Naomba ushauri kuhusu dini

Naomba ushauri kuhusu dini




Lakini unasema mimi ndiyo nachagua mistari na kujisahau wewe ulichokifanya. Katika huohuo ufunuo kuna mstari Yesu anasema yeye ni mzawa wa ukoo wa Daudi. Sasa kwa akili ya kawaida tu inathibitisha yeye ni mwanadamu, na kwa ujumla wake haya maneno si ya Yesu bali ya Yohana ndiyo maana yanajigonga pakubwa sana.

Nanukuu kile ulichokiacha :

“Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu
awathibitishieni mambo haya katika makanisa. Mimi ni mzawa wa ukoo wa Daudi. "

Ndiyo maana huwa sipendi kunukuu maandiko yenu yana uchafu mwingi sana.

Sababu maneno ya mitume hayagongani.
🤣 ndio maana mara nyingi nakufundisha usilete nature ya mungu wako allah ambae ni phyical kwa Mungu Jehova
Yesu Mungu with human flesh ,sasa ulitaka asemeje kuhusu mwili alionao, alafu utuambie binadamu anakuwaje anamiliki malaika
 
Koran 20:114. Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki....
Itim 6:15 Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme,
Hili andiko kadhalika liko wazi, na sijaelewa umeliweka hap kwa minajili gani, sababu hapo lina muongelea Mola mwenyewe muumba wa mbingu na ardhi. Maana yake kila kitu kimepangwa na Mola mpaka huo wakati.
 
🤣 ndio maana mara nyingi nakufundisha usilete nature ya mungu wako allah ambae ni phyical kwa Mungu Jehova
Yesu Mungu with human flesh ,sasa ulitaka asemeje kuhusu mwili alionao, alafu utuambie binadamu anakuwaje anamiliki malaika
Unakubali Yesu ametokea katika uzao wa Daudi ?

Sifa za Mola muumba pia zimetajwa humo humo katika mandiko uenu kwamba ni muumba wa mbingu na ardhi na anajua kila kitu. Lakini Yesu mwenyewe amelithibitisha hilo.

Hakuna Mungu anaye kufa wala mungu mwenye umbile la binadamu. Sasa nataka unijibu Yesu ni wa uzao wa daudi au unakataa ? Daudi aikuwa Mungu ?
 
Kisha Yesu akasema tena katika andiko hilo :

Yesu akawajibu, “Hata kama najishuhudia mwenyewe, ushuhuda wangu ni kweli kwa sababu najua nilikotoka na ninakokwenda. Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakokwenda. Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu, mimi simhukumu mtu yeyote. Lakini hata kama nikihukumu, uamuzi wangu ni sahihi kwa sababu sitoi hukumu yangu peke yangu, bali niko pamoja na Baba, aliyenituma. Imeandikwa katika Sheria yenu kwamba, ushahidi wa watu wawili ni thabiti. Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma hunishuhudia.”

Hii ina maana ya kwamba kuwa kwake yeye Nuru ni kwa kile alichotumwa kwacho na Mola muumba, na ndiyo maana akasema hahukumu yeye na akawaambia wale wao wana hukumu kwa sheria za kibinadamu. Maana yake yeye anahukumu kwa sheria alizotumwa kwazo.
Sifa ya Nuru ni ya Mungu tu acha tuliza akili naona unanza kukufuru
Allah anasema Mungu ni mwanga Yesu anajibu Mimi ndimi mwanga

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
Mfano wa maneno ya Yesu ni kama mfano wa maneno ya Mtume, kwamba tukimtii yeye Mtume ndiyo tumemti Mola wa ulimwengu. Hizi kauli walikuwa wanazitumia mitume na manabii wote, kwahiyo hazionyeshai kwa namna yoyote uungu wa Mtume, ingekuwa hivyo basi mitume wote wangekuwa ni Mungu.
 
Unakubali Yesu ametokea katika uzao wa Daudi ?

Sifa za Mola muumba pia zimetajwa humo humo katika mandiko uenu kwamba ni muumba wa mbingu na ardhi na anajua kila kitu. Lakini Yesu mwenyewe amelithibitisha hilo.

Hakuna Mungu anaye kufa wala mungu mwenye umbile la binadamu. Sasa nataka unijibu Yesu ni wa uzao wa daudi au unakataa ? Daudi aikuwa Mungu ?

