Naomba updates za Interview ya TANESCO

Naomba updates za Interview ya TANESCO

Nashindwa hasa kujua lengo la TANESCO kuwa na account humu kwanini hawatoi taarifa za mchakato wa interview zao ili watu wajue waendelee na shughuli zingine..
 
Ajabu nyingine wanampigia mtu simu Jumamosi wanamtaka afike kwenye interview Jumatatu, hivi kweli hawajui kuwa kuna sehemu unasafiri siku tatu nzima mpaka kufika Dar au Arusha? Je kwanini wasitoe muda wa kutosha au ni mbinu ya kupunguza watu.
 
Vipi wa dar wameitwa? Na wale wa udereva kwa upande wa dar
 
Hapa ndo huwa nashangaa sana nyie Vijana mnatafuta kazi halafu mnasikiliza stori za kwenye vijiwe vya kahawa, Mimi niko Tanesco Mwanza Acheni stori za vijiweni vijana.
Haya ni maneno ya mtu mwenye shibe ambaye ana uhakika wa mshahara kila mwezi. Ungekuwa kitaa jua kali, usingeongea hivi...
 
Haya ni maneno ya mtu mwenye shibe ambaye ana uhakika wa mshahara kila mwezi. Ungekuwa kitaa jua kali, usingeongea hivi...
Ni kweli kabisa mkuu mimi ninao mshahara; Ila sijaongea hivyo kwa sababu ya mshahara ninao, ni kwamba Vijana wa siku izi hatuna kitu inaitwa patient/uvumilivu;
Huwa hatutaki kuruhusu mchakato upite kwenye lolote lile, Mfano: Mtu umepata kazi, anawaza mambo kibao namna ya kupiga hela, hataki process ya kuhakikisha anatoa muda ili afanye savings afikie malengo.
Alkadhalika kwenye kutafuta kazi ni hivyo hivyo, kuna kipindi cha kusubiri kuanzia ulipoomba kazi had kuitwa interview hadi kuitwa kazini, sasa mtu hata deadline bado anauliza?
 
Ni kweli kabisa mkuu mimi ninao mshahara; Ila sijaongea hivyo kwa sababu ya mshahara ninao, ni kwamba Vijana wa siku izi hatuna kitu inaitwa patient/uvumilivu;
Huwa hatutaki kuruhusu mchakato upite kwenye lolote lile, Mfano: Mtu umepata kazi, anawaza mambo kibao namna ya kupiga hela, hataki process ya kuhakikisha anatoa muda ili afanye savings afikie malengo.
Alkadhalika kwenye kutafuta kazi ni hivyo hivyo, kuna kipindi cha kusubiri kuanzia ulipoomba kazi had kuitwa interview hadi kuitwa kazini, sasa mtu hata deadline bado anauliza?
Mkuu internship vipi kwa mtu wa Diploma Umeme?
 
Mkuu internship vipi kwa mtu wa Diploma Umeme?
Uko mkoa gani ndugu yangu? Kama kanda ya ziwa i can easily direct you Powerstations and Substation vyeti feki waliondoloewa pia, so hata intership sasa ivi wanawapa kidogo, sio kama zamani.
 
Back
Top Bottom