Yajue mataifa yaliyokataza matumizi ya VPN duniani na sababu zao

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,447
7,830
VPN(Virtual Private Network) huwa inaficha utambulisho wa vifaa vya mtandaO(IP address) na kuimarisha hata usalama wa mtumiaji kuingiliwa mawasiliano yako na mtu mwenye nia ovu.

Serikali nyingi duniani hazijakataza matumizi ya VPN ikiwemo Ulaya na Marekani lakini zipo Serikali chache zimeweka adhabu kali watakaokiuka masharti yaliyowekwa kwenye matumizi ya VPN.
  1. China
    Serikali ya China imetenga bajeti kubwa sana kwaajili ya ujasusi wa ndani na matumizi ya mtandao. Pamoja na hayo hamna sheria inayokataza matumizi ya VPN China lakini Serikali ya China inataka useme matumizi ya VPN ili upewe leseni ya matumizi na Serikali

  2. Urusi
    Baada ya maandamano ya 2012, Serikali ya Urusi ilitoa orodha ya tovuti na kuzipiga marufuku na mwanzo walianza na kupiga marufuku tovuti zinazohusika na video za ngono za watoto kama geresha lakini ghafla zikaingizwa tovuti nyingi sana zenye mlengo tofauti na Serikali ya Urusi iliyo madarakani. Mwaka 2017 VPN zilikatazwa rasmi nchini Urusi

  3. Korea Kaskazin
    Korea wana internet inayodhibitiwa vikali na Serikali inayoitwa "Kwangmyong". VPN hamna kabisa na mitandao ya Maghribi marufuku.

  4. Belarus
    Sheria yao haijakataza matumizi ya VPN lakini imekataza teknolojia zote zinazomficha mtumiaji mtandaoni. Serikali ya Belarus haina aibu katika kutumia nguvu zilizopitiliza kuzima maandamano ikiwemo kuzima kabisa internet. Pamoja na faini kubwa za kutumia VPN nchini Belarus, wananchi wake wengi wanatumia.

  5. Turkmenistan
    Serikali ya Turkmenistan ilipiga marufuku VPN mwaka 2019, Serikali ililazimisha wananchi kuapa kwa kutumia kitabu cha Quran kwamba hawatatumia VPN. Kati ya wananchi milioni 6.3, ni milioni 2 tu wanaoweza kuwa na mtandao wa Internet, unatakiwa kuomba na kupitia 'vetting' kabla ya kupata ruhusa ya kutumia mtandao.

  6. Iran
    VPN imekatazwa tangu 2013, zinaruhusiwa zilizoruhusiwa na Serikali pekee ambazo wana udhibiti nazo. Serikali ya Iran ilizima kabisa mtandao mwaka 2022 baada ya kutokea maandamano.

  7. Iraq
    Mwaka 2014 walipiga marufuku na hamna udhuru wowote unaoruhusiwa kutumia VPN

  8. Uturuki
    Mwaka 2016 ikitoa sababu ya kupambana na ugaidi, Serikali walipiga marufuku ya matumizi ya VPN.

  9. Mnyanmar
    Mwaka 2021 nchi hiyo ilipitia mabadiliko makubwa ya kisiasa baada uongozi wa kidemokrasia kufurushwa na mapinduzi ya kijeshi. Januari 2022 Serikali ya Kijeshi ilitengeneza Sheria ya kukataza matumizi ya VPN, sheria hiyo iliruhusu wananchi kukaguliwa simu zao mitaani kuangalia kama wanatumia VPN.

  10. Pakistan
    Ili uweze kutoa huduma ya VPN lazima usajiliwe na Serikali ya pakistan, watoa huduma wanazimika kupeleka taarifa za watumiaji wake Serikali ikizihitaji.
Nchi nyingine zinajumuisha UAE, Venezuela, India, Uganda na nyinginezo.

Baadhi ya Serikali katika nchi tajwa zimekuwa zikiwajua watumiaji hao kwa kumtumia ISP(Mtu anayesambaza internet) ambae anawachunguza watumiaji wa mtandao wake kama wanajiunga na VPN.

Namna ya pili ni ukaguzi wa vifaa, unaenda polisi na wakikagua simu yako linakuwa kosa tayari au ukaguzi wa ghafla mitaani.

Tanzania
Mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania imetumia Kanuni ya 16(2) ya mwaka 2020 kwenye kanuni za Posta ambayo inakataza matumizi ya kitu chochote kinachoruhusu au kumsaidia mtumiaji kupata maudhui yaliyodhibitiwa.

Tanzania ilianza kwa kuzuia tovuti za ngono kama Urusi walivyofanya na baadae kufuta na matumizi ya VPN.

Tanzania inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwakani na uchaguzi mkuu mwaka 2025.
 
VPN(Virtual Private Network) huwa inaficha utambulisho wa vifaa vya mtandaO(IP address) na kuimarisha hata usalama wa mtumiaji kuingiliwa mawasiliano yako na mtu mwenye nia ovu.