Human flesh ni uzao wa Daudi , Mungu hafi kilicho uliwa ni human flesh na Yesu mwenyewe alisema anauacha mwili ufe na anaufufua
John 10:18 No man taketh it from me, but I lay it down of myself. I have power to lay it down, and I have power to take it again.
 
Mfano wa maneno ya Yesu ni kama mfano wa maneno ya Mtume, kwamba tukimtii yeye Mtume ndiyo tumemti Mola wa ulimwengu. Hizi kauli walikuwa wanazitumia mitume na manabii wote, kwahiyo hazionyeshai kwa namna yoyote uungu wa Mtume, ingekuwa hivyo basi mitume wote wangekuwa ni Mungu.
leta andiko muhammad akisema yeye ni Ukweli na Uhai
Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
 
Sifa ya Nuru ni ya Mungu tu acha tuliza akili naona unanza kukufuru
Allah anasema Mungu ni mwanga Yesu anajibu Mimi ndimi mwanga

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Hii si kweli hata jua nalo ni Nuru kadhalika hata elimu husemwa ni Nuru. Sasa hapa utakiri maandiko yenu ya uongo.

Huwa sipendi kutumia maandiko yenu sababu yana uongo mwingi.
 
Hii si kweli hata jua nalo ni Nuru kadhalika hata elimu husemwa ni Nuru. Sasa hapa utakiri maandiko yenu ya uongo.

Huwa sipendi kutumia maandiko yenu sababu yana uongo mwingi.
Unataka kutuambia Allah anaposema Mungu ni mwanga ni kama jua? embu tuliza akili kijana

Allah anasema mwenyewe Mungu ni mwamga, Yesu anatoa jibu Mimi ndimi mwanga
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
leta andiko muhammad akisema yeye ni Ukweli na Uhai
Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
Hahaha, nimecheka sana kwanza hujajibu kuhusu uzao wa Daudi.

Kingine kusema yeye ni uhai haimaanishi yeye anatoa uhai, sababu wapo wafu wanaotembea maana ya uhai hapo ni ujumbe unao huisha nyiyo.

Mfano wa aya hii, mngekuwa nyinyi Wakristo mngeitumia kama ushahidi wa uungu, ndiyo maana nasema mna matatizo ya akili.

"Na haiwi kwa Muumini mwanamume na wala kwa Muumini mwanamke, Anapohukumu Allaah na Rasuli Wake jambo lolote, iwe wana hiari katika jambo lao. Na anayemuasi Allaah na Rasuli Wake, basi kwa yakini amepotoka upotofu bayana. [Al-Ahzaab: 36]"

Kadhalika njia inayo ongelewa na Yesu ndiyo njia ambayo mtume aliamrishwa kuwafundisha watu, anasema Allah :

Na hivyo ndivyo Tulivyokuletea Ruwh (Qur-aan) kutoka amri Yetu. Hukuwa unajua nini Kitabu wala iymaan, lakini Tumeifanya ni Nuru, Tunaongoa kwayo Tumtakaye miongoni mwa waja Wetu. Na hakika wewe (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) bila shaka unaongoza kuelekea njia iliyonyooka. Njia ya Allaah Ambaye ni Vyake Pekee vyote vilivyomo mbinguni na vyote vilivyomo ardhini. Tanabahi! Kwa Allaah Pekee yanaishia mambo yote. [Ash-Shuwraa: 52-53]

Maana ya njia ni uelekeo wa kuelekea sehemu fulani au lengi fulani, ba uhai ndiyo hiyo maana niliyo kuwekea haoi juu, kwa namna yoyote maandiko yote unayo yaweka hayathibitishi uungu wa Yesu bali ni unabii.
 
Unataka kutuambia Allah anaposema Mungu ni mwanga ni kama jua? embu tuliza akili kijana

Allah anasema mwenyewe Mungu ni mwamga, Yesu anatoa jibu Mimi ndimi mwanga
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Wewe unafikiri ni kama nini ? Hiyo ni fasihi sababu mwanga kazi yake kuangazia na kuona ambayo hukuyaona.

