Naomba niwaage

Naomba niwaage

Tojo unaendeleaje..?
Kamanda angu bado napambana mara napata nafuu,Kuna muda nazidiwa hivo hivo ndio nimetoka kuchukua hii dawa nitumie tena niskilizie
IMG_20200502_170819_794.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamanda angu bado napambana mara napata nafuu,Kuna muda nazidiwa hivo hivo ndio nimetoka kuchukua hii dawa nitumie tena niskilizieView attachment 1437734

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia chochote utakachoambiwa..Kusikia nafuu ndio safari ya kupona.
I command you not to Die,Be strong and obey this order.
Hakikisha unafika December
 
Ushimen kwa usmart wako sikutegemea kabisa kuona uzi wa namna hii, Marufuku kukataa tamaa japo hatujui ni Convid au nini ila toa hofu kabisa mimi nahisi nilikuwa na corona nilijigundua na nikatulia tuli ndani nisiambukize mtu yoyote mpaka nimepona hakuna hofu wala nini
 
Corona ipo mtaani na watu wanaugua... Acha kuogopa Mimi nimepata maambukizi ya Corona mara mbili na mara zote nimepona bila kunywa hata Panadol.

Mwanaume acha kulialia, show us your strength and endurance kwenye magumu Kama haya. As survival chance Ni kubwa Kama wewe Ni kijana usie na chronic disease, you are safe... And so why worrying?

Na Kama hujui hofu ndio adui yako mkubwa Sasa, watu wengi walikuwa na ukimwi bila kujua na waliishi kwa Amani kwa miaka mingi ila walipoambiwa tu Wanao ukimwi HIV walikufa mapema kwa sababu walikaribisha hofu.

Fear is the darkenes
Hope is the lantern.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wenda ana maradhi mengine ambayo ndio hofu yake ipo huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhola sana bhabha eng'washi

Eti anawaambia wachome minyaa kwenye jiko la mkaa watafune watibu kikohozi.
Ile kweli ni dawa ila uls muwasho wake ni hatari na ukiutumia mara nyingi unasababisha kikohozi kiwe chronic

Mnyaa naujua vizuri sana, ule utomvu wake unavutia ukiuona,,ila cjasikia mtu akila mnyaa,,ndio kwanza nackia mkuu.
 
Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.

Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.

Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.

Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.

Ngoja nipambanie hii pumzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umekuwa muwazi katika hili la kutisha.
Mungu atakuwa nawe, wala usihofu, tutapambana humu mtandaoni baada ya wiki mbili.
 
Back
Top Bottom