GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
Swali # 1.
Je, Yanga SC ingekuwa inaongoza Ligi Kuu ya NBC mpaka sasa ( yaani leo ) mngekuwa Wanafiki hivi na Kutumia muda mrefu Kumjadili Mwamuzi wa leo kuwa Kaipendelea Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate FC huku mkijisahaulisha ( mkijizima data ) kuwa hata hiyo Klabu mnayoitetea kwa kupewa Bahasha na Mdhamini wao Mkuu hata Wao Ubingwa wao ulikuwa ni wa Tigo Pesa na walifaidika mno na Maamuzi ya Waamuzi kwa Kuwapendelea?
Swali # 2
Kwanini Waamuzi hawa hawa wakiwa Wanaboronga ( tena vibaya sana ) katika Mechi za Vilabu vya Kati na vya Chini vya NBC Premier League huwa hamjadili kahisa au hata mkijadili huwa mnatoa Airtime ndogo tofauti na Tukio hilo likitokea kwa Timu iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu ( kama GENTAMYCINE nilivyobarikiwa nae Shani nyingi ) na Bingwa Mtarajiwa wa NBC Premier League kwa Msimu wa 2023/2024 ya Simba Sports Club?
Nasubiria majibu yenu hapa JamiiForums kuanzia sasa nikiwa na uhakika kuwa Wengi wenu ( 95% ) huwa mnanisoma na kunifuatilia sana GENTAMYCINE hapa Jamvini JF.
Namalizia kwa Kuwakumbusha / Kuwakumbusheni kuwa hadi hii Leo Mzuguko wa Ligi Kuu ya NBC umefikia Michezo Mitano na Jedwali linasimama kama ifuatavyo....
1. Timu ya Mungu SSC 15 pts
2. Timu ya Wanafiki Barafu SC 13pts
3. Timu ya Wendawazimu Frog SC 12pts
Na Timu inayoshika Mkia ni Walegeaji Pwani Umoja FC yenye Alama ( Points ) zinazotia Huruma Kuzitaja na Kuziandika hapa.
Je, Yanga SC ingekuwa inaongoza Ligi Kuu ya NBC mpaka sasa ( yaani leo ) mngekuwa Wanafiki hivi na Kutumia muda mrefu Kumjadili Mwamuzi wa leo kuwa Kaipendelea Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate FC huku mkijisahaulisha ( mkijizima data ) kuwa hata hiyo Klabu mnayoitetea kwa kupewa Bahasha na Mdhamini wao Mkuu hata Wao Ubingwa wao ulikuwa ni wa Tigo Pesa na walifaidika mno na Maamuzi ya Waamuzi kwa Kuwapendelea?
Swali # 2
Kwanini Waamuzi hawa hawa wakiwa Wanaboronga ( tena vibaya sana ) katika Mechi za Vilabu vya Kati na vya Chini vya NBC Premier League huwa hamjadili kahisa au hata mkijadili huwa mnatoa Airtime ndogo tofauti na Tukio hilo likitokea kwa Timu iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu ( kama GENTAMYCINE nilivyobarikiwa nae Shani nyingi ) na Bingwa Mtarajiwa wa NBC Premier League kwa Msimu wa 2023/2024 ya Simba Sports Club?
Nasubiria majibu yenu hapa JamiiForums kuanzia sasa nikiwa na uhakika kuwa Wengi wenu ( 95% ) huwa mnanisoma na kunifuatilia sana GENTAMYCINE hapa Jamvini JF.
Namalizia kwa Kuwakumbusha / Kuwakumbusheni kuwa hadi hii Leo Mzuguko wa Ligi Kuu ya NBC umefikia Michezo Mitano na Jedwali linasimama kama ifuatavyo....
1. Timu ya Mungu SSC 15 pts
2. Timu ya Wanafiki Barafu SC 13pts
3. Timu ya Wendawazimu Frog SC 12pts
Na Timu inayoshika Mkia ni Walegeaji Pwani Umoja FC yenye Alama ( Points ) zinazotia Huruma Kuzitaja na Kuziandika hapa.