Sasa unataka kutuambia mwanga wa hapo ni mwanga kama mwanga ? Mwanga wa hapo ni mwanga kimaana kwa maana kuwapa watu elimu ya kuweza kujitambua na kujua yapi wafanye na yapi waache.

Ndiyo maana nikakwambia hata elimu nayo ni mwanga.
 
Hahaha, nimecheka sana kwanza hujajibu kuhusu uzao wa Daudi.

Kingine kusema yeye ni uhai haimaanishi yeye anatoa uhai, sababu wapo wafu wanaotembea maana ya uhai hapo ni ujumbe unao huisha nyiyo.

Mfano wa aya hii, mngekuwa nyinyi Wakristo mngeitumia kama ushahidi wa uungu, ndiyo maana nasema mna matatizo ya akili.

"Na haiwi kwa Muumini mwanamume na wala kwa Muumini mwanamke, Anapohukumu Allaah na Rasuli Wake jambo lolote, iwe wana hiari katika jambo lao. Na anayemuasi Allaah na Rasuli Wake, basi kwa yakini amepotoka upotofu bayana. [Al-Ahzaab: 36]"

Kadhalika njia inayo ongelewa na Yesu ndiyo njia ambayo mtume aliamrishwa kuwafundisha watu, anasema Allah :

Na hivyo ndivyo Tulivyokuletea Ruwh (Qur-aan) kutoka amri Yetu. Hukuwa unajua nini Kitabu wala iymaan, lakini Tumeifanya ni Nuru, Tunaongoa kwayo Tumtakaye miongoni mwa waja Wetu. Na hakika wewe (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) bila shaka unaongoza kuelekea njia iliyonyooka. Njia ya Allaah Ambaye ni Vyake Pekee vyote vilivyomo mbinguni na vyote vilivyomo ardhini. Tanabahi! Kwa Allaah Pekee yanaishia mambo yote. [Ash-Shuwraa: 52-53]

Maana ya njia ni uelekeo wa kuelekea sehemu fulani au lengi fulani, ba uhai ndiyo hiyo maana niliyo kuwekea haoi juu, kwa namna yoyote maandiko yote unayo yaweka hayathibitishi uungu wa Yesu bali ni unabii.
nakucheka sana, nimekuomba andiko muhammad anasema yeye muhammad ni Kweli na Uhai unaleta ngonjera refu , tena unambishia mpaka allah na kusema kweli sio sifa ya Mungu tu 🤣
Yesu hajasema kwamba yeye anaelekeza njia ila kasema yeye ndio njia

Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
 
Wewe unafikiri ni kama nini ? Hiyo ni fasihi sababu mwanga kazi yake kuangazia na kuona ambayo hukuyaona.

Sasa unataka kutuambia mwanga wa hapo ni mwanga kama mwanga ? Mwanga wa hapo ni mwanga kimaana kwa maana kuwapa watu elimu ya kuweza kujitambua na kujua yapi wafanye na yapi waache.

Ndiyo maana nikakwambia hata elimu nayo ni mwanga.
Hilo tumemaliza
Allah anasema Mungu ni mwanga, Yesu anatoa jibu Mimi ndimi mwanga
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Human flesh ni uzao wa Daudi , Mungu hafi kilicho uliwa ni human flesh na Yesu mwenyewe alisema anauacha mwili ufe na anaufufua
John 10:18 No man taketh it from me, but I lay it down of myself. I have power to lay it down, and I have power to take it again.
Hi ni kwa wanadamu wote hata wewe, mwili una oza unaisha ila roho haifi. Maana nayo elezea hapa ni kile kotendo cha kifo na mwili kuoza, hii ni sifa ya kiumbe na si mungu. Unatakiwa uelewe hilo.

Yaani sifa aliyo nayo Yesu na wewe unayo hiyo hiyo, tofauti yako na yeye ni kuwa yeye alikuwa nabii na alizaliwa kama wewe ila kwa mzazi mmoja.

Lakini andiko hilo mwisho linasema ya kuwa hiyo ni amri ameipokea toka kwa baba yake, kwa maana hakuna analo fanya Yesu kwa uwezo wake.

18 Hakuna mtu atakayeondoa uhai wangu, bali ninautoa mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa uhai wangu na pia ninao uwezo wa kuuchukua tena. Hii ni amri niliyopo kea kutoka kwa Baba yangu.”