Serikali nyingi duniani hazijakataza matumizi ya VPN ikiwemo Ulaya na Marekani lakini zipo Serikali chache zimeweka adhabu kali watakaokiuka masharti yaliyowekwa kwenye matumizi ya VPN.
  1. China
    Serikali ya China imetenga bajeti kubwa sana kwaajili ya ujasusi wa ndani na matumizi ya mtandao. Pamoja na hayo hamna sheria inayokataza matumizi ya VPN China lakini Serikali ya China inataka useme matumizi ya VPN ili upewe leseni ya matumizi na Serikali

  2. Urusi
    Baada ya maandamano ya 2012, Serikali ya Urusi ilitoa orodha ya tovuti na kuzipiga marufuku na mwanzo walianza na kupiga marufuku tovuti zinazohusika na video za ngono za watoto kama geresha lakini ghafla zikaingizwa tovuti nyingi sana zenye mlengo tofauti na Serikali ya Urusi iliyo madarakani. Mwaka 2017 VPN zilikatazwa rasmi nchini Urusi

  3. Korea Kaskazin
    Korea wana internet inayodhibitiwa vikali na Serikali inayoitwa "Kwangmyong". VPN hamna kabisa na mitandao ya Maghribi marufuku.

  4. Belarus
    Sheria yao haijakataza matumizi ya VPN lakini imekataza teknolojia zote zinazomficha mtumiaji mtandaoni. Serikali ya Belarus haina aibu katika kutumia nguvu zilizopitiliza kuzima maandamano ikiwemo kuzima kabisa internet. Pamoja na faini kubwa za kutumia VPN nchini Belarus, wananchi wake wengi wanatumia.

  5. Turkmenistan
    Serikali ya Turkmenistan ilipiga marufuku VPN mwaka 2019, Serikali ililazimisha wananchi kuapa kwa kutumia kitabu cha Quran kwamba hawatatumia VPN. Kati ya wananchi milioni 6.3, ni milioni 2 tu wanaoweza kuwa na mtandao wa Internet, unatakiwa kuomba na kupitia 'vetting' kabla ya kupata ruhusa ya kutumia mtandao.

  6. Iran
    VPN imekatazwa tangu 2013, zinaruhusiwa zilizoruhusiwa na Serikali pekee ambazo wana udhibiti nazo. Serikali ya Iran ilizima kabisa mtandao mwaka 2022 baada ya kutokea maandamano.

  7. Iraq
    Mwaka 2014 walipiga marufuku na hamna udhuru wowote unaoruhusiwa kutumia VPN

  8. Uturuki
    Mwaka 2016 ikitoa sababu ya kupambana na ugaidi, Serikali walipiga marufuku ya matumizi ya VPN.

  9. Mnyanmar
    Mwaka 2021 nchi hiyo ilipitia mabadiliko makubwa ya kisiasa baada uongozi wa kidemokrasia kufurushwa na mapinduzi ya kijeshi. Januari 2022 Serikali ya Kijeshi ilitengeneza Sheria ya kukataza matumizi ya VPN, sheria hiyo iliruhusu wananchi kukaguliwa simu zao mitaani kuangalia kama wanatumia VPN.

  10. Pakistan
    Ili uweze kutoa huduma ya VPN lazima usajiliwe na Serikali ya pakistan, watoa huduma wanazimika kupeleka taarifa za watumiaji wake Serikali ikizihitaji.
Nchi nyingine zinajumuisha UAE, Venezuela, India, Uganda na nyinginezo.

Baadhi ya Serikali katika nchi tajwa zimekuwa zikiwajua watumiaji hao kwa kumtumia ISP(Mtu anayesambaza internet) ambae anawachunguza watumiaji wa mtandao wake kama wanajiunga na VPN.

Namna ya pili ni ukaguzi wa vifaa, unaenda polisi na wakikagua simu yako linakuwa kosa tayari au ukaguzi wa ghafla mitaani.

Tanzania
Mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania imetumia Kanuni ya 16(2) ya mwaka 2020 kwenye kanuni za Posta ambacho kinakataza matumizi ya kitu chochote kinachoruhusu au kumsaidia mtumiaji kupata maudhui.

Tanzania ilianza kwa kuzuia tovuti za ngono kama Urusi walivyofanya na baadae kuzijumuisha tovuti nyingine kisha kufuta na matumizi ya VPN

Tanzania inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwakani na uchaguzi mkuu mwaka 2025.

Kwani lengo lao nini? Si watuite tu kama wanataka kujua tunachofanya mitandaoni? Tutawaambia.
 
VPN(Virtual Private Network) huwa inaficha utambulisho wa vifaa vya mtandaO(IP address) na kuimarisha hata usalama wa mtumiaji kuingiliwa mawasiliano yako na mtu mwenye nia ovu.

