitoi hukumu yangu peke yangu, bali niko pamoja na Baba, aliyenituma. Imeandikwa katika Sheria yenu kwamba, ushahidi wa watu wawili ni thabiti. Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma hunishuhudia.”

Hii ina maana ya kwamba kuwa kwake yeye Nuru ni kwa kile alichotumwa kwacho na Mola muumba, na ndiyo maana akasema hahukumu yeye na akawaambia wale wao wana hukumu kwa sheria za kibinadamu. Maana yake yeye anahukumu kwa sheria alizotumwa kwazo.
 
Back
Top Bottom