Niliwaambia tumieni tu CCM Mkwakwani au Sheikh Amri Abedi Kaluta na msithubutu kwenda CCM Kirumba mkanipuuza acheni sasa yawakuteni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,654
109,055
Ni Mpumbavu tu pekee Tanzania nzima ndiyo mpaka leo hajui kuwa Mkoa wa Mwanza 80% ni Ngome Kuu na Tukuka ya Wananchi na hatujawahi kuwa na rekodi nzuri na ya uhakika tukicheza CCM Kirumba tokea Kipindi cha Pamba FC, Lumumba Rovers FC, Toto Africans na Mbao FC zaidi tu ule wa Kubahatisha / Kufluku.

Hapo hapo bado Mijitu mibishi na mijuha yaani GENTAMYCINE nafanya juhudi Kubwa ya Kuishauri kutokana na Uzoefu wangu mkubwa wa Michezo Michafu ( ya Kimafia ) ya Mpira wa Bongo ( Soka la Bongo ) kuwa isipeleke Mechi zao za NBC Premier League CCM Kirumba Mkoani Mwanza na badala yake waende sehemu Salama Kwetu ya CCM Mkwakwani Tanga au Sheikh Amri Abedi Kaluta Arusha ambako ndiko Ngome Kuu ya Mnyama bado sijasikilizwa na kueleweka na matokeo yake yananipuuza na kuwakuta ya Kuwakuta.

Haya hakikisheni mnampa Hela yake yote huyo Bibi wa kutoka Kisiwani Ukerewe ambaye amepambana vilivyo ili Goli la mwenye DNA ya Kutuadhibu atakavyo Prince Dube lirudi na tuwe Salama Kimatokeo.

Yanga SC inaenda kuwa Bingwa Ok?
 
Teh Teh Teh....mwanasikba pekee ambaye hajalaumu referee.
Nakuelewa sana reasoning yako very objective.
Simba ilikuwa mwenyeji wa hii mechi hivyo ilikuwa busara kimbinu kuchagua uwanja ambao wana influence nao kubwa.

Sijui aliwashauri nani kupeleka mechi Kirumba.
Labda kwa kuwa RC Makala yuko Mwanza.
 
Ni Mpumbavu tu pekee Tanzania nzima ndiyo mpaka leo hajui kuwa Mkoa wa Mwanza 80% ni Ngome Kuu na Tukuka ya Wananchi na hatujawahi kuwa na rekodi nzuri na ya uhakika tukicheza CCM Kirumba tokea Kipindi cha Pamba FC, Lumumba Rovers FC, Toto Africans na Mbao FC zaidi tu ule wa Kubahatisha / Kufluku.

Hapo hapo bado Mijitu mibishi na mijuha yaani GENTAMYCINE nafanya juhudi Kubwa ya Kuishauri kutokana na Uzoefu wangu mkubwa wa Michezo Michafu ( ya Kimafia ) ya Mpira wa Bongo ( Soka la Bongo ) kuwa isipeleke Mechi zao za NBC Premier League CCM Kirumba Mkoani Mwanza na badala yake waende sehemu Salama Kwetu ya CCM Mkwakwani Tanga au Sheikh Amri Abedi Kaluta Arusha ambako ndiko Ngome Kuu ya Mnyama bado sijasikilizwa na kueleweka na matokeo yake yananipuuza na kuwakuta ya Kuwakuta.

Haya hakikisheni mnampa Hela yake yote huyo Bibi wa kutoka Kisiwani Ukerewe ambaye amepambana vilivyo ili Goli la mwenye DNA ya Kutuadhibu atakavyo Prince Dube lirudi na tuwe Salama Kimatokeo.

Yanga SC inaenda kuwa Bingwa Ok?
Ata mngepeleka mechi bunju Simba mbele ya Azam ni mdebwedo tu, We fikiria Azam akuwa na match fitness yoyote baada ya mapumziko ya karibia mwezi na kitu, nyie mmecheza mechi za kiushindani mkiwa na kikosi chenu kamili kule Zanzibar na bado mlikuwa mmeshacheza mechi 2 za ligi kuwa weka fiti lakini Azam ndio katengeneza nafasi kibao za kuwaadhibu vipi Kama wangekuwa timamu ule mnara wa 5G si ungesimama Tena?
 
