Naomba turuhusiwe kutumia VPN wakati wa hili janga la Internet

raslimali

JF-Expert Member
Nov 4, 2014
1,358
1,034
Tangu jana sisi ambao asilimia kubwa ya kazi zetu zinategemea mtandao wa internet tumeathirika vibaya. Ningeomba mamlaka ya mawasiliano itoe ruhusa ya kutumia VPN bila kuomba kibali kwa kipindi hiki kigumu maana sidhani kama tatizo hili litatatuliwa mapema. Kuna sites kadhaa natumia kwa kazi zangu hazifunguki kabisa.
 
Tangu jana sisi ambao asilimia kubwa ya kazi zetu zinategemea mtandao wa internet tumeathirika vibaya. Ningeomba mamlaka ya mawasiliano itoe ruhusa ya kutumia VPN bila kuomba kibali kwa kipindi hiki kigumu maana sidhani kama tatizo hili litatatuliwa mapema. Kuna sites kadhaa natumia kwa kazi zangu hazifunguki kabisa.
Sasa VPN itakusaidiaje mkuu wakati nayo inategemea connection ili kufanya kazi na pia inaweza kufanya tena izidi kuwa slow kutegemea na server unayotumia huo mzunguko.
 
Sasa VPN itakusaidiaje mkuu wakati nayo inategemea connection ili kufanya kazi na pia inaweza kufanya tena izidi kuwa slow kutegemea na server unayotumia huo mzunguko.
Ni changamoto sana isee..!
Wafanye haraka kutatua hii issue hali sio.
 
Tangu jana sisi ambao asilimia kubwa ya kazi zetu zinategemea mtandao wa internet tumeathirika vibaya. Ningeomba mamlaka ya mawasiliano itoe ruhusa ya kutumia VPN bila kuomba kibali kwa kipindi hiki kigumu maana sidhani kama tatizo hili litatatuliwa mapema. Kuna sites kadhaa natumia kwa kazi zangu hazifunguki kabisa.
Ukiona hawaruhusu matumizi ya VPN kwenye tatizo kubwa kama hili, basi elewa kuwa kuna issues behind huu mziki unaoendelea
 
Tangu jana sisi ambao asilimia kubwa ya kazi zetu zinategemea mtandao wa internet tumeathirika vibaya. Ningeomba mamlaka ya mawasiliano itoe ruhusa ya kutumia VPN bila kuomba kibali kwa kipindi hiki kigumu maana sidhani kama tatizo hili litatatuliwa mapema. Kuna sites kadhaa natumia kwa kazi zangu hazifunguki kabisa.
vpn haiwezi fanya kazi bila internet connection. vpn lengo ni ku bypass restrictions.
 
Tangu jana sisi ambao asilimia kubwa ya kazi zetu zinategemea mtandao wa internet tumeathirika vibaya. Ningeomba mamlaka ya mawasiliano itoe ruhusa ya kutumia VPN bila kuomba kibali kwa kipindi hiki kigumu maana sidhani kama tatizo hili litatatuliwa mapema. Kuna sites kadhaa natumia kwa kazi zangu hazifunguki kabisa.

Kilichopelekea shida ya mtandao wa intaneti ni kukatika kwa miundombinu ya fiber inayopitisha mawasiliano ya intaneti toka ughaibuni kuja nchi za pwani ya Afrika Mashariki...

Ni sawasawa ni ilivyotokea juzi kwa barabara iendayo kusini kukatika kwa kusombwa na mafuriko ya maji hivyo kubakiwa na njia mbadala ambazo zipo mbali zaidi kutimilizia uchukuzi wa kayi ya Dar na kusini...
 
Binafsi nahisi tumepata somo ya kuwa hii internet ni kitu muhimu kama ilivyo Oxygen kwa binadamu
 
Back
Top Bottom