Naomba ukaribisho

Naomba ukaribisho

Maswali kwa mgeni
1. Huko kwenu kuna changamoto ya maji, umeme, matibabu,barabara?
2. Vipi utekaji upo au unauskia tu kwenye vyombo vya habari?
3. Serikali ya sasa unaionaje ila kama huhusiki na siasa ruka hili swali ujibu ni kwa nini umesema kuwa utafanya kilichokuleta?
4. Una matusi kilo ngapi ulokuja nayo? Maana humu lazima utukanane na utukanwe ndo mambo yasonge.
5. Makebo unayo kiasi au ni namba 1 iliyochangamka i mean upo d au p
Jibu hayo kwanza uende lunch urudi tuendele coz sio siri kuna kafeelings flani unapo fungua uzi na watu wanacoment unaweza hata ukasahau kula.
1. Sio sana ila changamoto zipo
2. Nausikia ila sijawahi kushuhudia kwa macho yangu
3.sielewi sana kuhusu siasa,, kilicho nileta Humu nimekuja kujifunza na zaidi niweze ku reply kwenye mada maana as a guest hauna uwezo wa kureply zaidi ya kusoma pekeake
4. Matusi yapo japo siwezi kuyapa kipaumbele, nitakupokea namna ulivyo kuja
5.sijaelewa Makebo ni manini
 
1. Sio sana ila changamoto zipo
2. Nausikia ila sijawahi kushuhudia kwa macho yangu
3.sielewi sana kuhusu siasa,, kilicho nileta Humu nimekuja kujifunza na zaidi niweze ku reply kwenye mada maana as a guest hauna uwezo wa kureply zaidi ya kusoma pekeake
4. Matusi yapo japo siwezi kuyapa kipaumbele, nitakupokea namna ulivyo kuja
5.sijaelewa Makebo ni manini
Kama Kweli hujui Makebo, I attest kua Kweli ww ni mgeni.
 
Back
Top Bottom