Kutetea maandiko yenu ni kazi sana, yaani mpaka maandiko yenu wenyewe mnapindisha maana.
 
nakucheka sana, nimekuomba andiko muhammad anasema yeye muhammad ni Kweli na Uhai unaleta ngonjera refu , tena unambishia mpaka allah na kusema kweli sio sifa ya Mungu tu 🤣
Yesu hajasema kwamba yeye anaelekeza njia ila kasema yeye ndio njia

Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....
John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
Safi kabisa, sasa kijana maana ya njia nani haijui au nikuulize yeye ni njia ya kuelekea wapi ? Njia ni sehemu ambayo watu hupita kuelekea sehemu fulani, kwahiyo inabaki ya kuwa Yesu alikuwa njia kuelekea kwa Mola yaani kumtii Mola, na hii ni kauli maarufu kwa mitume na manabii.

Kingine siyo lazima liwepo andiko kama hilo, sababu uhai katika vitabu vya Allah imekuja kwa maana nyingi, maana ya uhai kimaana na kihisia, kimaana inaingia hata kwa mtu mjinga husemwa ni mfu.

Kwahiyo maana ya uzima hapo haimaanishi yeye hafi.
 
Hilo tumemaliza
Allah anasema Mungu ni mwanga, Yesu anatoa jibu Mimi ndimi mwanga
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Kijana naona unajitoa ufahamu, haya tupe maana ya mwanga wa Yesu katika andiko hilo, nataka uone ujinga wako ulipo.

Hili halijaisha kijana. Sababu naona unapotea kwa kujitakia.

Kama kuna ansiko lolote dijakujibu nikumbushe nikujibu.
 
Mimi ni Muislam kwa baba na mama na hatuna historia ya dini nyingine labda huko nyuma kabisa ambapo hata bibi zangu hawakuwepo au hawajui, imetokea mimi tu kuupenda ukiristo kiasi ambacho tangu niko form one miaka zaidi ya ishirini kubadili majina yangu na kuwa ya Kikiristo na nilikua nikisema baba yangu mkristo mama yangu ndiyo Muislam.

Bahati mbaya nikiwa form two nilikaa hostel ya waroma kwahivyo nilikuwa napenda wakati mwingine kwenda kanisani japo nilikua sielewi kitu, kuna wakati napotezea naanza kusali kiislam kwasababu dini ya Kiislam naijua nimesoma madrasa nikiwa mdogo na hakuna kitabu cha dini kina kina kinanishinda kusoma na hapo zamani nilikua nikisia mtu anasoma kuruan nalia bila kujua nalilia nini nikawa namwambia mama mbona nie nalia nikiona au kusikia kuruan inasomwa? Mama ananiambia tu inaitwa midadi hiyo.

Nimejikuta tu wanangu sijawapeleka madrasa na shule nimewapeleka shule za kikiristo na sipendi kabisa za kiislam wala madrasa na huwa nawaambia wanangu nendeni kanisani, na utu uzima huu kuna wakati nilipata majanga makubwa nikaona njia sahihi ni kuombewa kanisani nikaenda roma kuombewa ndani ya siku tatu pepo likatoka na nimeendelea kusali kiroma nikiwa nyumbani na natumia maji ya baraka wakati mwingi nahisi kabisa yananisaidia, halafu nikiwa kanisani nina amani zote nachokisema nakielewa nachokisali nakielewa! Naona mahubiri ya father nayaelewa vizuri na hapa nyumbani redio nasikiliza redio Maria tu na naifurahia.

Sasa wakuu nisaidieni hili ni pepo au nini? Je nibadili dini na utu uzima huu? Au nifanyaje nifute historia hii? Yaan sasa hivi ndiyo nazidi kuzama kwenye ukristo kiasi ambacho hata wanangu natamani waanze mafundisho, au kuna sehemu sijielewi?
Upo sehem sahihi sana, ktk maisha kitu cha kuzingatia ni sauti inayoongea ndani ya MOYO wako.

Itakuwa kosa kubwa sana ukaiacha hyo saut ndan ya moyo wako inayokuongoza uende ukristo,yamkin kuna jambo mungu kakuepusha nalo ndo mana roho inakuelekeza nenda ukristo.
 
Back
Top Bottom