yusuphfrancis
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 433
- 361
MTWARA WAMEITA, MIMI NAISHI NA DOGO FLANI HIVI KAPIGIWA SIMU LEO MAJIRA YA SAA 5 ASUBUHI KAAMBIWA AFIKE KWENYE WRITTEN INTERVIEW TAREHE NANE YAANI ALHAMISI. POST. "ELECTRICAL TECHNICIAN"Hapa ndo huwa nashangaa sana nyie Vijana mnatafuta kazi halafu mnasikiliza stori za kwenye vijiwe vya kahawa, Mimi niko Tanesco Mwanza hayo matangazo 2 ya Tanesco moja Deadline ni tareh 8 na lingine deadline ni tarehe 13, Sasa wewe leo tarehe 6 unaanza kuzungumzia habari za kuitwa??, kisha unaendelea na kusema kuna baadhi ya watu wameshaitwa kwa baadhi ya wilaya/mikoa, wilaya ipi hiyo? Hakuna kitu kama hicho ndugu hapo ndio huwa mnafeli hata interview unajibu kulingana na stori zenu za mitaani sio kulingana na Swali linataka nini! Vijana jifunzeni kuwa patient/ toeni muda wa mambo yenu kushughulikiwa, na isiwe kwenye kazi tu hata kwenye maisha muwe mnatoa muda/nafasi ya processing hapo mtaona matunda siku zote. Mfano Mwanza kama main Zonal office na viunga vyake bado. Acheni stori za vijiweni vijana.
SOUTHERN ZONE.