Ni Mpumbavu tu pekee Tanzania nzima ndiyo mpaka leo hajui kuwa Mkoa wa Mwanza 80% ni Ngome Kuu na Tukuka ya Wananchi na hatujawahi kuwa na rekodi nzuri na ya uhakika tukicheza CCM Kirumba tokea Kipindi cha Pamba FC, Lumumba Rovers FC, Toto Africans na Mbao FC zaidi tu ule wa Kubahatisha / Kufluku.

Hapo hapo bado Mijitu mibishi na mijuha yaani GENTAMYCINE nafanya juhudi Kubwa ya Kuishauri kutokana na Uzoefu wangu mkubwa wa Michezo Michafu ( ya Kimafia ) ya Mpira wa Bongo ( Soka la Bongo ) kuwa isipeleke Mechi zao za NBC Premier League CCM Kirumba Mkoani Mwanza na badala yake waende sehemu Salama Kwetu ya CCM Mkwakwani Tanga au Sheikh Amri Abedi Kaluta Arusha ambako ndiko Ngome Kuu ya Mnyama bado sijasikilizwa na kueleweka na matokeo yake yananipuuza na kuwakuta ya Kuwakuta.

Haya hakikisheni mnampa Hela yake yote huyo Bibi wa kutoka Kisiwani Ukerewe ambaye amepambana vilivyo ili Goli la mwenye DNA ya Kutuadhibu atakavyo Prince Dube lirudi na tuwe Salama Kimatokeo.

Yanga SC inaenda kuwa Bingwa Ok?
stupid
 
Teh Teh Teh....mwanasikba pekee ambaye hajalaumu referee.
Nakuelewa sana reasoning yako very objective.
Simba ilikuwa mwenyeji wa hii mechi hivyo ilikuwa busara kimbinu kuchagua uwanja ambao wana influence nao kubwa.

Sijui aliwashauri nani kupeleka mechi Kirumba.
Labda kwa kuwa RC Makala yuko Mwanza.
Mechi kupelekwa Mwanza ilikuwa ni kimkakati zaidi kuliko kishirikina kama ambavyo mnaaminishwa,Simba tarehe 12 anacheza na Geita hapohapo Mwanza,ili kuepuka fatique kwa wachezaji ndio wakaamua kupeleka Mwanza
 
Ata mngepeleka mechi bunju Simba mbele ya Azam ni mdebwedo tu, We fikiria Azam akuwa na match fitness yoyote baada ya mapumziko ya karibia mwezi na kitu, nyie mmecheza mechi za kiushindani mkiwa na kikosi chenu kamili kule Zanzibar na bado mlikuwa mmeshacheza mechi 2 za ligi kuwa weka fiti lakini Azam ndio katengeneza nafasi kibao za kuwaadhibu vipi Kama wangekuwa timamu ule mnara wa 5G si ungesimama Tena?
Kwani Kagera walikuwa na match fitness?mbona mlishindwa kuwafunga na mliponea kwenye mbeleko ya refa aliyekataa goli lao halali
 
Toka lini mkwakwani pakawa ngome ya Simba(Kwan ni official stadium ya Simba) Simba wajenge uwanja na hio ndio itakua ngome yao full stop.
 
Ata mngepeleka mechi bunju Simba mbele ya Azam ni mdebwedo tu, We fikiria Azam akuwa na match fitness yoyote baada ya mapumziko ya karibia mwezi na kitu, nyie mmecheza mechi za kiushindani mkiwa na kikosi chenu kamili kule Zanzibar na bado mlikuwa mmeshacheza mechi 2 za ligi kuwa weka fiti lakini Azam ndio katengeneza nafasi kibao za kuwaadhibu vipi Kama wangekuwa timamu ule mnara wa 5G si ungesimama Tena?
Huu utetezi wa match fitness umekuja baada ya Azam kuokolewa na Kayoko

Jishikilieni vizuri tunakuja huko juu kwa kishindo kikuu
 
Mechi kupelekwa Mwanza ilikuwa ni kimkakati zaidi kuliko kishirikina kama ambavyo mnaaminishwa,Simba tarehe 12 anacheza na Geita hapohapo Mwanza,ili kuepuka fatique kwa wachezaji ndio wakaamua kupeleka Mwanza
Kuna watu uwezo wao wa kuchanganua mambo ni mdogo, Simba kwa kuichagua kirumba walifanya uchaguzi sahii sana, katoka kigoma,kapita tabora then Mwanza

Hapo ni kwamba angetoka kigoma akapita tabora, akaenda Tanga alafu angerudi Mwanza,
 
Back
Top Bottom