Serikali nyingi duniani hazijakataza matumizi ya VPN ikiwemo Ulaya na Marekani lakini zipo Serikali chache zimeweka adhabu kali watakaokiuka masharti yaliyowekwa kwenye matumizi ya VPN.
  1. China
    Serikali ya China imetenga bajeti kubwa sana kwaajili ya ujasusi wa ndani na matumizi ya mtandao. Pamoja na hayo hamna sheria inayokataza matumizi ya VPN China lakini Serikali ya China inataka useme matumizi ya VPN ili upewe leseni ya matumizi na Serikali

  2. Urusi
    Baada ya maandamano ya 2012, Serikali ya Urusi ilitoa orodha ya tovuti na kuzipiga marufuku na mwanzo walianza na kupiga marufuku tovuti zinazohusika na video za ngono za watoto kama geresha lakini ghafla zikaingizwa tovuti nyingi sana zenye mlengo tofauti na Serikali ya Urusi iliyo madarakani. Mwaka 2017 VPN zilikatazwa rasmi nchini Urusi

  3. Korea Kaskazin
    Korea wana internet inayodhibitiwa vikali na Serikali inayoitwa "Kwangmyong". VPN hamna kabisa na mitandao ya Maghribi marufuku.

  4. Belarus
    Sheria yao haijakataza matumizi ya VPN lakini imekataza teknolojia zote zinazomficha mtumiaji mtandaoni. Serikali ya Belarus haina aibu katika kutumia nguvu zilizopitiliza kuzima maandamano ikiwemo kuzima kabisa internet. Pamoja na faini kubwa za kutumia VPN nchini Belarus, wananchi wake wengi wanatumia.

  5. Turkmenistan
    Serikali ya Turkmenistan ilipiga marufuku VPN mwaka 2019, Serikali ililazimisha wananchi kuapa kwa kutumia kitabu cha Quran kwamba hawatatumia VPN. Kati ya wananchi milioni 6.3, ni milioni 2 tu wanaoweza kuwa na mtandao wa Internet, unatakiwa kuomba na kupitia 'vetting' kabla ya kupata ruhusa ya kutumia mtandao.

  6. Iran
    VPN imekatazwa tangu 2013, zinaruhusiwa zilizoruhusiwa na Serikali pekee ambazo wana udhibiti nazo. Serikali ya Iran ilizima kabisa mtandao mwaka 2022 baada ya kutokea maandamano.

  7. Iraq
    Mwaka 2014 walipiga marufuku na hamna udhuru wowote unaoruhusiwa kutumia VPN

  8. Uturuki
    Mwaka 2016 ikitoa sababu ya kupambana na ugaidi, Serikali walipiga marufuku ya matumizi ya VPN.

  9. Mnyanmar
    Mwaka 2021 nchi hiyo ilipitia mabadiliko makubwa ya kisiasa baada uongozi wa kidemokrasia kufurushwa na mapinduzi ya kijeshi. Januari 2022 Serikali ya Kijeshi ilitengeneza Sheria ya kukataza matumizi ya VPN, sheria hiyo iliruhusu wananchi kukaguliwa simu zao mitaani kuangalia kama wanatumia VPN.

  10. Pakistan
    Ili uweze kutoa huduma ya VPN lazima usajiliwe na Serikali ya pakistan, watoa huduma wanazimika kupeleka taarifa za watumiaji wake Serikali ikizihitaji.
Nchi nyingine zinajumuisha UAE, Venezuela, India, Uganda na nyinginezo.

Baadhi ya Serikali katika nchi tajwa zimekuwa zikiwajua watumiaji hao kwa kumtumia ISP(Mtu anayesambaza internet) ambae anawachunguza watumiaji wa mtandao wake kama wanajiunga na VPN.

Namna ya pili ni ukaguzi wa vifaa, unaenda polisi na wakikagua simu yako linakuwa kosa tayari au ukaguzi wa ghafla mitaani.

Tanzania
Mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania imetumia Kanuni ya 16(2) ya mwaka 2020 kwenye kanuni za Posta ambayo inakataza matumizi ya kitu chochote kinachoruhusu au kumsaidia mtumiaji kupata maudhui yaliyodhibitiwa.

Tanzania ilianza kwa kuzuia tovuti za ngono kama Urusi walivyofanya na baadae kufuta na matumizi ya VPN.

Tanzania inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa mwakani na uchaguzi mkuu mwaka 2025.
Mbona kama Tanzania haiendani kabisa na hizi nchi ulizo ziorodhesha!! Au ndiyo inaelekea kuwa kama hizo nchi?
 
Mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania imetumia Kanuni ya 16(2) ya mwaka 2020 kwenye kanuni za Posta ambayo inakataza matumizi ya kitu chochote kinachoruhusu au kumsaidia mtumiaji kupata maudhui yaliyodhibitiwa.
Wameona aliyeasisi teknilijia hiyo ni mjinga
 

  1. Turkmenistan
    Serikali ya Turkmenistan ilipiga marufuku VPN mwaka 2019, Serikali ililazimisha wananchi kuapa kwa kutumia kitabu cha Quran kwamba hawatatumia VPN. Kati ya wananchi milioni 6.3, ni milioni 2 tu wanaoweza kuwa na mtandao wa Internet, unatakiwa kuomba na kupitia 'vetting' kabla ya kupata ruhusa ya kutumia mtandao.
Hii nchi kiboko
 
Back
Top Bottom