Naomba niwaage

Naomba niwaage

Mkuu nimeweka picha ya mlonge,matumizi yake ni kama ifuatavyo,chukua majani ya mlonge yakaushe kisha yasage ili upate unga,baada ya hapo chemsha maji (yachemke hasa) baada ya hapo tumia kutwa Mara mbili ,yaani asubuhi kijiko kimoja cha chai na jioni,ila kama una presha,kisukari,maralia na magonjwa mengine tumia kutwa Mara tatu

Ila kama ni kuinua kinga za mwili na huna tatizo jingine tumia kutwa Mara tatu
Mkuu kama inawezekana weka picha ya huo mlonge na namna ya kuutumia. Utaokoa wengi.
IMG_20200502_130316_7.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200502_130227_9.jpeg
    IMG_20200502_130227_9.jpeg
    194.6 KB · Views: 6
Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.

Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.

Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.

Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.

Ngoja nipambanie hii pumzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nini mbaya mkuu? Mdudu amepita kwako? Pole aisee, ondoa hofu ujitibishe taratibu huku ukifanya mazoezi, usikubali kulala pamoja na mwili kukutuma upumzike! Hofu ni mbaya kuliko Coona yenyewe!
 
Wala usiogope mkuu mimi toka ijumatatu ya wiki iliyopita nilikua hoi mno. Mbavu,kifua,joint,kichwa,homa na kikohoo

Niliogopa sana yaani kifua na koo vilivyokua vinauma nilijua naondoka asee. Ila leo niko poa kabisa.(Sikuambia yoyote juu ya hiki)

Cha msingi acha Hofu kabisa kama una Kwaya Video angalia sana zinaondoa temptation..

Chukua Baking Soda kijiko cha kula kimoja changanya kwenye glasi kunywa kabla ya kula chochote.Nimepona kifua na Mbavu kwa hili.

Chukua Tangawizi,Asali na liamao uwe unakunywa.
Chukua mnyaa/mnyara ubabue kwenye moto kifogo kisha tafuna meza maji yake kikohoo kitapona.

Au tafuna majani ya mbaazi kifua na Kikohoo vitapona
Mimi nimepona koo kwa mchanganyiko huo
View attachment 1436458
Mpaka huyu Coona aondoke tutakuwa tumepata dawa za mafua kibao, hakuna atakayesumbuliwa na mafua tena! Ila mkuu nimecheka kama mazuri, yaaji kikohozi wewe unaita kikohoo? Wewe ni Msukuma? Ushauri mzuri sana huu wa kuondoa hofu!
 
We mjamaaa bwana Acha mautanii yakoooo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu nilikuwa natamani aje kuwa walau anatupa maendeleo.

Jamaa kaogopa kuliko.uhalisia.maama mi nilikuwa nachat na mdogo mmoja yupo Dar aisee.nilijikuta ghafla nimepata ujasiri wa.ajabu kuwa corona ni kitu flani ya kawaida.sana yaani dogo ananiambia ah Corona kawaida tu mi.mwenyewe nahisi ninayo nikamuuliza.dalili anajisikiaje mulemule.nilajua yenyewe ila ss huyo dogo yukp very comfortable ss.ndo @Ushimen.apagawe kiasi hiki???

Labda kama ana maradhi mengine nyemelezi but bado sio case ya kumtoa mtu kwenye njia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.

Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.

Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.

Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.

Ngoja nipambanie hii pumzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida nini kwani

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Jf itasaidia kukupunguzia muda wa kuwaza, usiondoke uendelee kupokea ushauri, punguza hofu.
Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.

Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.

Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.

Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.

Ngoja nipambanie hii pumzi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom