Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,934
You sound like shemeji kwa mwenzetu..Your tone tell loving sorry to him.....Tumpe mda.
Atakuwa sawa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
You sound like shemeji kwa mwenzetu..Your tone tell loving sorry to him.....Tumpe mda.
Atakuwa sawa tu.
You sound like shemeji kwa mwenzetu..Your tone tell loving sorry to him.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeleweka mkuu, he will be okay Mamy Mungu atamsaidia. ....Samahani.
Ungemuuliza mwenyewe.
Na kuniuliza hapa ni kunikosea sana.
Huyo ni mume wa mtu na baba wa familia kadhaa.
Na pengine wategemezi wake wanamuhitaji kuliko anavyojihitaji mwenyewe.
Je kuna tatizo mimi kuandika au kuna ubaya wowote niliouandika mpaka kuniuliza hayo?
Nimefuta but am sure hazionekanifuta hii picha mshana kama lengo la kuweka hizo ink ilikua ni kuficha namba coz namba zinaonekana

Amechoka.
Yupo vizuri.
Amejiweka karantini anajisikilizia.
Binafsi mimi usiku huu ni mbaya sana kwangu.
Najuta kwenda instagram kuangalia hayo mavideo ya maziko ya corona.
Zimeniumiza
Usijari hakumaanisha baya lolote!!Samahani.
Ungemuuliza mwenyewe.
Na kuniuliza hapa ni kunikosea sana.
Huyo ni mume wa mtu na baba wa familia kadhaa.
Na pengine wategemezi wake wanamuhitaji kuliko anavyojihitaji mwenyewe.
Je kuna tatizo mimi kuandika au kuna ubaya wowote niliouandika mpaka kuniuliza hayo?
Mkuu,zinaonekana. Kuweka ink kunasaidia kwa sisi wa kawaida,but kwa "pro",ni dakika moja wanareveal kilichofichwa.Nimefuta but am sure hazionekani
Jr![]()
Amina Mungu amponyeNimeongea naye though anaonekana kuwa na hofu nimemtia moyo kuwa he will be ok and yes he will be ok ..tuendelee kumuombea hofu ya kukataa Tamaa imtokee, ....ni miongoni mwa mtu ambaye from day one shule zinafungwa tulikuwa very makini kwa watoto ni ukweli ugonjwa upo tusiubezee but Mungu yu pamoja nasi he will recover ..
Let us pray for him @ ushimen you will be okay
Sent using Jamii Forums mobile app
Amechoka.
Yupo vizuri.
Amejiweka karantini anajisikilizia.
Binafsi mimi usiku huu ni mbaya sana kwangu.
Najuta kwenda instagram kuangalia hayo mavideo ya maziko ya corona.
Zimeniumiza
Usijari hakumaanisha baya lolote!!
IF:X=WanaUFIPA+wanamaendeleo,Y=WanaLUMUMBA.
THUS:X=MABADILIKO
Y=WACHUMIA TUMBO!!