Habari za hapa kwa wataalam.
Ninampango wa kuezeka nyumba ya kuishi wiki ijayo. Mimi sina uzoefu sana ktk mambo ya building industry hasa roofing. nimepita hapa na pale kupelelez mbao zinazouzwa maeneo mbali mbali hapa Dar nimekutana na aina mbali mbali.
1. pine (misonobali)
2. Cyprus
3. padoo
4. mikaratusi (nimesahau lugha yake ya kisayansi)
5. mihonda (kama sijasahu jina kwa usahihi)
jamani katika makundi yote haya zipi zinafaa kwa uezekaji na kwa nini?
lakink pia swali la nyongeza, nimepewa ushauri ni nununue za size ya 2×2 na 2x4. je hizi zinatosha kwa kuezeka?
wataalam na wazoefu naomba msaada wenu na ushauri zaidi.
wasalaam.
Ninampango wa kuezeka nyumba ya kuishi wiki ijayo. Mimi sina uzoefu sana ktk mambo ya building industry hasa roofing. nimepita hapa na pale kupelelez mbao zinazouzwa maeneo mbali mbali hapa Dar nimekutana na aina mbali mbali.
1. pine (misonobali)
2. Cyprus
3. padoo
4. mikaratusi (nimesahau lugha yake ya kisayansi)
5. mihonda (kama sijasahu jina kwa usahihi)
jamani katika makundi yote haya zipi zinafaa kwa uezekaji na kwa nini?
lakink pia swali la nyongeza, nimepewa ushauri ni nununue za size ya 2×2 na 2x4. je hizi zinatosha kwa kuezeka?
wataalam na wazoefu naomba msaada wenu na ushauri zaidi.
wasalaam.